Msemaji_
JF-Expert Member
- Oct 22, 2016
- 538
- 668
Habarini wakuu,
Sorry! Mimi ni mtanzania mwenzenu nahitaji vitu kadhaa vya kuzingatia wakati wa kumtoa out mpenzi wako (wangu), coz kwangu ni mara ya kwanza kufanya hivi jamani, sasa basi nahitaji mchango wenu wa nini nifanye kabla na wakati wa hayo matembezi na kingine sijajua sehemu nzuri ya kukaa na mpenzi wako mkafurahi na kubadilishana mawazo ni sehemu gani.
Sorry! Mimi ni mtanzania mwenzenu nahitaji vitu kadhaa vya kuzingatia wakati wa kumtoa out mpenzi wako (wangu), coz kwangu ni mara ya kwanza kufanya hivi jamani, sasa basi nahitaji mchango wenu wa nini nifanye kabla na wakati wa hayo matembezi na kingine sijajua sehemu nzuri ya kukaa na mpenzi wako mkafurahi na kubadilishana mawazo ni sehemu gani.