Hadi leo sijaona ushahidi wa hiki. Ila kama mlitumia mbwinu ya kumpa mtz jina baya ili mfanye yenu sawa.
Ushahidi kila sehemu maiti ni za Watanzania. Waliopelekwa mahakamani ni watanzania.
Huko Kenya hatujasikia hata sisimizi akipiga kelele kuwa vijana wao wamepotea.
Endelea kujifurahisha tu.