vyote vinauzwa pamoja isipokuwa Tv tu saa na pazia..
Bei tajwa hapo zote kuna maongezi
MAHALI; Gongolamboto Dar es salaam
SIMU ; 0683473391
kama unahitaji au kuuliza piga simu, maana siko online muda wote
sofa mbili zote......................................200,000
kiti cha plastic...........................................10,000
zulia.................................................................50,000
meza..............................................................90,000
mashine ya kufua..............................200,000
vyombo na jiko......................................120,000
kitanda,taa na box lake .................250,000
Fridge............................................................200,000
JUMLA VYOTE NI...........1,120,000
Ukihitaji vuote itakuwa bora zaidi na bei inakuwa nafuu zaidi kuliko kuchukua kimoja kimoja..ijapokuwa na kimoja kimoja inawezekana
CHANGAMOTO ZILIZOPO
* Kwenye mashine ya kufua sehemu ya kukausha ndo inazingua kukausha ila ukitaka kurekebisha inarekebisha..mimi sikuirekebisha kwa sababu hapakuwa na ulazima kiviiiile,nikapotezea....ila ni mashine heavy duty inabeba kilo 8 hadi 10 za nguo
* zulia ni la kufua tu
Bei tajwa hapo zote kuna maongezi
MAHALI; Gongolamboto Dar es salaam
SIMU ; 0683473391
kama unahitaji au kuuliza piga simu, maana siko online muda wote
sofa mbili zote......................................200,000
kiti cha plastic...........................................10,000
zulia.................................................................50,000
meza..............................................................90,000
mashine ya kufua..............................200,000
vyombo na jiko......................................120,000
kitanda,taa na box lake .................250,000
Fridge............................................................200,000
JUMLA VYOTE NI...........1,120,000
Ukihitaji vuote itakuwa bora zaidi na bei inakuwa nafuu zaidi kuliko kuchukua kimoja kimoja..ijapokuwa na kimoja kimoja inawezekana
CHANGAMOTO ZILIZOPO
* Kwenye mashine ya kufua sehemu ya kukausha ndo inazingua kukausha ila ukitaka kurekebisha inarekebisha..mimi sikuirekebisha kwa sababu hapakuwa na ulazima kiviiiile,nikapotezea....ila ni mashine heavy duty inabeba kilo 8 hadi 10 za nguo
* zulia ni la kufua tu
- hilo sofa moja la njano unaweza badirisha cover yake
- kitanda pia ni cha kufuta tu kama ukiona kuna sehemu yenye vumbi