Vitisho vya Azana

Vitisho vya Azana

Maneno hasi ya Azana yananifanya nisilale kila ifikapo alfajiri.
Kwa mbali naskia "Swalah Swalah
Kitanda chako ndio kaburi lako
Usingizi wako ndio kifo chako" na maneno mengine ya kukutoa kitandani.

Oya hz Mambo Kama wangeweza kupigiana simu waambiane muda wa kuswali umefika ingependeza zaidi
Mana tunaosikia hivyo vitisho ni wengi hasa ss tunaolala nusu nusu

Najua Sehem ya wahusika mnasoma na isiishie hapo mkaambiane huko uongozini Mana hw wa mtaani kwang wanajitia viziwi
Kitanda chako ndo kaburi lako😆
 
Muda sahihi kwa mwanadamu ni masaa 8+. Hayo masaa 4 umeyatoa wapi?

Sikia broo: kula mara tatu, kulala masaa 8 ni maandika yako promoted na viwanda vya madawa.

Wanachochea ili upate kuumwa ili biashara zao ziendelee.

Ukila mara moja (1 0 0) au mara mbili chakula kikuu au mara mbili (1 1 0) hutoumwa magonjwa yasiyo ya kuambukiza.

Ukitaka kuwa tofauti ya kufikiri na wanaolala masaa 8 lala masaa 4. Masaa 4 yatumie kujisomea, fanya shughuli ya uzalishaji yyt.

Anaelala sana hafaidiki chcht na kulala kwake.

Waliofanikiwa wote hulala muda mfupi.

Ni siri hii hutoambiwa na yyt.
 
Maneno hasi ya Azana yananifanya nisilale kila ifikapo alfajiri.
Kwa mbali naskia "Swalah Swalah
Kitanda chako ndio kaburi lako
Usingizi wako ndio kifo chako" na maneno mengine ya kukutoa kitandani.

Oya hz Mambo Kama wangeweza kupigiana simu waambiane muda wa kuswali umefika ingependeza zaidi
Mana tunaosikia hivyo vitisho ni wengi hasa ss tunaolala nusu nusu

Najua Sehem ya wahusika mnasoma na isiishie hapo mkaambiane huko uongozini Mana hw wa mtaani kwang wanajitia viziwi
Faizafoxy anasema na kusisitiza 👇

Screenshot_20231008_114618_Samsung Internet.jpg
 
Maneno hasi ya Azana yananifanya nisilale kila ifikapo alfajiri.
Kwa mbali naskia "Swalah Swalah
Kitanda chako ndio kaburi lako
Usingizi wako ndio kifo chako" na maneno mengine ya kukutoa kitandani.

Oya hz Mambo Kama wangeweza kupigiana simu waambiane muda wa kuswali umefika ingependeza zaidi
Mana tunaosikia hivyo vitisho ni wengi hasa ss tunaolala nusu nusu

Najua Sehem ya wahusika mnasoma na isiishie hapo mkaambiane huko uongozini Mana hw wa mtaani kwang wanajitia viziwi
Nakubaliana na wewe! Kelele na vitisho wafanyiane wa dini husika maana ni mambo yao hayo! Sheria iangalie hivi vitu!
 
Maneno hasi ya Azana yananifanya nisilale kila ifikapo alfajiri.
Kwa mbali naskia "Swalah Swalah
Kitanda chako ndio kaburi lako
Usingizi wako ndio kifo chako" na maneno mengine ya kukutoa kitandani.

Oya hz Mambo Kama wangeweza kupigiana simu waambiane muda wa kuswali umefika ingependeza zaidi
Mana tunaosikia hivyo vitisho ni wengi hasa ss tunaolala nusu nusu

Najua Sehem ya wahusika mnasoma na isiishie hapo mkaambiane huko uongozini Mana hw wa mtaani kwang wanajitia viziwi
Wanakupigia makelele uKiwa unasikilizia ,.....b .oo ya matta core
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom