Vitu vya ndanivinauzwa

elmagnifico

JF-Expert Member
Jul 7, 2011
8,260
9,704
Kitanda 220000 sofa 360000 friji 420000
Locatio tegeta wazo
Simu 0678332605
Reason narudi kijijini kulimaView attachment 1201447
20190908_094451.jpeg
View attachment 1201449
20190905_080655.jpeg
20190905_080600.jpeg
20190905_080739.jpeg
IMG_20171224_141753.jpeg
 
Duh! Kumbe mjini hapakaliki namna hii? Useme labda unatafuta mtaji. Mi naona kijijini kwa mwendo huu maisha yatakuwa magumu sana bora ukomae hapahapa
 
Tuzingatieni muktadha wa jukwaa wapenda... Ni jukwaa la matangazo na si mijadala na kejeli
Unaweza kumcheka kuwa anarudi kijijini lakini huwezi kujua kwanini anarudi... Usishangae baada ya mwaka mmoja akawa njema kuliko wewe
Tuheshimu maamuzi ya mtu na tuwe na tafakuri pia.. Kama kuna magumu anapitia mtie moyo msaidie huyajui ya kesho... Kumbuka hujafa hujaumbika
 
Tuzingatieni muktadha wa jukwaa wapenda... Ni jukwaa la matangazo na si mijadala na kejeli
Unaweza kumcheka kuwa anarudi kijijini lakini huwezi kujua kwanini anarudi... Usishangae baada ya mwaka mmoja akawa njema kuliko wewe
Tuheshimu maamuzi ya mtu na tuwe na tafakuri pia.. Kama kuna magumu anapitia mtie moyo msaidie huyajui ya kesho... Kumbuka hujafa hujaumbika
Well said brother. Mimi pia naomba nitoe ushauri kwa watu humu,msipende sana kutumia matatizo ya wengine kama fursa. Kuna watu bei wanayotamka kama wanataka kumkomoa muuzaji. Kumbuka mbali na kupata atakachokuuzia wewe pia unakuwa kama msaada kwa anayopitia mhusika ambapo itakuwa baraka kwako na vizazi vyako pia.
 
Back
Top Bottom