Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

FB_IMG_1703498981677.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakati wa eid mulituongelesha kiarabu ,tuliwaambia kuna maisha Baada ya eid Leo ni mwendo wa kuongea ki Galilaya tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Mnatabia mbaya nyie, wachoyo sana na tumekaa kimya lkn nyie mnavyojua kuhaha na eid sasa,


Yaani leobhata salam hakuna,no sms no calls, naogopa hata kusalimia mtu isije ikwa naomba muariko


Eid mwezi wa tetu si mbaliii.
 
FUTA KIOO TU
Kuna wakati haina maana kupoteza nguvu zako kufuta bodi ,we hangaika na kioo tu.
Acha tope la kwenye body likukumbushe mapambano, lakini ukiliacha kwnye kioo UTAPOTEZA PAMBANO
Yesss....namaanisha hivi....
Usiruhusu mapambano ya maisha, masimango, dharau, wivu na chuki zikuzibe ufahamu wako...zikutie unyonge..zikunyime kujiamini...usikubali.
Acha wazione kwenye mdomo yao lakini wewe usizione kwenye ndoto zako.
Kwanini unatumia muda mwingi kutaka uoshe gari lote ndo uendelee na safari wakati unahitaji pakuonea bara bara tu? Hangaika na kioo tu best, utaosha lote ukifika.
Pangusa kioo, Pasua tope.
FB_IMG_1703503105780.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom