Miaka ile ya 1967 ilikuwa kawaida mtoto wako akafanana na Baba wa jirani, na ilikuwa kawaida maana Mama akiwa mjamzito akimchukia jirani basi anakuwa amebeba mtoto atakayefanana na jirani 😜#Kitanda Hakizai Haramu
#Ukichapiwa Kausha 🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️
Huyu mnyama gani?
Miaka ile ya 1967 ilikuwa kawaida mtoto wako akafanana na Baba wa jirani, na ilikuwa kawaida maana Mama akiwa mjamzito akimchukia jirani basi anakuwa amebeba mtoto atakayefanana na jirani 😜
Msemo wa kitanda hakizai haramu tumetoka nao mbali sana Wazee 🤗🏃♂️🏃♂️🏃♂