Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Mtakonda na Corona
Gulf1154629265.jpg
 
Tujikumbushe: Mwaka 2008 Wasabato Masalia walitinga Airport Dar wakitaka kwenda ng'ambo wakaeneze injili bila kuwa na documents yoyote kama visa, passport, tiketi nk

Nchi hii imepitia mengi sana aisee View attachment 2861353

Sent using Jamii Forums mobile app
Wangepata lift alafu washushwe north korea au afghanistan kwa wataleban 😂😂😂😂ndio wangejua hayo mambo yanatufit sisi wa chini ya jangwa la sahara.
 
Back
Top Bottom