SOLD: Vitu vya ndani vinauzwa vyote

SOLD: Vitu vya ndani vinauzwa vyote

Status
Not open for further replies.
Kanifurahisha mdau kauliza hivi vyombo ndio 120k au kuna vingine....au jiko ndio bei kubwa kanifanya nikathaminishe kila chombo 🤣🤣🤣🤣🤣. JF ukinuna umejitakia
Yaan, 😂😂😂😂😂
 
ndo maana nikasema kwa bei zote hizo zinapungua..kuna maongezi..nafikiri hiuo sentensi inaeleweka...anaesema bei kubwa..aseme yeye bei yake ngapi? nafikiri hii ni common sense tu kila mtu anatakiwa kuwa nayo
 
Washing machine ungeuza elfu 90 hadi laki 1. Mpya siku hizi hadi za 300 zipo
 
Kanifurahisha mdau kauliza hivi vyombo ndio 120k au kuna vingine....au jiko ndio bei kubwa kanifanya nikathaminishe kila chombo 🤣🤣🤣🤣🤣. JF ukinuna umejitakia
Bei imekuja kama ngapi hivi?
 
vyote vinauzwa pamoja isipokuwa Tv tu saa na pazia..

Bei tajwa hapo zote kuna maongezi

MAHALI; Gongolamboto Dar es salaam

SIMU ; 0683473391

kama unahitaji au kuuliza piga simu, maana siko online muda wote

sofa mbili zote......................................200,000
kiti cha plastic...........................................10,000
zulia.................................................................50,000
meza..............................................................90,000
mashine ya kufua..............................200,000
vyombo na jiko......................................120,000
kitanda,taa na box lake .................250,000
Fridge............................................................200,000


JUMLA VYOTE NI...........1,120,000

Ukihitaji vuote itakuwa bora zaidi na bei inakuwa nafuu zaidi kuliko kuchukua kimoja kimoja..ijapokuwa na kimoja kimoja inawezekana

CHANGAMOTO ZILIZOPO

* Kwenye mashine ya kufua sehemu ya kukausha ndo inazingua kukausha ila ukitaka kurekebisha inarekebisha..mimi sikuirekebisha kwa sababu hapakuwa na ulazima kiviiiile,nikapotezea....ila ni mashine heavy duty inabeba kilo 8 hadi 10 za nguo

* zulia ni la kufua tu

  • hilo sofa moja la njano unaweza badirisha cover yake
  • kitanda pia ni cha kufuta tu kama ukiona kuna sehemu yenye vumbi
ni hayo tu


View attachment 3480256


View attachment 3480257


View attachment 3480258


View attachment 3480259
Nikurahisishie ili upate mteje teja haswa

Sofa zote ..........70000
Kiti.......5000
Zuria .....23000
Mashine....120000
Vyombo BURE
Jiko 35000
Kitanda 70000
Fridge 125000
 
Mpya tsh ngapi? Achana na huyu jamaa hakuna machine hapo. Mtu mwenyewe ana kitanda cha blue kina ming'ao kama yote hawezi kuwa na bidhaa ya maana hapo.
🤣🤣🤣🤣🤣 kitanda kimekukosea nini kwani...... washing mashine nzuri mpya Samsung au LG nzuri laki 9 🚶‍♀️🚶‍♀️🚶‍♀️🚶‍♀️🚶‍♀️🚶‍♀️
 
Mlioandika kukejeli muwe na fikra zenu kufungua mjibadili na kwa kupita ya watu humu mengine kimya kimya, sio kila uzi muandike tu.. hamuwogopi ya maisha!!!

Maisha lazima yawe mnavyotaka ya kila mtu?

Mnatia aibu.
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom