Vita vya Kagera tulipigana na Libya (Gadafi)

Mwana wa Mungu

JF-Expert Member
Aug 14, 2008
1,003
83
Nafikiri watu wengi hapa mnakumbuka vita vya Kagera. wengi walijua tulikuwa tunampiga nduli idi amini peke yake. ila kwa wale wanaokumbuka, Gadafi ndo aliyetuma majeshi toka Libya, ambayo tulikuja kuyanyuka, nakumbuka miaka ile wanajeshi wengine walifungwa vitambaa wakapelekwa hadi kule kwa wakwe zangu Iringa, walitembezwa sokoni wakaaibishwa, wanajeshi wa kiarabu.

Gadafi alipoona ameshindwa kumsapoti nduli idi amini, ndo akaanza kupiga kampeni kwa mataifa ya waarabu,mnakumbuka kipindi kile hata mafuta yalikuwa shida hapa kwetu kwasababu yeye alipiga kampeni kule. why did he do this, kwasababu alikuwa anataka kuexpand uislam, just because dada idi amini opss! sory, Idi amini DaDa, alikuwa mwislam.

The same Gadafi anakuja leo kumpa kikwete zawadi za mibenzi, ili apate uenyekiti. sijui labda ilikuwa zawadi ya kawaida tu.

Amekuja sasa, anataka Africa iungane iwe nchi moja leo..hahaha, ndoto za mchanga.

Anataka waafrica wafunge balozi za israel leo. ndoto ya mchana.

anataka waafrica wawe marafiki wa waarabu tu, ila si israel, ndoto ya mchana.

anataka waafrica waelekezee uchumi wao kwa waarabu. hapo hajataja hata mataifa yaliyoendelea kama japan, china,korea kusini etc. anataka tu kwa waarabu.

hivi hafai kupelekwa kwenye clinic ya matahira huyu, yaani kule mirembe? hivi anafikiri kila mtu anawaabudu waarabu tuuu, ati? just because someoen is an arab, basi umwabudu. sijui nisemeje kwakweli.

na kikwete naye, anajipendekeza kwake? for what? unakumbuka walivyompokea yule gaidi juzi, mtu aliyeua watu wengi kwenye ndege? hawana hata huruma mioyoni? hivi ndivyo tulivyomchagua kikwete abehave? subiri mwakani. utakiona.
 
Nafikiri watu wengi hapa mnakumbuka vita vya Kagera. wengi walijua tulikuwa tunampiga nduli idi amini peke yake. ila kwa wale wanaokumbuka, Gadafi ndo aliyetuma majeshi toka Libya, ambayo tulikuja kuyanyuka, nakumbuka miaka ile wanajeshi wengine walifungwa vitambaa wakapelekwa hadi kule kwa wakwe zangu Iringa, walitembezwa sokoni wakaaibishwa, wanajeshi wa kiarabu.

Gadafi alipoona ameshindwa kumsapoti nduli idi amini, ndo akaanza kupiga kampeni kwa mataifa ya waarabu,mnakumbuka kipindi kile hata mafuta yalikuwa shida hapa kwetu kwasababu yeye alipiga kampeni kule. why did he do this, kwasababu alikuwa anataka kuexpand uislam, just because dada idi amini opss! sory, Idi amini DaDa, alikuwa mwislam.

The same Gadafi anakuja leo kumpa kikwete zawadi za mibenzi, ili apate uenyekiti. sijui labda ilikuwa zawadi ya kawaida tu.

Amekuja sasa, anataka Africa iungane iwe nchi moja leo..hahaha, ndoto za mchanga.

