Vita takatifu. Ni nini hiki?

Vita takatifu. Ni nini hiki?

Bado hawajafikia level ya meza ya mazungumzo.. Kumbuka nyakati za ulimwengu wa roho ni tofauti kabisa na nyakati za ulimwengu wa nyama na damu
Jamani hapo tuondoe ushabiki...Israel ni inchi ambayo haikutakiwa kuwepo,ni inchi iliyowekwa kwa lazima na wamarekani.

Tukiondoa ushabiki ile ni vita ya kidini.
Na wao wanajua sana hilo na Kihistoria wale wamelaaniwa na hiyo haina ubishi ipo kwenye Qur'an na hata biblia.

Soma hapa[emoji116] hayo maneno walikuwa wakiyasema wayahudi na sasa wakristo wanaya copy,japo wakristu wako tofauti wayahudi ni wabaya zaidi..

Wamemuua nabii zakaria na pia yesu na kumuudhi hata nabii Musa.

Ishu ni Palestine wanapigana vita takatifu na wako sahihi wale jamaa na si maslai binafsi.

Kwa sababu:
Kimemegwa kipande cha nchi ya Palestine na ikaanzishwa inchi islaeli.
Screenshot_20180610-201204.jpg
Screenshot_20180610-201449.jpg
 
Jamani hapo tuondoe ushabiki...Israel ni inchi ambayo haikutakiwa kuwepo,ni inchi iliyowekwa kwa lazima na wamarekani.

Tukiondoa ushabiki ile ni vita ya kidini.
Na wao wanajua sana hilo na Kihistoria wale wamelaaniwa na hiyo haina ubishi ipo kwenye Qur'an na hata biblia.

Soma hapa[emoji116] hayo maneno walikuwa wakiyasema wayahudi na sasa wakristo wanaya copy,japo wakristu wako tofauti wayahudi ni wabaya zaidi..

Wamemuua nabii zakaria na pia yesu na kumuudhi hata nabii Musa.

Ishu ni Palestine wanapigana vita takatifu na wako sahihi wale jamaa na si maslai binafsi.

Kwa sababu:
Kimemegwa kipande cha nchi ya Palestine na ikaanzishwa inchi islaeli.View attachment 799913View attachment 799914
Hatimaye tumerejea kwetu...ni faraja kubwa
 
Jamani hapo tuondoe ushabiki...Israel ni inchi ambayo haikutakiwa kuwepo,ni inchi iliyowekwa kwa lazima na wamarekani.

Tukiondoa ushabiki ile ni vita ya kidini.
Na wao wanajua sana hilo na Kihistoria wale wamelaaniwa na hiyo haina ubishi ipo kwenye Qur'an na hata biblia.

Soma hapa[emoji116] hayo maneno walikuwa wakiyasema wayahudi na sasa wakristo wanaya copy,japo wakristu wako tofauti wayahudi ni wabaya zaidi..

Wamemuua nabii zakaria na pia yesu na kumuudhi hata nabii Musa.

Ishu ni Palestine wanapigana vita takatifu na wako sahihi wale jamaa na si maslai binafsi.

Kwa sababu:
Kimemegwa kipande cha nchi ya Palestine na ikaanzishwa inchi islaeli.View attachment 799913View attachment 799914

muhammad anataka Ushahidi kama waislamu hawataenda peponi! Ushahidi huu hapa [emoji117]
IMG_20180701_173046_017.jpg
 
Usidhani anelalamika ni binadamu"kumbuka hakuna binadamu anaekalamika kuhusu huo utatu bali, watu wamesoma kwenye vitabu na wakawa wanawafikishia watu.

Kiujumla anaelalamika hapo ni MUNGU mwenyewe...anakataa hawezi kuwa na huo utatu ambao munauita mtakatifu.

Unajua hata Mimi ningekuwa mkristu pia ningeingia shaka hapo.

Kwanini utatu kwenye agano la kale haupo?

