Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

FB_IMG_1704469635285.jpg
 
BREAKING: Serikali ya Tanzania iliuziwa ndege ya zamani sana ambayo ilishaondolewa kwenye air worthiness. Ndege hiyo Bombardier Q300 imekwama nchini Malta kwa miaka mitatu sasa tokea 2020 kwa sababu spare zake hazipatikani. Asante serikali yetu sikivu ya CCM. Kazi iendelee…

Sent using Jamii Forums mobile app
Hizi ndege ndo zile zilizokuwa zinanunuliwa kwa pesa tasilimu na shujaa wetu.
Naona wanaongopa ili kuharibu legacy shujaa
 
Back
Top Bottom