[emoji15] [emoji134] nitafanya hivyo Mkuu, maana[emoji134] [emoji24]Yaani Miezi 6 kitambi kimekua mpaka unashindwa kuvaa viatu na kukaa chini? Kapime ugonjwa wa ini au moyo nao unasababisha tumbo kuvimba,unaweza ukafikiri kitambi kumbe tumbo limevimba.
Kama kitambi cha mlundikano wa wese fanya mazoezi ya kukimbia na diet kitatoka fasta ndani ya miezi mi3 utakuwa na tumbo flat.Yaaan kumbe wenye Vitambi wana shida sana.
Ukimuona mtaaani unaona vizuri.
Kumbe nyuma ya pazia ni balaaa
mtu mwenye kitambi mwambie avae soksi au akate kucha za miguu yake,utamuhurumia sana😁Wasalamu wakuu,
Ndugu zangu, Siku hizi naona kitambi kimeanza kujitokeza[emoji134] asikwambie mtu kitambi kina shida.
Naangaika jinsi ya kukaa, nalazimika kulegeza mkanda wakati nakaa, nahangaika kweli mpaka naona tumbo linauma[emoji134]
Kuvaa viatu shida, kuvua viatu shida[emoji134]
Kuvaa suruali shida, yaani shida tupu.
Wakuu wenye vitambi toka zamani, huwa mnaendana navyi vipi? Ama mnafanyaje wakati wa kukaa? Kuvaa viatu n.k????
Msaada wenu wakuu.
Kunyoa mavuvuzela ndiyo taabu kubwaWasalamu wakuu,
Ndugu zangu, Siku hizi naona kitambi kimeanza kujitokeza[emoji134] asikwambie mtu kitambi kina shida.
Naangaika jinsi ya kukaa, nalazimika kulegeza mkanda wakati nakaa, nahangaika kweli mpaka naona tumbo linauma[emoji134]
Kuvaa viatu shida, kuvua viatu shida[emoji134]
Kuvaa suruali shida, yaani shida tupu.
Wakuu wenye vitambi toka zamani, huwa mnaendana navyi vipi? Ama mnafanyaje wakati wa kukaa? Kuvaa viatu n.k????
Msaada wenu wakuu.
Vtambi wengi wavivu kwenye gemu huhema juu juu ka bata na mchezo kwao ni sifuriYaaan kumbe wenye Vitambi wana shida sana.
Ukimuona mtaaani unaona vizuri.
Kumbe nyuma ya pazia ni balaaa
Alikuwa sahihi kwa 100%.Kuna jamaa aliwahi kusema namnukuu "kitambi ni dalili muhimu ya uzembe na ukosefu wa nidhamu juu ya mwili wako " alisema na kuongeza
Hahahha...aiseee...nikirudisha nyuma miezi kama Sita hivi...nilikuwa fresh, sina tabu kukaa, kuvaa viatu...kupiga kiwi.
Now shida tu.
Gongo tena mkuu![emoji134] [emoji2]
Mtoa mada,tafuta mchepuko mmoja tu,akiomba pesa za matumizi kwa miezi 2 mfulululizo kitambi chote kwisha habari yake.
Angalia tu usije tomb.wa,maana wenye vitambi wengi wana vibamia plus kutoweza kupiga show za kibabe!!
Hahahhaha...huwa mnafanyaje asee wazoefu?
Pia kitambi ni dalili ya ulafi maana yake unakula hovyo hovyoKuna jamaa aliwahi kusema namnukuu "kitambi ni dalili muhimu ya uzembe na ukosefu wa nidhamu juu ya mwili wako " alisema na kuongeza
Unakula nini mkuu?
Mbona kitambi kimeota kwa muda mfupi hivyo?
Nasikia huwa wananyea humo humoIvi ndani ya kitambi huwa kunakua na nini..gesi au ni nini