Vita takatifu. Ni nini hiki?

Vita takatifu. Ni nini hiki?

Nimeuliza swali as per heading... Vita takatifu ni ninini hiki? Kisha nikajaribu kuweka uchambuzi wa kufanunua.... Inawezekana kabisa nimetumia lugha ngumu isiyoeleweka na isiyo na hitimisho.. Lakini nia ni kuamsha mjadala.... Kwakuwa hata nyie hapa hii kitu mnaweza kushindwa kabisa kuipa tafsiri sahihi bila kuacha maswali
Hii mada ni ngumu sana kwa kuwa inahusu ujuzi wa kisheria na ilmu kubwa sana.

Labda nifafanue kidogo:
Hapa duniani kuna vitu viwili ambavyo vinapinzana.[emoji116]

Binadamu na MUNGU.
Kama unaamini kuna dini lazima utaamini kuna vitabu vya dini.

Binadamu baada ya kuletwa hapa duniani yaani zama za Adam na Hawa, wao waliambiwa tokeni huku hali ya kuwa mumefukuzwa na nendeni duniani na huko tutawaleteeni mwongozo na atakaeufuata atasalimika na atakaeuacha atakuwa kadhulumu nafsi yake.

Sasa basi kipindi hicho hakukuwa na mambo ya siasa bali kulikuwa na miongozo ya vitabu vya dini pekee na wasimamizi walikuwa mitume na manabii.

Tukiigeukia historia,vita takatifu ya kwanza kabisa ilipiganwa mbinguni kati ya malaika na majini baada ya wao kupuuza mwongozo wa MUNGU na mwishowe wakafutwa wote na akabakia mmoja ambae yeye akawa chanzo cha uzawa wa hawa waliopo sasa.

Vita ya pili naweza kusema ilikuwa baina ya Nuhu ambae yeye kwake aliiona ni ngumu kwa yeye kupigana na akaomba msaada kutoka mbinguni na MUNGU akashusha maji na ikawafuta watu wote isipokuwa wachache tu walioingia kwenye jahazi.

Vita nyingine ni.
Luti
Nabii issa na waislaeli ambao walikuwa hawamtaki kabisa.
Musa.
Daudi hao wote walipigana hivyo vita vitakatifu...nk.

Sasa basi wanaoweza kuvisimamia hivi vita takatifu ni wale ambao wanaona utawala Fulani una udhalimu na kwaiyo wao wanaruhusiwa kufanya hivyo vita kisheria ya dini ili kuuondoa huo utawala.

MF:
MUNGU alimtuma Nabii Musa kwenda kupambana na firauni na jeshi lake japo na wao walikuwa wanapinga kama tupingavyo sisi lakini ilitakiwa lazima afanye hivyo.

Sisi karne hii wasimamizi wa vita takatifu ni viongozi wetu wa dini hata kama sisi wengi wao tunapinga na hatutaki..

Wao wataangalia kisheria japo wengine hawapendi na watachukia ila wao watachukuwa maamuzi ya kupigana na tukumbuke kuwa hizi siasa zimetokana na vitabu vya dini na watawala wamebadilisha na kuweka ya kwao.

Dini imekuja kutenganisha haki na baatil.

Tatizo lililopo:
Ni kuwa dini inatakiwa iwe moja ili imuabudu MUNGU mmoja hapo ndipo lilipo tatizo..nani asikilizwe na nani asisikilizwe.

Cha msingi ni sisi kusoma sana ili kujua na dini ipi ipo sawasawa na tusiingize ushabiki wala matashi ya kidunia.
 
Kwanini aumbe kiumbe(shetani) kisha kimzidi uwezo kwa kukataa kumtii yani uumbe kitu kisha kikatae kiwe na uwezo wa kukugomea lkn wengine wasikugomee huoni kuwa icho kimoja kitakuwa kina uwezo zaidi???
Hapana ndugu.
Nadhani hata wewe unafahamu kuwa huna uwezo kuliko MUNGU...ila ukiamua kutofanya jambo unaacha tu na MUNGU anasema.[emoji116]

Kila kiumbe kina muda wake uliowekewa hauvuki na haupungui,muda ukifika tu watarejea kwetu.(yaani kwa MUNGU)na huko binadamu au jinni atajuta kwelikweli.

Sababu ya kusema haya MUNGU ni kwamba.[emoji116]

Anajisifia MUNGU kwa kusema"hata tukimuabudu au kutokumuabudu yeye kajitosheleza hapungui kitu zaidi ya sisi kupata hasara.

Yeye anajisifu na kusema"yeye ana malaika wake hawachoki kumuabudu tokea kawaumba wao wako kwenye ibada siku zote.

Kwa kuwa binadamu kapewa akili ya kujua kuwa kuna Muumba wake,kwanini asishukuru kwa kuabudu?
Binadamu anaidhulumu nafsi yake na ni mjinga kabisa.

Binadamu na Majini hao wamepewa hiari.

Sisi na majini tunafanana kila kitu tofauti iko kwenye matirio yaliyotumika kutuumba.

Ukisema shetani:
Jini na binadamu wanapatikana kote.

