Hivi huko shule mlikuwa mnaenda kusoma ujinga?
Eti wamedeploy kimeli hicho hapo juu Mediterranean kukabiliana na dude hilo la USA
Waarabu mbona wana utani mwingi. Vitu vingine tusilete utani
Kama Hamas wangekuwa wanatishika na mavifaa ya kijeshi basi wasingeanzisha mtiti na kama mavifaa makubwa makubwa ndio ushindi usa anageshinda vietnam hii mavifaa mengi tishia watu wenye inferiority mind ila kwa watu wenye kujitambua wanajua hayana maana sana sana ni target ya kubutuliwa hayo madude hiyo ndio doctrine ya asymetrical warfare dont dare kujaribu kumatch level zako ziwe sawa na adui yako hutapambana nae ila angalia ni namna gani kidogo kile kidogo chako kinaweza kuleta madhara makuu mpaka adui asitamani kukudhuru .
Eti wamedeploy kimeli hicho hapo juu Mediterranean kukabiliana na dude hilo la USA
Waarabu mbona wana utani mwingi. Vitu vingine tusilete utani
Mmmm mambo ya shule na wewe utasimama ? Nyambafuu.....very low IQ in the row......mbali sanaaaa......kuleeeeee ....unabebwa tu...subiri nyota izime utaelewa hata huyo mlezi anasubiri akunyooshe......mtoto mama sele...muuza ubwabwa.....baganoyo....very low IQ.Hivi huko shule mlikuwa mnaenda kusoma ujinga?
Iran ni muarabu?
Marekani ni mchumba tu.
Eti wamedeploy kimeli hicho hapo juu Mediterranean kukabiliana na dude hilo la USA
Waarabu mbona wana utani mwingi. Vitu vingine tusilete utani
Iyo ni kweli,bila kusahau javelin zilivyovichakaza vifaru vya urusi!Mbona Ant tank ndogo za dora 1000 zimeweza kuteketeza vifaa 850 vya kijeshi vya Israel vikiwemo vile vifaru vikubwa kama nyumba mliyo mnatuambiaga havipigiki vyenye thamani ya mabilion ?
Alafu mbona hakuna sehemu ambayo Iran alisema anapeleka meli kupambana na Marekani?
Nimewahi kukutana na sheikh anasema wanajifunza karate kwa sababu mwisho wa Dunia Allah atageuza bunduki kuwa fimbo
😂😂😂Mmmm mambo ya shule na wewe utasimama ? Nyambafuu.....very low IQ in the row......mbali sanaaaa......kuleeeeee ....unabebwa tu...subiri nyota izime utaelewa hata huyo mlezi anasubiri akunyooshe......mtoto mama sele...muuza ubwabwa.....baganoyo....very low IQ.
Hivyo wewe unategemea Iran aandikwe vizuri na media za kimagharibi,, kule Ukraine tuliambiwa Russia kaishiwa silaha anatumia makoleo, nini kinaendelea mpaka sasa Zaidi ya Russia kuimega Ukraine kama si kuichukua yote,, shtuka Hollywood zinakudanganya..
Eti wamedeploy kimeli hicho hapo juu Mediterranean kukabiliana na dude hilo la USA
Waarabu mbona wana utani mwingi. Vitu vingine tusilete utani