Vita takatifu. Ni nini hiki?

Vita takatifu. Ni nini hiki?

Angalia namna ambavyo MUNGU anavyochukia inaposemwa ana mwana au hiyo nafsi nyingine.View attachment 799664
Hii ipo kidini zaidi kuliko kiimani katika utimilifu wa utakatifu, utakaso katika ulimwengu wa roho.. Pengine sijaeleweka..
Pamoja na umaarufu wa dini na ufuasi wake.. Lakini kiroho dini ni segiment ndogo sana katika vast meaning of spiritual world in its perception n perfection
Nimetoa mfano rahisi wa vita kwamba watu watapigana vita na kuuana sana lakini mwisho wa siku watarudi kwenye meza ya mazungumzo na kupatana.... Je unanielewa hapa?
 
Hata Mungu alizichapa na Shetani, formely Lucifer kule mbinguni baada ya Lucifer kujikweza na kutaka kupewa sifa za uungu. I can't imagine there was a great controversy in heaven, pioneered
Kwanini mnaamua kumuweka Mungu kwenye kashfa hivi...?? Ndio maana Kiranga anapata wafuasi wengi...

Unamshusha Mungu kwenye level za Binadamu...eti anapigana..?? Au Anasikia wengine wanasema" hakuna mwanaume kama Yesu''.....unamshusha Mungu kwenye level ya binadamu... ??????????? Eti Great Controversy....??...yani unamfananisha Mungu na hadithi za Ellen G White...?????
 
Hii ipo kidini zaidi kuliko kiimani katika utimilifu wa utakatifu, utakaso katika ulimwengu wa roho.. Pengine sijaeleweka..
Pamoja na umaarufu wa dini na ufuasi wake.. Lakini kiroho dini ni segiment ndogo sana katika vast meaning of spiritual world in its perception n perfection
Nimetoa mfano rahisi wa vita kwamba watu watapigana vita na kuuana sana lakini mwisho wa siku watarudi kwenye meza ya mazungumzo na kupatana.... Je unanielewa hapa?
Mkuu vip uko palestina na israel
 
Kwanini mnaamua kumuweka Mungu kwenye kashfa hivi...?? Ndio maana Kiranga anapata wafuasi wengi...

Unamshusha Mungu kwenye level za Binadamu...eti anapigana..?? Au Anasikia wengine wanasema" hakuna mwanaume kama Yesu''.....unamshusha Mungu kwenye level ya binadamu... ??????????? Eti Great Controversy....??...yani unamfananisha Mungu na hadithi za Ellen G White...?????
Kiongozi, hivi ilikuwaje kiumbe Mungu alichokiumba kikaasi?

Je, alijua kuwa kiumbe alichokiumba kitaasi na dunia kuwa sehemu mbaya kiasi hiki?

Reasoning haihitajiki katika "IMANI", tunapofanya reasoning ndio watu kama wewe mnadhani tunafanya kashfa, tatizo ni kuwa mengi hayana majibu, hata wewe na ufia dini wako huwezi kuyajibu.
 
Punguza mihemko na ushabiki wa kidini kwani hujamuelewa mtoa mada nini anamaanisha
Sasa mbona unaleta ufia dini
Muda mwingine ficha upumbavu wako
wewe ndio Mimi?? Nimesha tamka toka rohoni NIMEMUELEWÀ [emoji15] [emoji54]
 
"Nimetoa mfano raisi wa vita kwamba watapigana na kuuana sana lkni mwisho wa siku watarudi mezani na kupatana"""

nami nikauliza vip uko mashariki ya mbali palestina na israel
 
Nilijua kuwa utaufikia ukomo wa elimu yako na maarifa yako kisha utakuwa mbogo kama ivi nashukuru kwa kunidhihirishia tena kwamba mnaongeaga vitu msivyovijua walamsivyoweza kuvithibitisha apa ndo nilipokuwa nakusubiri.

Kifupi iko ivi mungu alimuumba shetani alafu ghafla shetani akamzidi ujanja mungu na kumgomea,

8changequotes.jpg
 
"Nimetoa mfano raisi wa vita kwamba watapigana na kuuana sana lkni mwisho wa siku watarudi mezani na kupatana"""

nami nikauliza vip uko mashariki ya mbali palestina na israel
Bado hawajafikia level ya meza ya mazungumzo.. Kumbuka nyakati za ulimwengu wa roho ni tofauti kabisa na nyakati za ulimwengu wa nyama na damu
 
Kiongozi, hivi ilikuwaje kiumbe Mungu alichokiumba kikaasi?

