Waooohkwanza onyesha kumjali sana.. usipepese sana macho kwa wapita njia... mpe kipaumbele kama ni gari aanze yeye kupanda... mtanie tanie njiani msiwe mabubu... pia mshike mkono mwanzo mwisho usikubali distance kati yenu..!!!!
Inaonekana unapania, angalia isije ikagoma kusimama siku hiyoyap ni mpya huyu na hata bado sijamgegeda
Kwani kasema wanaenda ku do?Inaonekana unapania, angalia isije ikagoma kusimama siku hiyo
Enzi za Mwl Slipway ilikuwepo?Kumtoa out mpenzi wako inategemea sana na uwezo ulionao wa kifedha. Ila kwanza tafuta sehemu unayoimudu kwa gharama na usimpeleke sehemu kubwa sana Zaidi ya uwezo wako na mazingira uliyozoea hata kama una hela nyingi. Nenda sehemu ambayo utakuwa comfortable na mazingira. Kutoka out ni suala ambalo litakupa nafasi ya kuongea na kufurahi pamoja kwa uhuru. Vitu kama chakula au vinywaji ni visindikizi tu katika maongezi yenu ya kimapenzi hivyo usivipanie sana. Nakupenda Enzi zangu nilikuwaga namfukuzia mtoto mmoja wa geti kali basi alipokubali tutoke out nikampeleka Slipway Enzi hizo za Mwl. Nakumbuka demu wala hakuenjoy sana kwa kuwa familia yao walikuwa wanataratibu za kwenda maeneo hayo ya gharama kila w/end. Nilipousoma mchezo nikambadilishia kiwanja nikampeleka sehemu baa moja ya uswazi tukatulia jioni moja alienjoy kupita maelezo. So mtoa mada msome mpenzi wako umchagulie sehemu una uhakika ata enjoy
Dem ukimtoa out hata ka ni saa nane usiku lazima aitishe chakula kwani? Mayb women were genetically wired to eat alotbeba pesa ya kutosha incase of emergence usije ukakimbia bill
eating is one of our hobby kama saa nane usiku tunakula hata nyamachomaDem ukimtoa out hata ka ni saa nane usiku lazima aitishe chakula kwani? Mayb women were genetically wired to eat alot
Hahaha nimeamini,, hiyo avatar ni yako eeh itabidi tuzame pmeating is one of our hobby kama saa nane usiku tunakula hata nyamachoma
Umetoka kolomije au?? Kumbe wanaume wa hivi bado wapo? I can't blv tduh kipi hicho wakati sijui nianzie wapi
enzi zangu eeh now nishakula chumvi pipa zimaHahaha nimeamini,, hiyo avatar ni yako eeh itabidi tuzame pm
Lakini title naona bado ni missenzi zangu eeh now nishakula chumvi pipa zima
taji sijavua though in afande sele's voiceLakini title naona bado ni miss