Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,385
Kwa mtindo huu Tutakwisha kwa majanga
halafu wananchi wanamuangalia tu ....zimamoto ?Trafiki mwenyewe anazima moto kitozi anaogopa sare yake isichafuke
Anaogopa kuungua bwana. Hii ilikuwa lini?Trafiki mwenyewe anazima moto kitozi anaogopa sare yake isichafuke
Traffic anazima moto, Fire brigade wako wapi????, na huyo dogo kona badala ya kunyosha kidole tu, ni bola na yeye angesaidia