JF Member
JF-Expert Member
- Dec 14, 2014
- 7,391
- 9,665
Hapa naweka baadhi tu ya vitu vilivgopanda Bei, bila kujali Vita ya Urusi. Vingine vilipanda tangu mwaka Jana.
1. Kuunganisha umeme.
2. Tozo za kutuma na kutoa hela
3. Mafuta ya kula
4. Umeme wa LUKU.
5. Nauli za usafiri.
6. Bei za vifaa vya ujenzi.
7. Mafuta ya Petrol/Diesel/ Taa.
8. Soda.
9. Bei ya Nafaka.
10. Bei ya Sabuni
Wengine mnaweza ongeza ili ujumbe uwafikie kwamba wanatakiwa wafanye kazi kwa makini na sio kusingizia vita na kuendelea kuandaa matamasha tu, kila siku Rais Yuko kwenye matamasha ili kumpotezea mda.
Tamasha la Royo Tuwa, Tamasha la Afya, Tamasha la Siasa, Tamasha la UVCCM, Tamasha la Wanahabari n.k
Tunataka kazi na maamuzi hata kwenye mambo Magumu.
1. Kuunganisha umeme.
2. Tozo za kutuma na kutoa hela
3. Mafuta ya kula
4. Umeme wa LUKU.
5. Nauli za usafiri.
6. Bei za vifaa vya ujenzi.
7. Mafuta ya Petrol/Diesel/ Taa.
8. Soda.
9. Bei ya Nafaka.
10. Bei ya Sabuni
Wengine mnaweza ongeza ili ujumbe uwafikie kwamba wanatakiwa wafanye kazi kwa makini na sio kusingizia vita na kuendelea kuandaa matamasha tu, kila siku Rais Yuko kwenye matamasha ili kumpotezea mda.
Tamasha la Royo Tuwa, Tamasha la Afya, Tamasha la Siasa, Tamasha la UVCCM, Tamasha la Wanahabari n.k
Tunataka kazi na maamuzi hata kwenye mambo Magumu.