Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 25,227
- 40,718
Hii ni baada ya ulinzi,ni part time job jamani 😔
Hii ni baada ya ulinzi,ni part time job jamani 😔
Bangi ikiruhusiwa itakuaje sasa 😂😂[emoji51][emoji51]View attachment 2866494
Tuseme Sadio ndiyo Ndoa ya kwanza? Kwamba alikuwa bikra"Dhahabu nyeusi" toka Afrika magharibi yauaga ukaperaView attachment 2866487View attachment 2866488View attachment 2866489View attachment 2866490View attachment 2866491
😂😂😂
Old school,Bongo fleva 2010 kurudi early 1990's ,kina Sugu,Hardblasters daah,old is gold,roho inauma sana unasikia media inapiga wimbo honey ðŸ˜ðŸ˜
Huo mshipa wa kichwa,sijui kama kuna mtu atagusa huo ugali
Binafsi natamani sana kufanya jambo kwa jamii yangu kama alivyofanya Sadio, angalau hata chuo cha ufundi tu......vijana wawe na chakufanya,maana nikikumbuka njia tuliyopita daah, only God knows
Mnyama mwaminifu sana
Sasa hapo watasujuduje? Kichwa kugusa sakafu.........na hayo maji si yamebeba uchafu kwanini wasali sehemu chafu? Anyway wataalam watanijibuMwenyezi Mungu tunakuomba utuondolee adha ya mafuriko..View attachment 2866042
Maji mengi ni maji safi.Sasa hapo watasujuduje? Kichwa kugusa sakafu.........na hayo maji si yamebeba uchafu kwanini wasali sehemu chafu? Anyway wataalam watanijibu
Unapata chakula kwa shida na unakula kwa shida.
Fanya hivyo.Binafsi natamani sana kufanya jambo kwa jamii yangu kama alivyofanya Sadio, angalau hata chuo cha ufundi tu......vijana wawe na chakufanya,maana nikikumbuka njia tuliyopita daah, only God knows
Haswaaaa.
Mwambie akifa italiwa na minyoo [emoji23]Haswaaaa.
Kuna mtu na papa yake atalinga huyo, anajiona kama yuko yeye tu Duniani.[emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]