[emoji117] ALIYE KUAMBIA UTATU HAUPO NANI? ndio sababu Muhammad amewaagiza msikilize ulize hamna ujuzi [emoji117]
IMG_20180622_081601_056.jpg
[emoji118]

Kipindi cha Musa ibada aliokuwa anaikataza ilikuwa ya masanamu.

Alivyokuja nabii issa(yesu) yeye akawa anahubili zaidi imani.

Na ndio maana alivyoingia pale kwenye nyumba ya ibada akakuta kamari biashara zinafanywa na kadha wa kadha.

Ila wale jamaa hawakutaka na wakamsakama mpaka wakamuua. [emoji117]

WEWE MBONA UNABISHANA NA aLLAL ALIYESEMA [emoji117]
IMG_20180704_064900_353.jpg


Ila waislaeli wakaficha hicho kitendo na kukiandika tofauti kabisa".

Sasa basi isije Watu wakaadhibiwa wakadai waneonewa"ndipo ikaja Qur'an kufichua hayo soma hapo na si ushabiki ndugu.[emoji116] View attachment 799904

Mbona allah amewaagiza mviamini vitabu vya kabla ya muhammad? [emoji117]
IMG_20180617_203125_638.jpg
 
Kama atakalo huwa na hana mshauri vip alimuumba shetani kisha shetani akamuasi huoni kama alivyotaka iwe haikuwa vile alivyotaka mkuu????
Ndio Ametaka hivyo ati [emoji38]
 
Takbir!?
Neno vita lina tafsiri moja tuu...! Ugomvi.. Penye vita hapana patano, hapana amani... Penye vita pana uharibifu wa mali na roho, majeruhi, ulemavu na vifo... Vita vinaharibu na kusambaratisha... Vita sio kitu chema! Vita sio kitu cha kujivunia... Vita ni uasi na kisasi... Vita ni ubabe na unyama...
Neno takatifu linatokana na neno utakatifu... Yaani njema, safi isiyo na mawaa, nzuri ya kutukuka... Isiyoangamiza inayoleta uhai... Yaani utakatifu ni jambo jema tena la kheri kabisa... Mikono ya mtakatifu ni safi na hainuki damu na mauaji kama mikono ya bwana vita! Penye utakatifu pana neema, hapana baya wala kisasi! Pana amani hapana taharuki.....
Mkanganyiko mkubwa unatokea pale unapotaka kuchanganya haya maneno mawili... Halafu yalete tafsiri isiyotatiza! VITA TAKATIFU...!

Misahafu ya dini zetu zote imeandika sana habari hizi... Habari za vita takatifu... Mapigano makubwa yaliyoangamiza roho nyingi na ushindi dhidi ya walioshindwa
Vita takatifu ni vita ya kiimani wema dhidi ya ubaya... Dhuluma dhidi ya usawa.. SHETANI dhidi ya MUNGU! vita takatifu ni vita ya imani kwenye ulimwengu wa roho... Sio vita ya macho..... Vita ya macho na kubeba silaha nzito sio vita takatifu... Vita takatifu silaha yake ni imani... Imani kuu kwa hakika.. Na ni vita inayopiganwa na WAAMINI dhidi ya .... WASIOAMINI.....

