BREAKING: Serikali ya Tanzania iliuziwa ndege ya zamani sana ambayo ilishaondolewa kwenye air worthiness. Ndege hiyo Bombardier Q300 imekwama nchini Malta kwa miaka mitatu sasa tokea 2020 kwa sababu spare zake hazipatikani. Asante serikali yetu sikivu ya CCM. Kazi iendelee…
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.