Vitalis Maembe: Makonda shika adabu yako, Chuo cha Sanaa Bagamoyo si sawa na wasafi wa nguo

Bora Asingejibu.. Hao Aliwataja wamelisaidia nini Taifa hili kama siyo kutafuna pesa za walipa kodi?? Wameshindwa hata kupeleka mawazo kwa Waziri wa Sanaa pale chuoni pawe na Studio ya kimataifa mapato yarudi selikalini?? Makonda Ana mapungufu mengi sana ila kwa Hili yuko sahihi...
Chuo cha Sanaa! Tafsiri ya sanaa ni pana na mtambuka!
 
Wengi tunaongea kwa mapenzi binafsi lakini ningependa kuongea kwa uhalisia (circumstantial facts) ambao nimeshuhudia kwa macho yangu kwa sababu mimi ni mkazi wa bagamoyo tangu 2003 ( muhamiaji) tangu hiyo 2003 najua ni muda mfupi sana ukilinganisha na umri wa chuo lakini nimeona vijana wenzangu wakijikwamua kiuchumi kupitia kujifunza ama kuborehsa vipaji vyao kipitia elimu watiyoipata Taasisi na kijipatia vipato


Ukizungumzia elimu ya sanaa inayotolewa pale ni pana ila watu asilimia kubwa ya watu wanadhani sanaa ni muziki pekee WCB kama imetoa ajira sidhani kama inafika kwa vijana 40 lakini elimu iliyotolewe kwa vijana pale tasuba ninaowajua na kuwafaham wanazidi 50 walau wana maisha ya kijiajiri wenyewe ama kwa njia nyingine na wengine wapo nnje ya nchi kwa ajili elimu ya sanaa tatizo ni kwamba hii taasisi haijitangazi sio media chaser

Labda tuambiane mafanikio ni kutoa msaada kwa jamii kila siku au mafanikio ni kumfunza mtu kujitafutia aweze kijitegeme aondokanae na kuwa tegemezi sipingi jitihada za WCB hata chembe ila napinga kuto kutambua jitihada za upande mwingine kusaidia vijana

Lazima tujue kutofautosha umaarufu na mafanikio
 
Makonda anaweza kuwa sahihi - lkn pia lugha aliyotumia huyu Maembe ni ya ukakasi as if kuna ugomvi wa muda mrefu baina yao
(i). Tupe jina la mwanamziki mwenye akili ya kusaidia wananchi aliyepita hapo (hii ndiyo hoja ya makonda)
(ii). Tupe mwanamziki aliyeitangaza Tanzania nje ya mipaka yetu kama Diamond (hii ndiyo hoja ya Makonda)
(iii). Tupe mwanamziki aliyeinua vipaji vya wanamziki chipukizi nchini (hii ndiyo hoja ya Makonda)

Usimshambulie Makonda jibu hoja na ikiwezekana kubali kubadilika!!!!!
Tulitazamia mtu akitaja Chuo hicho reflection yake iwe sawa na vyuo kama Mzumbe, UDSM nk
 
Makonda anaweza kuwa sahihi - lkn pia lugha aliyotumia huyu Maembe ni ya ukakasi as if kuna ugomvi wa muda mrefu baina yao
(i). Tupe jina la mwanamziki mwenye akili ya kusaidia wananchi aliyepita hapo (hii ndiyo hoja ya makonda)
(ii). Tupe mwanamziki aliyeitangaza Tanzania nje ya mipaka yetu kama Diamond (hii ndiyo hoja ya Makonda)
(iii). Tupe mwanamziki aliyeinua vipaji vya wanamziki chipukizi nchini (hii ndiyo hoja ya Makonda)

Usimshambulie Makonda jibu hoja na ikiwezekana kubali kubadilika!!!!!
Tulitazamia mtu akitaja Chuo hicho reflection yake iwe sawa na vyuo kama Mzumbe, UDSM nk


Tasuba, ni taasisi ya sanaa, sio chuo cha muziki. Pale kumetoa wanazuoni wengi wenye elimu kuliko makonda. Wanaotoka pale baadhi yao wanakwenda Chuo kikuu cha Dar es Salaam moja kwa moja.
Wewe na Bashite wote hamjui kitu, sasa unataka utajiwe wapaka poda ndio ujue mafanikio ya chuo?
 
