Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Mjukuu shida nini?

Mbona disilaiki kwa picha ya kawaida tu? 😳😳😳

Screenshot_20231225_072222_Chrome.jpg
 
Fundi Xtrail Mbeya. Jinsi nilivyomsave Pendo wangu. Nina gari la Xtrail so hata akituma au kupiga Simu sina wasiwasi wanajua ni fundi wa gari aliyeko Mbeya Mjini. Nikienda Mbeya toka hapa Home Rungwe namwambia, fundi amenipigia niende akalitengeneze gari.
View attachment 2852186
Nimependa ubunifu wako ila kuna siku utashikwa tu. Hata ujifanye dabolooseveni James Bond kushikwa utashikwa tu 😁😁😁
 
Back
Top Bottom