Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

0c098db4d3b4b106610d6d1ce384b533.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
#Kitanda Hakizai Haramu
#Ukichapiwa Kausha 🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️
Miaka ile ya 1967 ilikuwa kawaida mtoto wako akafanana na Baba wa jirani, na ilikuwa kawaida maana Mama akiwa mjamzito akimchukia jirani basi anakuwa amebeba mtoto atakayefanana na jirani 😜

Msemo wa kitanda hakizai haramu tumetoka nao mbali sana Wazee 🤗🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Vijana wa sasa wabishi sanaa
Miaka ile ya 1967 ilikuwa kawaida mtoto wako akafanana na Baba wa jirani, na ilikuwa kawaida maana Mama akiwa mjamzito akimchukia jirani basi anakuwa amebeba mtoto atakayefanana na jirani 😜

Msemo wa kitanda hakizai haramu tumetoka nao mbali sana Wazee 🤗🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂
 
Back
Top Bottom