Anataka waafrica wafunge balozi za israel leo. ndoto ya mchana.

anataka waafrica wawe marafiki wa waarabu tu, ila si israel, ndoto ya mchana.

anataka waafrica waelekezee uchumi wao kwa waarabu. hapo hajataja hata mataifa yaliyoendelea kama japan, china,korea kusini etc. anataka tu kwa waarabu.

hivi hafai kupelekwa kwenye clinic ya matahira huyu, yaani kule mirembe? hivi anafikiri kila mtu anawaabudu waarabu tuuu, ati? just because someoen is an arab, basi umwabudu. sijui nisemeje kwakweli.

na kikwete naye, anajipendekeza kwake? for what? unakumbuka walivyompokea yule gaidi juzi, mtu aliyeua watu wengi kwenye ndege? hawana hata huruma mioyoni? hivi ndivyo tulivyomchagua kikwete abehave? subiri mwakani. utakiona.

Umenikumbusha mbali bwashee, vita vile waarabu kweli walikamatwa na wanajeshi wetu. huyu jamaa ni mtu hatari sana, na ni ajabu kwamba Tanzania inaenda naye kama rafiki. sisi hatutafunga ubalozi wa libya ile tutakuwa nao makini tu. naomba punguza munkari, usihofu, watz hatuwezi kuburuzwa naye, hata kama kikwete ataburuzwa naye, kwasababu ni msuni mwenzie.
 
Unaweza kuwa na HOJA lakini ulivyoiweka umechanganya mambo mengi na mengine umepotoka sana. Nadhani haina haja hata kuijadili maana umeweka vitu vingi vya kuvuruga. Nadhani ni vyema ukai edit kama kweli unapenda mada yako ijadiliwe vyema. Uondoe element ya ubaguzi wa aina zote, ili iwe na mantiki ya kisiasa na kidiplomasia.
 
Unaweza kuwa na HOJA lakini ulivyoiweka umechanganya mambo mengi na mengine umepotoka sana. Nadhani haina haja hata kuijadili maana umeweka vitu vingi vya kuvuruga. Nadhani ni vyema ukai edit kama kweli unapenda mada yako ijadiliwe vyema. Uondoe element ya ubaguzi wa aina zote, ili iwe na mantiki ya kisiasa na kidiplomasia.

Lakini hoja ipo kwamba gadaffi anashauri waafrika waitenge Israel. Ila mimi kwa hili napendekeza tumpe israel miradi ya maji ziwa victoria atuletee maji na mto nile ukose maji ili waarabu nao watutambue kuwa tunajeuri.
 
Lakini hoja ipo kwamba gadaffi anashauri waafrika waitenge Israel. Ila mimi kwa hili napendekeza tumpe israel miradi ya maji ziwa victoria atuletee maji na mto nile ukose maji ili waarabu nao watutambue kuwa tunajeuri.

Mzee acha ombaomba. Maji yapo pale kwa karne nyingi.
 
..Gaddafi alishaomba radhi na tukamrudishia mateka wa Kiarabu waliokamatwa vitani.

..vilevile yeye na Mwalimu walifikia kuwa marafiki na Gaddafi ametoa msaada mkubwa sana kwa Waislamu wa Butiama.

..pia Libya imetusaidia Tanzania kwa wakati mbalimbali.
 
..Gaddafi alishaomba radhi na tukamrudishia mateka wa Kiarabu waliokamatwa vitani.

..vilevile yeye na Mwalimu walifikia kuwa marafiki na Gaddafi ametoa msaada mkubwa sana kwa Waislamu wa Butiama.

..pia Libya imetusaidia Tanzania kwa wakati mbalimbali.

Jokakuu:

Ni afadhari umewaondolea uvuvi watu hapa. Maanake dots zingine zinaunganishwa kwa kulazimishwa sasa mpaka raha ya kuwa JF inakosekana.

Vita vile vilikuwa kati ya Tanzania na Uganda. Na kwa bahati mbaya aliyefaidika alikuwa Mchina, Mrusi na Myugoslavia kwa sababu hao wali-supply zana za kivita pande zote mbili.
 

..hii habari aliituma X-PASTER hapa jamii forums.



