SOLD: Vitu vya ndani vinauzwa vyote

SOLD: Vitu vya ndani vinauzwa vyote

Status
Not open for further replies.

Bac3

JF-Expert Member
Joined
Apr 21, 2016
Posts
392
Reaction score
437
vyote vinauzwa pamoja isipokuwa Tv tu saa na pazia..

Bei tajwa hapo zote kuna maongezi

MAHALI; Gongolamboto Dar es salaam

SIMU ; 0683473391

kama unahitaji au kuuliza piga simu, maana siko online muda wote

sofa mbili zote......................................200,000
kiti cha plastic...........................................10,000
zulia.................................................................50,000
meza..............................................................90,000
mashine ya kufua..............................200,000
vyombo na jiko......................................120,000
kitanda,taa na box lake .................250,000
Fridge............................................................200,000


JUMLA VYOTE NI...........1,120,000

Ukihitaji vuote itakuwa bora zaidi na bei inakuwa nafuu zaidi kuliko kuchukua kimoja kimoja..ijapokuwa na kimoja kimoja inawezekana

CHANGAMOTO ZILIZOPO

* Kwenye mashine ya kufua sehemu ya kukausha ndo inazingua kukausha ila ukitaka kurekebisha inarekebisha..mimi sikuirekebisha kwa sababu hapakuwa na ulazima kiviiiile,nikapotezea....ila ni mashine heavy duty inabeba kilo 8 hadi 10 za nguo

* zulia ni la kufua tu

  • hilo sofa moja la njano unaweza badirisha cover yake
  • kitanda pia ni cha kufuta tu kama ukiona kuna sehemu yenye vumbi
ni hayo tu


20250927_163316.jpg



20250927_164206.jpg



20250927_174134.jpg



VideoCapture_20250927-164621.jpg
 
vyote vinauzwa pamoja isipokuwa Tv tu saa na pazia..

Bei tajwa hapo zote kuna maongezi

MAHALI; Gongolamboto Dar es salaam

SIMU ; 0683473391

kama unahitaji au kuuliza piga simu, maana siko online muda wote

sofa mbili zote......................................200,000
kiti cha plastic...........................................10,000
zulia.................................................................50,000
meza..............................................................90,000
mashine ya kufua..............................200,000
vyombo na jiko......................................120,000
kitanda,taa na box lake .................250,000
Fridge............................................................200,000


JUMLA VYOTE NI...........1,120,000

Ukihitaji vuote itakuwa bora zaidi na bei inakuwa nafuu zaidi kuliko kuchukua kimoja kimoja..ijapokuwa na kimoja kimoja inawezekana

CHANGAMOTO ZILIZOPO

* Kwenye mashine ya kufua sehemu ya kukausha ndo inazingua kukausha ila ukitaka kurekebisha inarekebisha..mimi sikuirekebisha kwa sababu hapakuwa na ulazima kiviiiile,nikapotezea....ila ni mashine heavy duty inabeba kilo 8 hadi 10 za nguo

* zulia ni la kufua tu

  • hilo sofa moja la njano unaweza badirisha cover yake
  • kitanda pia ni cha kufuta tu kama ukiona kuna sehemu yenye vumbi
ni hayo tu


View attachment 3480256


View attachment 3480257


View attachment 3480258


View attachment 3480259

Hicho kitanda...hata ukinipa bure no...
 
vyote vinauzwa pamoja isipokuwa Tv tu saa na pazia..

Bei tajwa hapo zote kuna maongezi

MAHALI; Gongolamboto Dar es salaam

SIMU ; 0683473391

kama unahitaji au kuuliza piga simu, maana siko online muda wote

sofa mbili zote......................................200,000
kiti cha plastic...........................................10,000
zulia.................................................................50,000
meza..............................................................90,000
mashine ya kufua..............................200,000
vyombo na jiko......................................120,000
kitanda,taa na box lake .................250,000
Fridge............................................................200,000


JUMLA VYOTE NI...........1,120,000

Ukihitaji vuote itakuwa bora zaidi na bei inakuwa nafuu zaidi kuliko kuchukua kimoja kimoja..ijapokuwa na kimoja kimoja inawezekana

CHANGAMOTO ZILIZOPO

* Kwenye mashine ya kufua sehemu ya kukausha ndo inazingua kukausha ila ukitaka kurekebisha inarekebisha..mimi sikuirekebisha kwa sababu hapakuwa na ulazima kiviiiile,nikapotezea....ila ni mashine heavy duty inabeba kilo 8 hadi 10 za nguo

* zulia ni la kufua tu

  • hilo sofa moja la njano unaweza badirisha cover yake
  • kitanda pia ni cha kufuta tu kama ukiona kuna sehemu yenye vumbi
ni hayo tu


View attachment 3480256


View attachment 3480257


View attachment 3480258


View attachment 3480259
Mmmh..🥺🥺.
Hauna ndugu wa kumpa hivyo vitu?
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom