Mwana wa Mungu
JF-Expert Member
- Aug 14, 2008
- 1,003
- 83
Nafikiri watu wengi hapa mnakumbuka vita vya Kagera. wengi walijua tulikuwa tunampiga nduli idi amini peke yake. ila kwa wale wanaokumbuka, Gadafi ndo aliyetuma majeshi toka Libya, ambayo tulikuja kuyanyuka, nakumbuka miaka ile wanajeshi wengine walifungwa vitambaa wakapelekwa hadi kule kwa wakwe zangu Iringa, walitembezwa sokoni wakaaibishwa, wanajeshi wa kiarabu.
Gadafi alipoona ameshindwa kumsapoti nduli idi amini, ndo akaanza kupiga kampeni kwa mataifa ya waarabu,mnakumbuka kipindi kile hata mafuta yalikuwa shida hapa kwetu kwasababu yeye alipiga kampeni kule. why did he do this, kwasababu alikuwa anataka kuexpand uislam, just because dada idi amini opss! sory, Idi amini DaDa, alikuwa mwislam.
The same Gadafi anakuja leo kumpa kikwete zawadi za mibenzi, ili apate uenyekiti. sijui labda ilikuwa zawadi ya kawaida tu.
Amekuja sasa, anataka Africa iungane iwe nchi moja leo..hahaha, ndoto za mchanga.
Anataka waafrica wafunge balozi za israel leo. ndoto ya mchana.
anataka waafrica wawe marafiki wa waarabu tu, ila si israel, ndoto ya mchana.
anataka waafrica waelekezee uchumi wao kwa waarabu. hapo hajataja hata mataifa yaliyoendelea kama japan, china,korea kusini etc. anataka tu kwa waarabu.
hivi hafai kupelekwa kwenye clinic ya matahira huyu, yaani kule mirembe? hivi anafikiri kila mtu anawaabudu waarabu tuuu, ati? just because someoen is an arab, basi umwabudu. sijui nisemeje kwakweli.
na kikwete naye, anajipendekeza kwake? for what? unakumbuka walivyompokea yule gaidi juzi, mtu aliyeua watu wengi kwenye ndege? hawana hata huruma mioyoni? hivi ndivyo tulivyomchagua kikwete abehave? subiri mwakani. utakiona.
Gadafi alipoona ameshindwa kumsapoti nduli idi amini, ndo akaanza kupiga kampeni kwa mataifa ya waarabu,mnakumbuka kipindi kile hata mafuta yalikuwa shida hapa kwetu kwasababu yeye alipiga kampeni kule. why did he do this, kwasababu alikuwa anataka kuexpand uislam, just because dada idi amini opss! sory, Idi amini DaDa, alikuwa mwislam.
The same Gadafi anakuja leo kumpa kikwete zawadi za mibenzi, ili apate uenyekiti. sijui labda ilikuwa zawadi ya kawaida tu.
Amekuja sasa, anataka Africa iungane iwe nchi moja leo..hahaha, ndoto za mchanga.
Anataka waafrica wafunge balozi za israel leo. ndoto ya mchana.
anataka waafrica wawe marafiki wa waarabu tu, ila si israel, ndoto ya mchana.
anataka waafrica waelekezee uchumi wao kwa waarabu. hapo hajataja hata mataifa yaliyoendelea kama japan, china,korea kusini etc. anataka tu kwa waarabu.
hivi hafai kupelekwa kwenye clinic ya matahira huyu, yaani kule mirembe? hivi anafikiri kila mtu anawaabudu waarabu tuuu, ati? just because someoen is an arab, basi umwabudu. sijui nisemeje kwakweli.
na kikwete naye, anajipendekeza kwake? for what? unakumbuka walivyompokea yule gaidi juzi, mtu aliyeua watu wengi kwenye ndege? hawana hata huruma mioyoni? hivi ndivyo tulivyomchagua kikwete abehave? subiri mwakani. utakiona.