Nyerere mobilized the Tanzania People's Defence Force and counterattacked. In a few weeks, the Tanzanian army was expanded from less than 40,000 troops to over 100,000 including members of the police, prison services, national service and the militia. The Tanzanians were joined by several anti-Amin groups consisting of Ugandan exiles, who at a conference in Moshi (the Moshi Conference) had united as the Uganda National Liberation Army (UNLA). These included Kikosi Maalum commanded by Tito Okello and David Oyite Ojok, FRONASA commanded by Yoweri Museveni and Save Uganda Movement commanded by Akena p'Ojok, William Omaria and Ateker Ejalu.

The Tanzanian Army acquired a Russian BM Katyusha rocket launcher (known in Uganda as saba saba), with which they started to fire on targets in Uganda. The Ugandan Army retreated steadily. Libya's Muammar al-Gaddafi sent 2,500 troops to aid Amin, equipped with T-54 and T-55 tanks, BTR APCs, BM-21 Katyusha MRLs, artillery, MiG-21s, and a Tu-22 bomber. However the Libyans soon found themselves on the front line, while behind them Ugandan Army units were using supply trucks to carry their newly plundered wealth in the opposite direction.

The Libyan troops were a mix of regular Libyan Army units, People's Militia, and sub-Saharan Africans of the Islamic Legion, a further force created by Libya for this type of expeditionary mission. The Tanzanians, joined by UNLA dissidents, moved north for Kampala but halted at the vast deep-water swamp north of Lukaya.

The Tanzanians decided to send the 201st Brigade directly across the causeway across the swamp while the better-quality 208th Brigade skirted the western edge of the swamp as an alternative in case the causeway were blocked or destroyed. A planned attack by a brigade-sized Libyan force with fifteen T-55s, a dozen APCs, and BM-21 MRLs, intended to reach Masaka, instead collided with the Tanzanian force at Lukuya on 10 March and sent the 201st Brigade reeling backwards in disarray. However a Tanzanian counter-attack on the night of 11-12 March from two directions, the reorganised 201st Brigade attacking from the south and the 208th Brigade from the north-west, was totally successful, with many Libyan units, including the militia, breaking and retreating at a run. Libyan casualties were reported at 200 plus another 200 allied Ugandan soldiers.

Tanzanian and UNLA forces met little resistance after the Battle of Lukuya and carried on west toward Kampala, first taking the Entebbe airfield after some fighting, and then taking Kampala itself on 10 April 1979. Few Ugandan or Libyan units gave much resistance, and Pollack says the greatest problem for the Tanzanian troops was their own lack of maps of the city. Amin fled, first to Libya and later to Saudi Arabia. The Libyan forces retreated to Jinja and then were repatriated finally through Kenya and Ethiopia. The Tanzanian army remained in Uganda to maintain peace while the UNLF (the political wing of the UNLA) organized elections to return the country to civilian rule.
 
Hawakuwa Libya peke yao - Wapalestina na waarabu kutoka sehemu mbali mbali walishiriki katika vita kutetea mwanachama mwenzao katika OIC kushambuliwa. (Waislamu mtanisamehe) lakini ilidaiwa kuwa nchi yenye kiongozi Muislamu, Uganda, imeshambuliwa na nchi yenye kiongozi Mkristo, Tanzania. Ni Field Marshall, Dr. Al Haj Idi Amin Dada aliyeiingiza Uganda OIC mwaka 1974. Ajabu ni kwamba nchini Uganda Waislamu hawafiki asilimia kumi lakini Wakatoliki wanazidi asilimia sabini. Habari ndiyo hiyo.
 
Heheheheheee....next atakuja na mambo ya Mfecane War! Companero bana.....

...mfecane...hahah haha haha haa wewe unaonekana somo ulilokuwa unajua ni history tuu ya darasa la sita mengine yote ulikuwa kipunga!
 
