Mehek
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 7,474
- 10,418
MmmmmSiku hizi kumejaa vitoto humu balaa!
MmmmmSiku hizi kumejaa vitoto humu balaa!
Hahahaa!beba pesa ya kutosha incase of emergence usije ukakimbia bill
Wanawake wa mmu wanasema ubebe hela tuu...vitu vingine vitajiset vyenyewe tuuHata evening walk barabarani pia ni mtoko. Mtaji miguu yenu tu, Sana sana utagharamia ice cream za bahkresa tu
Mfano muwapo njiani ajitahidi kumlinda, mnapovuka barabara hakikisha usalama wake kwnz kwa kuhakksha anavuka vemakwanza onyesha kumjali sana.. usipepese sana macho kwa wapita njia... mpe kipaumbele kama ni gari aanze yeye kupanda... mtanie tanie njiani msiwe mabubu... pia mshike mkono mwanzo mwisho usikubali distance kati yenu..!!!!
Wewe unaonekana ni mtaalam wa mambo hayo.. hongera ata mimi umenipa somo kiukweliHaya me nakusaidia kwa maono yangu au jinsi nnavo penda kuwa treated
Kama una gari hakikisha unamfungulia mlango kuingia au kutoka
Mkikaa msogezee kiti
Mwambie unampenda na unajiskiaje kutoka naye
Ustaarabu wa hali ya juu sio kumshikashika kwy public,mara uombe french kis hell noo
Usiongelee mapenzii tuu utaboa ongelea na maisha kidogo
Mpe first priorty kwa kila kitu hata chakula kama kapenda kitu lets say salad unaweza muongezea yako kidogo
NB mawazo yng tuu
Afanye venye moyo wake unapendagaDooh!
Sasa hapa utachukua wazo lipi...?
Nashauri ufanye kwa maono yako binafsi...
Unaweza ukapata wazo kumbe ndio linakupoteza...
Msome kwanza mwenzako anapenda nini...ili usiharibu
Kama uko Songea mjini, mpeleke Ramori, hutahujitia out yenu.anapenda sana ngoma za kienyeji hasa mnanda huku kwetu songea
Hayo yalikuwa zamani, sasa hivi watu ni wastaarabu. Sana sana watakachofanya ni kuchukua/kumpatia namba ya simu pale utakapokuwa umewmacha peke yake na kwenda washroom. Hiyo namba huwa inachukuliwa kupitia kwa Wahudumu wa eneo hilo, ambao humletea namba ya Jamaa ikiwa imeandikwa kwenye tissue.Mimi nimeshawahi kutoka na mtoto mkali usiku lkn sasa wakati tunarudi njiani usiku sinikaona kama njemba 5 mbele hivi hazieleweki acha nitetemeke ....my take hata ngumi uwe unajua at least mtoto mkali watu watamchukua.
Hahaha Umeona eeWanawake wa mmu wanasema ubebe hela tuu...vitu vingine vitajiset vyenyewe tuu
kidogo mkuu tuna share tunakichokijuaWewe unaonekana ni mtaalam wa mambo hayo.. hongera ata mimi umenipa somo kiukweli
Dah! Unafurahisha sana mkuu.Usitumie hela ovyo kama hujui LOGARITHMS na CALCULUS kwa maana kama mlienda na daladala kuna uwezekano wa kurud na MIGUU!
Yaan JF dah!, hadi kutoka out unahitaji ushauri nn cha kufanya?, kesho utakuja tena eti ndio naelekea chumbani nishaurin nn cha kufanya.