Swahili AI
JF-Expert Member
- Mar 2, 2016
- 14,585
- 113,276
Duuu mwamba unaupiga mwingi 🤣Zile zilikuwa projekti za watu. Hizi nilishazitumia kupima majamaa yangu matatu na dada zao 7 wote ni wangu. Hizi unapima na ukiwa na shaka zaidi ndiyo unaenda kipimo cha juu zaidi. Usahihi wake ni >90%. Mpaka Maury show alikuwa anazitangaza!
Njaanuary hata coins zinatunzwa😂😂
Hii ni baada ya ulinzi,ni part time job jamani 😔
Bangi ikiruhusiwa itakuaje sasa 😂😂
Tuseme Sadio ndiyo Ndoa ya kwanza? Kwamba alikuwa bikra"Dhahabu nyeusi" toka Afrika magharibi yauaga ukaperaView attachment 2866487View attachment 2866488View attachment 2866489View attachment 2866490View attachment 2866491
Old school,Bongo fleva 2010 kurudi early 1990's ,kina Sugu,Hardblasters daah,old is gold,roho inauma sana unasikia media inapiga wimbo honey 😭😭
Huo mshipa wa kichwa,sijui kama kuna mtu atagusa huo ugali
Binafsi natamani sana kufanya jambo kwa jamii yangu kama alivyofanya Sadio, angalau hata chuo cha ufundi tu......vijana wawe na chakufanya,maana nikikumbuka njia tuliyopita daah, only God knows
Mnyama mwaminifu sana
Sasa hapo watasujuduje? Kichwa kugusa sakafu.........na hayo maji si yamebeba uchafu kwanini wasali sehemu chafu? Anyway wataalam watanijibuMwenyezi Mungu tunakuomba utuondolee adha ya mafuriko..View attachment 2866042
Maji mengi ni maji safi.Sasa hapo watasujuduje? Kichwa kugusa sakafu.........na hayo maji si yamebeba uchafu kwanini wasali sehemu chafu? Anyway wataalam watanijibu
Unapata chakula kwa shida na unakula kwa shida.
Fanya hivyo.Binafsi natamani sana kufanya jambo kwa jamii yangu kama alivyofanya Sadio, angalau hata chuo cha ufundi tu......vijana wawe na chakufanya,maana nikikumbuka njia tuliyopita daah, only God knows