Jini na binadamu waliumbwa lengo la MUNGU wote tufanye ibada...ila majini walianza kuumbwa kisha tukafata sisi...na sisi ilibaki kidogo tusiumbwe.
 
Kwa nini ibilisi asitii amri ya muumba wake? Huoni kuwa Mungu alifeli mtihani kwa kuumba viumbe ambao walikataa kumtii?
Ndivyo alivyowaumba binaadam na majini wana hiyari ya kufuata au kutofuata amri zake,ndiyo maana hata wewe uzinzi umefanya sana tu na mengine..ila kiyama ndo hesabu ya mema na maovu
 
Sasa kwanini karuhusu chuki ziingie vichwani mwa watu, kisha izo chuki zipelekee watu wapigane iyo inayoitwa vita takatifu na wauane naomba tuanzie apa labda kwanini hakuona kuwa ni vyema kitu kinachoitwa chuki asikiumbe yaani kisiwepo binadamu asikifahamu kitu hiki????
Kakataza chuki,kasema mpende jirani yako..unapokengeuka ni maamuzi yako
 
Kakataza chuki,kasema mpende jirani yako..unapokengeuka ni maamuzi yako
Kwanini iyo chuki hasingeiumba yaani kitu kiitwacho chuki kisingekuwepo binadamu angeitoa wap je hakuona kuwa ni vyema kutokuiumba???
 
HOLY WAR UKIISOMA HISTORY 1 ADVANCE UTAPATA MAARIFA ZAIDI
 
Kwanini iyo chuki hasingeiumba yaani kitu kiitwacho chuki kisingekuwepo binadamu angeitoa wap je hakuona kuwa ni vyema kutokuiumba???
Hutofika kwenye 'asingeumba nnyegge mpaka mtu atakapofunga ndoa!?..ili mtu asizini
 
Uwezo wangu mdogo kuelewa au mwandishi ndiyo tatizo?

Communication skills ni muhimu sana kwa baadhi ya watanzania ili wawe wabobezi wa kuwasilisha ujumbe katika kuongea au kuandika.
 
HiTiMisho Zuri ni bora kusema,,,,


Vita Takatifu ni ile inayolenga kuokoa kundi la watu wenye mabavu na uwerevu dhidi ya watu dhaifu na wajinga.


Kimsingi vita hii haina mwisho na haina solution.
Labda Tuseme Dunia ipo hivyo Sababu Hakuna Utakatifu wa Vita hiyo
Tuna dunia mbili ya kiroho na isiyo ya kiroho... Visible na invisible..... Kuna uvutano usioisha kati ya hizi mbili kuanzia uamini wa Mungu mpaka vitu vidogo kabisa
Mada hii ya vita takatifu ni mkanganyiko mkubwa usio na majibu
 
Mtoa uzi naona umesha retardi [emoji4] hii [emoji117]
islamic-nature-muhammad-says.jpg
ni vita takatifu au vita takataka? Usilete Tagya [emoji117]
taqiyya-kitman.jpg
ukweli soma hapa [emoji117]
c06957324606e6706954cf7e731bef7e--islam-religion-islam-muslim.jpg
[emoji118] ndicho ulicho fanya [emoji15] [emoji4] Huu uzi angeuleta Prof Paulo Mtume Wa Yesu ningepiga takbirr [emoji109] na makofi mengi sababu yeye ndie aliye Fundisha hayo na KUYAISHI [emoji117]
5de0f6e1c84d78ff349677725adea1fe.jpg
nikuongeze na hii upate fahamu [emoji117]
james-4-2.jpg
 
Mtoa uzi naona umesha retardi [emoji4] hii [emoji117] View attachment 799536 ni vita takatifu au vita takataka? Usilete Tagya [emoji117] View attachment 799539 ukweli soma hapa [emoji117] View attachment 799542 [emoji118] ndicho ulicho fanya [emoji15] [emoji4] Huu uzi angeuleta Prof Paulo Mtume Wa Yesu ningepiga takbirr [emoji109] na makofi mengi sababu yeye ndie aliye Fundisha hayo na KUYAISHI [emoji117] View attachment 799545 nikuongeze na hii upate fahamu [emoji117] View attachment 799546
Takbir [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Vita ya kwanza kutokea ilikuwa kati ya Mungu na Lucifer, kati ya malaika wa Mungu na wale walioasi na Lucifer.

If that's true, then God failed miserably. Alipomshusha Lucifer/Shetani duniani, alimwachia mamlaka yote ya kuitawala dunia, yeye akaendelea kuitawala mbingu, kifupi walifanya ile "Berlin conference ya 1885 kama sikosei"..very strange, very strange!!!
Mbingu ni nini?
 
Hata Mungu alizichapa na Shetani, formely Lucifer kule mbinguni baada ya Lucifer kujikweza na kutaka kupewa sifa za uungu. I can't imagine there was a great controversy in heaven, pioneered by God himself.

God sent his people to fight other nations, innocent creatures, kids, women and elders were assassinated in the name of holy war.

Vita ya kiroho......!!!
Mbinguni ni wapi?
 
Back
Top Bottom