Exaud J. Makyao
JF-Expert Member
- Nov 30, 2008
- 1,518
- 22
Nimepokea kwa mshangao mwito wa waziri mkuu wa Kenya Raila Odinga kumtaka Rais Mugabe wa Zimbabwe kujiuzulu au vipelekwe vikosi vya kijeshi kwenda kumng'oa.
Hivi WANAJAMII,
Kweli Odinga anastahili kumkemea Mugabe au alipaswa kuanza kujikemea mwenyewe na kisha kumkemea Rais KIBAKI?
Raila Odinga amesahau Vifo vilivyotokea nchini Kenya mara tuu baada ya uchaguzi mkuu?
Tena je Raila amesahau vituko vya kuwatia nguvuni waandishi wa habari hivi majuzi katika kukumbuka siku ya jamhuri?
Exaud J. Makyao
0784347001
Hivi WANAJAMII,
Kweli Odinga anastahili kumkemea Mugabe au alipaswa kuanza kujikemea mwenyewe na kisha kumkemea Rais KIBAKI?
Raila Odinga amesahau Vifo vilivyotokea nchini Kenya mara tuu baada ya uchaguzi mkuu?
Tena je Raila amesahau vituko vya kuwatia nguvuni waandishi wa habari hivi majuzi katika kukumbuka siku ya jamhuri?
Exaud J. Makyao
0784347001