Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

5c3d7ada6d50ee17a6c6b2739161e251.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kheri ya kutimiza miaka kadhaa ndani ya jf mzee Shimba ya Buyenze,

Mungu akulinde/akuzidishie mibaraka mzee wa busara,

Naamini kila jambo lina sababu,basi jf imekuwa sababu ya kujuana kwa mwandiko na tukaishi kama family,

Mungu atulinde sote atuepushe na fitna tuendelee kufurahi pamoja humu ndani,,,,atujaalie Afya njema maana Afya njema ni mtaji,,,,

Nawapenda wote humu ndani,


All the best every one❤
 
Back
Top Bottom