Vitu ambavyo hautafanya mpaka 29 October ipite

Vitu ambavyo hautafanya mpaka 29 October ipite

didy muhenga

JF-Expert Member
Joined
Nov 8, 2022
Posts
2,058
Reaction score
3,443
Wakuu karibun mtaje vitu ambavyo hamtovifanya mpaka nchi hii ikombolewe. Binafsi naanza kama ifuatavyo
1. Sitofanya mapenzi mpaka October 29 ipite.
2. Sitoangalia picha au picha mjongeo yoyote yenye maudhui ya ngono.

Karibu mtiririke
 
Wakuu karibun mtaje vitu ambavyo hamtovifanya mpaka nchi hii ikombolewe. Binafsi naanza kama ifuatavyo
1. Sitofanya mapenzi mpaka October 29 ipite.
2. Sitoangalia picha au picha mjongeo yoyote yenye maudhui ya ngono.

Karibu mtiririke
Mi opposite yake mkuu,ili nisiwe na stress sana hapa katikati....au huenda ndiyo litakuwa kojozo la mwisho...hatujui
 
Wakuu karibun mtaje vitu ambavyo hamtovifanya mpaka nchi hii ikombolewe. Binafsi naanza kama ifuatavyo
1. Sitofanya mapenzi mpaka October 29 ipite.
2. Sitoangalia picha au picha mjongeo yoyote yenye maudhui ya ngono.

Karibu mtiririke

Kuna mtu ameghairisha uwekezaji mahala anasubiri October ipite kwanza
 
Wakuu karibun mtaje vitu ambavyo hamtovifanya mpaka nchi hii ikombolewe. Binafsi naanza kama ifuatavyo
1. Sitofanya mapenzi mpaka October 29 ipite.
2. Sitoangalia picha au picha mjongeo yoyote yenye maudhui ya ngono.

Karibu mtiririke
Kwa hali ya hewa jijini ilivyo hiyo namba moja najitoa, lazima niutumikie vilivyo. ila namba 2 tupo pamoja.
29 Oct tupo pamoja 🙏🙏
 
Wagombea urais wamegeuka vituko! Wanatoa ahadi zisizotekelezeka, wamegeuka wachekeshaji, nendeni kwenye mikutano yao ya kampeni mkacheke tani yenu
 
Inaonekana ni mpiga nyeto mkubwa sana wewe, hayo madudu yako umetaja hapo hayajawahi kumuacha mtu salama.
 
Mm nitapiga nyeto kabla sijatoka hy 29, mana uhakika wa kurudi utakuwa mdogo sana bora nife nikiwa nshatoka kunyonga mnazi
 
Inaoneonaka inawaza ngono, unakula ngono, unaabudu ngono, unalala ngono na unaamka na ngono maisha yako yote.
 
Back
Top Bottom