Je, alijua kuwa kiumbe alichokiumba kitaasi na dunia kuwa sehemu mbaya kiasi hiki?

Reasoning haihitajiki katika "IMANI", tunapofanya reasoning ndio watu kama wewe mnadhani tunafanya kashfa, tatizo ni kuwa mengi hayana majibu, hata wewe na ufia dini wako huwezi kuyajibu.
Daah exellent broo u think too smart nd u qst a smart qstn.. Broo keep it up yaan unefikiria vivuri sana
 
Kwanini mnaamua kumuweka Mungu kwenye kashfa hivi...?? Ndio maana Kiranga anapata wafuasi wengi...

Unamshusha Mungu kwenye level za Binadamu...eti anapigana..?? Au Anasikia wengine wanasema" hakuna mwanaume kama Yesu''.....unamshusha Mungu kwenye level ya binadamu... ??????????? Eti Great Controversy....??...yani unamfananisha Mungu na hadithi za Ellen G White...?????
Mkuu ukiulizwa maswali kuusu hiki kitu unachokiongea utaweza kuyajibu kweli ama unaweza kuyathibitisha kwwli ama ndo utaishia kututishia maisha tu??
 
Kuwa kuna miungu mingi.

Ujajuaji ukiwa mwingi mwisho wake ni upumbavu tu
miungu ipo ni kweli kabisa.. Hata Beyonce kajitangaza kuwa yeye ni mungu... Na kiasili tuna
. mungu jua
. mungu mwezi
. mungu radi
. mungu mvua
. mungu ukame
. mungu upepo nk nk
Ila katika wote hao Mungu mkuu ni mmoja tuu
 
miungu ipo ni kweli kabisa.. Hata Beyonce kajitangaza kuwa yeye ni mungu... Na kiasili tuna
. mungu jua
. mungu mwezi
. mungu radi
. mungu mvua
. mungu ukame
. mungu upepo nk nk
Ila katika wote hao Mungu mkuu ni mmoja tuu
Uyo mmoja ndo watu wanampinga daah mungu aturehemu
 
miungu ipo ni kweli kabisa.. Hata Beyonce kajitangaza kuwa yeye ni mungu... Na kiasili tuna
. mungu jua
. mungu mwezi
. mungu radi
. mungu mvua
. mungu ukame
. mungu upepo nk nk
Ila katika wote hao Mungu mkuu ni mmoja tuu
Mmmmh mshana mboana kama unazidi kupoteza direction..
 
Tungeishi hivyo naona dunia pangekua mahala pema pa KUISHI! Asante Ustz[emoji120]
Usidhani anelalamika ni binadamu"kumbuka hakuna binadamu anaekalamika kuhusu huo utatu bali, watu wamesoma kwenye vitabu na wakawa wanawafikishia watu.

Kiujumla anaelalamika hapo ni MUNGU mwenyewe...anakataa hawezi kuwa na huo utatu ambao munauita mtakatifu.

Unajua hata Mimi ningekuwa mkristu pia ningeingia shaka hapo.

Kwanini utatu kwenye agano la kale haupo?

Kipindi cha Musa ibada aliokuwa anaikataza ilikuwa ya masanamu.

Alivyokuja nabii issa(yesu) yeye akawa anahubili zaidi imani.

Na ndio maana alivyoingia pale kwenye nyumba ya ibada akakuta kamari biashara zinafanywa na kadha wa kadha.

Ila wale jamaa hawakutaka na wakamsakama mpaka wakamuua.

Ila waislaeli wakaficha hicho kitendo na kukiandika tofauti kabisa".

Sasa basi isije Watu wakaadhibiwa wakadai waneonewa"ndipo ikaja Qur'an kufichua hayo soma hapo na si ushabiki ndugu.[emoji116]
Screenshot_20180610-200600.jpg
 
Kiongozi, hivi ilikuwaje kiumbe Mungu alichokiumba kikaasi?

Je, alijua kuwa kiumbe alichokiumba kitaasi na dunia kuwa sehemu mbaya kiasi hiki?

Reasoning haihitajiki katika "IMANI", tunapofanya reasoning ndio watu kama wewe mnadhani tunafanya kashfa, tatizo ni kuwa mengi hayana majibu, hata wewe na ufia dini wako huwezi kuyajibu.
Hapo hilo swali linakuja kwako"kwanini wewe unaasi?na akili unazo?
 
Back
Top Bottom