Afisa Mteule Drj 2
JF-Expert Member
- Mar 21, 2017
- 3,619
- 3,979
vitu vingine vimekaa kihatari hatari tu
vitu vingine vimekaa kihatari hatari tu
Mv chatoHiyo ni MV nini mkuu?
we jamaa bhana sa hapo unatishika nini???vitu vingine vimekaa kihatari hatari tu
we jamaa bhana sa hapo unatishika nini???
Hmm! Unajuaje kama huzami wakati hujawahi kuogelea hata kwenye beseni la maji?...Acha uwoga!, hata mimi nisiyejua kuogelea sizami hapo!.
Duh! Tena ni huko kwetu maana naona bendera yetu hapo mbele ya pick up kwa juu.vitu vingine vimekaa kihatari hatari tu
View attachment 883758
Duh!.. Kumbe ni hapahapa Tanzania!!
unajuaje maji ya beseni yatanizamisha!?..Hmm! Unajuaje kama huzami wakati hujawahi kuogelea hata kwenye beseni la maji?...
Mkuu hii i kigoma nini?kama ndo hapo basi nakumbka mlishapitaga zamani sana but kuna sifa ya mamba hapo so hapo kama kikizama mamba wanafnya yaovitu vingine vimekaa kihatari hatari tu
View attachment 883758