Pendaelli
JF-Expert Member
- Feb 13, 2014
- 12,105
- 35,138
Shule za siku hizi bwana, jana tu nimetoka kununua rim kwa mwanafunzi wa darasa la awali!
Shule za siku hizi bwana, jana tu nimetoka kununua rim kwa mwanafunzi wa darasa la awali!
Sijui nitesti zali 🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️Ukizidisha mara 2 tu non stop ushajichanganya
Nitakupigia baada ya masaa 6
Ulivyoongea kwa hisiaHata mimi aisee. Umasikini mbaya. Labda huko mbele ya safari yatashuka bei au tutakuwa tunaletewa ya mtumba![]()



Ya kwanza, ya pili, ya tatu?Sijui nitesti zali 🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️
Nani kama baba?