Gilbert A Massawe
JF-Expert Member
- May 14, 2015
- 5,922
- 4,716
- Thread starter
- #61
Ondoka sebuleni kwa shemj yako unapolala kama panyaUwezu wenu wakujibu kwa hoja ni mdogo sana, akili zenu ni kama wanyama wa msituni, huwa anashambulia sababu ameshindwa kutafsiri image aliyoiona.
Mdogo wangu inawezekana Huna shule na ndio maana akili yako haiwezi ku battle na mimi kwa hoja pia punguza makasiriko mimi sio ninayekulipa ujira mdogo ila unalipwa kutokana na udogo wa akili yako.
Hivyo vimaneno vyenu vyakucopy humu JF unamwambia kila mtu ni kukengeuka.
Uwe na adabu dogo