Kwanini sasa kuwe na vita inayoangamiza miili ya wanadamu, kuijeruhi, kuitia ulemavu na hata kuiangamiza? Kwanini iwepo vita inayoharibu mali na ustawi wa jamii ya nyama na damu? Na kwanini vita kama hiyo iitwe TAKATIFU? Utakatifu wake uko wapi?
Ulimwengu wa roho ndio injini kuu ya nishati inayoendesha ulimwengu unaoonekana kwa macho... Na ulimwengu huu wa roho ni timilifu... Hauna kasoro... Utimilifu wa ulimwengu wa roho ndio utakatifu.... Sasa ni katikati ya utimilifu huo wa roho na utakatifu wake... Ndio hutokea nguvu kinyume inayojaribu kuyumbisha ama kuangamiza roho timilifu katika utakatifu wake!
Hapa ndio tafsiri ya vita takatifu inapokuja... Vita ya kiimani iliyoanzia mapigano kwenye ulimwengu wa roho bila damu, bila... viasili vya mwili uharibikao...
kila roho inayoangamia kwenye vita takatifu ni ishara na ushindi kwa upande mmoja.... Na roho zote tarajiwa zinapoondoshwa kwenye mwili wa damu na nyama vita hukoma na kuanza kutafuta patano la amani mezani kwa njia ya mazungumzo... Bila silaha tena.....! Suluhu ya vita yoyote huishia kupatanishwa mezani... Na hapa ndio nguvu ya utimilifu wa ulimwengu wa roho katika dhana ya utakatifu inapojidhihiri....
Hivyo wapendwa vita takatifu kwa kigezo cha dini ni maneno yaliyopotoshwa ama kutumiwa na kaliba fulani hapa duniani kukidhi matakwa ya viumbe fulani
View attachment 799385

Mtume Jacob Akivuviwa na Yesu Alifafanua hivi kuhusu vita [emoji117]
IMG_20181203_114706_400.jpg
Prof Paulo Mtume wa Yesu yeye kamalizia kuhusu Vita Takatifu na kutuelekeza Silaha za kutumia [emoji117]
IMG_20181203_121242_939.jpg
IMG_20181203_121421_337.jpg
IMG_20181203_121535_897.jpg
[emoji118] hiyo ndio Vita Takatifu kwa Wakristo [emoji106] [emoji123]

Kwa waisilamu Vita Takatifu ni hii [emoji117]
IMG_20181203_123640_425.jpg
IMG_20181203_123754_266.jpg
IMG_20181203_123901_051.jpg
.....[emoji106]
 

Attachments

  • Screenshot_20181203-121957.jpg
    Screenshot_20181203-121957.jpg
    65.7 KB · Views: 30
Kuna sehemu nilisoma nikashangaa kwamba vita ina faida?

Yaani kama kusingekuwa kunatokea vita hapa duniani watu wangejaa maana wanazaliana sana ni ya kweli haya Mshana Jr
 
Jamani hapo tuondoe ushabiki...Israel ni inchi ambayo haikutakiwa kuwepo,ni inchi iliyowekwa kwa lazima na wamarekani.

Tukiondoa ushabiki ile ni vita ya kidini.
Na wao wanajua sana hilo na Kihistoria wale wamelaaniwa na hiyo haina ubishi ipo kwenye Qur'an na hata biblia.

Soma hapa[emoji116] hayo maneno walikuwa wakiyasema wayahudi na sasa wakristo wanaya copy,japo wakristu wako tofauti wayahudi ni wabaya zaidi..

Wamemuua nabii zakaria na pia yesu na kumuudhi hata nabii Musa.

Ishu ni Palestine wanapigana vita takatifu na wako sahihi wale jamaa na si maslai binafsi.

Kwa sababu:
Kimemegwa kipande cha nchi ya Palestine na ikaanzishwa inchi islaeli.View attachment 799913View attachment 799914
Wewe unaliangalia hili kwa mlengo wa chuki yako juu ya waisraeli ambayo umepandikiziwa,hakuna mahali biblia imesema Israeli imelaaniwa,kinyume chake imesemea baraka,ukiona laana imetamkwa ilikuwa kwa walio asi wakati ule,
 
Wewe unaliangalia hili kwa mlengo wa chuki yako juu ya waisraeli ambayo umepandikiziwa,hakuna mahali biblia imesema Israeli imelaaniwa,kinyume chake imesemea baraka,ukiona laana imetamkwa ilikuwa kwa walio asi wakati ule,
[emoji848][emoji44][emoji44][emoji144][emoji144][emoji144][emoji144][emoji144]
 
Back
Top Bottom