Hiki chuo hakiendani na muda kabisa mpaka leo unatutajia kina jangala
Hamjaelewa hoja ya msingi ya Vitalisi. Ukimsoma vizuri ni kwamba chuo cha sanaa bagamoyo kazi yake si kufundisha wanamuziki

Sanaa si muziki peke yake! Hivyo kusema chuo hakijatoa wasanii waliolisaidia Taifa ni kudhihirisha kuwa msemaji hajui sanaa ni nini.

Vitalisi alijaribu kuonesha wasanii mbalimbali waliotokana na chuo cha sanaa Bagamoyo lakini wachangiaji wengi bado wanadhani sanaa ni muziki na maigizo tu

Diamond ni mwanamuziki, pale Bagamoyo hawafundishi muziki tu! Wanaweza kuwa hawajafanya vizuri kwenye upande wa muziki, lakini hiyo haiwezi kuwa sababu ya kusema hawana lolote. Huenda muziki si kipaumbele chao cha kwanza pale chuoni
 
Hamjaelewa hoja ya msingi ya Vitalisi. Ukimsoma vizuri ni kwamba chuo cha sanaa bagamoyo kazi yake si kufundisha wanamuziki

Sanaa si muziki peke yake! Hivyo kusema chuo hakijatoa wasanii waliolisaidia Taifa ni kudhihirisha kuwa msemaji hajui sanaa ni nini.

Vitalisi alijaribu kuonesha wasanii mbalimbali waliotokana na chuo cha sanaa Bagamoyo lakini wachangiaji wengi bado wanadhani sanaa ni muziki na maigizo tu

Diamond ni mwanamuziki, pale Bagamoyo hawafundishi muziki tu! Wanaweza kuwa hawajafanya vizuri kwenye upande wa muziki, lakini hiyo haiwezi kuwa sababu ya kusema hawana lolote. Huenda muziki si kipaumbele chao cha kwanza pale chuoni
Chuo cha bagamoyo hakuna tija
 
Hamjaelewa hoja ya msingi ya Vitalisi. Ukimsoma vizuri ni kwamba chuo cha sanaa bagamoyo kazi yake si kufundisha wanamuziki

Sanaa si muziki peke yake! Hivyo kusema chuo hakijatoa wasanii waliolisaidia Taifa ni kudhihirisha kuwa msemaji hajui sanaa ni nini.

Vitalisi alijaribu kuonesha wasanii mbalimbali waliotokana na chuo cha sanaa Bagamoyo lakini wachangiaji wengi bado wanadhani sanaa ni muziki na maigizo tu

Diamond ni mwanamuziki, pale Bagamoyo hawafundishi muziki tu! Wanaweza kuwa hawajafanya vizuri kwenye upande wa muziki, lakini hiyo haiwezi kuwa sababu ya kusema hawana lolote. Huenda muziki si kipaumbele chao cha kwanza pale chuoni
Makonda hakuwa sahihi na hajawahi kuwa kama kawaida yake .
Ila chuo cha bagamoyo hakiendani na kasi ya ulimwengu huu na kwa sanaa zote hakuna kitu tangible tena .
Watumishi wake ni outdated hata computer hawajui kutumia damu changa zinahitajika
Na serikali iwekeze
 
Makonda hakuwa sahihi na hajawahi kuwa kama kawaida yake .
Ila chuo cha bagamoyo hakiendani na kasi ya ulimwengu huu na kwa sanaa zote hakuna kitu tangible tena .
Watumishi wake ni outdated hata computer hawajui kutumia damu changa zinahitajika
Na serikali iwekeze


Wewe unawajua walimu wa chuo cha sanaa Bagamoyo? Hawajui kutumia computer? Hizi habari nyingine mnazitoaga wapi?
 
Back
Top Bottom