Am a foolNo English word has a double ‘oo’ except for the words : ‘’Food’’ and ‘’Door’’prove me wrong!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Si mtu wako au ni wale wa one night stand....Ikitokea mwamba akakausha utaidai au inakuwaje? 🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️
Ndoa zitasambaratika.Mzigo huo umeingia. Anayehitaji tuwasiliane. Kit moja 50K. Usahihi 99% 🏃🏿♂️🏃🏿♂️
View attachment 2865272
Hata mimi ingawa sikuwepo nimecheka aisee
Wangepata lift alafu washushwe north korea au afghanistan kwa wataleban 😂😂😂😂ndio wangejua hayo mambo yanatufit sisi wa chini ya jangwa la sahara.Tujikumbushe: Mwaka 2008 Wasabato Masalia walitinga Airport Dar wakitaka kwenda ng'ambo wakaeneze injili bila kuwa na documents yoyote kama visa, passport, tiketi nk
Nchi hii imepitia mengi sana aiseeView attachment 2861353
Sent using Jamii Forums mobile app
Zisije zikawa kama vile vipimo vya covid mpaka mbuzi na mapapai yaliugua corona.Ndoa zitasambaratika.
kwahiyo alikuwa analia sababu ya kukabwa na siyo moto anaopelekewa