Namuogopa Gadhafi sana. Ni kigeugeu sana and he always pursues his intentions wisely. Fighting the west with Arabs has become almost impossible because of some members' aliance with west eg such Saudi Arabia, Egypt and Kuwait's. Now he turns to African brothers for support. In the past he was funding those called revolutinaries and caused huge chaos in the continent. Mimi kama mimi napata shida kuamini kama ni kweli amebadilika. Najipa muda kuondoa shaka zangu
 
...mfecane...hahah haha haha haa wewe unaonekana somo ulilokuwa unajua ni history tuu ya darasa la sita mengine yote ulikuwa kipunga!

Nasikia dingi yako alikuwa koplo wakati wa vita vya Amin....
 
Namuogopa Gadhafi sana. Ni kigeugeu sana and he always pursues his intentions wisely. Fighting the west with Arabs has become almost impossible because of some members' aliance with west eg such Saudi Arabia, Egypt and Kuwait's. Now he turns to African brothers for support. In the past he was funding those called revolutinaries and caused huge chaos in the continent. Mimi kama mimi napata shida kuamini kama ni kweli amebadilika. Najipa muda kuondoa shaka zangu

..jamani dunia imebadilika na Gaddafi hana influence yeyote na sisi na hawezi kutulazimisha chochote,na mkumbuke ana haki ya kusema chochote hata kama hatuamini ni mawazo yake...time to move on tuache blah blah za vita ya Kagera ili kuendelea kuchukia watu kama kina gaddafi hayo yalipita na alishaomba msamaha...dawa sasa ni kuwashughulikia mafisadi maana ni sumu kuliko Gadafi!
 
ZK na NN tatizo lenu mko huko kwenye maboksi, wenzenu tunaadhimisha miaka 45 ya Jeshi letu sisi Wananchi. Na pia kuisha kwa Vita vya Kumtoa Nduli Idi Amini Dada. Hiyo haikuwa vita kati ya Tanzania na Uganda bali vita kati ya Wananchi Wazalendo wa Tanzania na Uganda dhidi ya Nduli.

Majuma machache yaliyopita tuliangalia mkanda mzito kuhusu mpambano huo, hasa hilo Vagi la Lukaya lililowaacha hoi watoto wa Kanali Kadafi. Vita sio jambo la kuliombea. Ni balaa linalopaswa kuepukwa kwa njia yoyote ile. Ila ikilazimu basi tunaishia kuungana na Mwalimu wetu Mkuu kusema kwa msisitizo:

NIA YA KUMPIGA TUNAYAYO.SABABU YA KUMPIGA TUNAYO. UWEZO WA KUMPIGA TUNAO - TUTAMPIGA...!
 
ZK na NN tatizo lenu mko huko kwenye maboksi, wenzenu tunaadhimisha miaka 45 ya Jeshi letu sisi Wananchi. Na pia kuisha kwa Vita vya Kumtoa Nduli Idi Amini Dada. Hiyo haikuwa vita kati ya Tanzania na Uganda bali vita kati ya Wananchi Wazalendo wa Tanzania na Uganda dhidi ya Nduli.

Majuma machache yaliyopita tuliangalia mkanda mzito kuhusu mpambano huo, hasa hilo Vagi la Lukaya lililowaacha hoi watoto wa Kanali Kadafi. Vita sio jambo la kuliombea. Ni balaa linalopaswa kuepukwa kwa njia yoyote ile. Ila ikilazimia basi tunaishia kuungana na Mwalimu wetu Mkuu kusema:

NIA YA KUMPIGA TUNAYAYO.SABABU YA KUMPIGA TUNAYO. UWEZO WA KUMPIGA TUNAO - TUTAMPIGA...!

Hilo nalo unaliita jeshi? Ungesema militia ningekusikiliza. Eti jeshi letu...ahahahahahahahaaa....mgambo tu hao ndugu
 
Back
Top Bottom