Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 85,695
- 145,398
Kitanda kina vibe mkuu huoni mpaka kina Ottoman bench?Hicho kitanda...hata ukinipa bure no...
Huyu jamaa kanifikirisha sana kwamba mtu anaweza kuwa na vitu visivyo vya gharama sana Tanzania halafu akavipanga kama yupo nyumba ya The Hamptons New York 😂😂😂