KAUDO
Senior Member
- Aug 10, 2011
- 138
- 67
Baadhi ya madiwani wa Manispaa ya Bukoba wameingia matatani baada ya kuhojiwa na TAKUKURU kwa tuhuma za kupokea rushwa ili kusaini waraka wa kumng'oa Meya wa Manispaa hiyo Dk Anatory Amani.Tuhuma nyingine ni kuhongwa safari za matembezi nchini Uganda.Kamanda wa TAKUKURU amethibitisha kuhojiwa kwa madiwani hao