PreGE2025 Vita ndani ya CHADEMA imeanza rasmi

PreGE2025 Vita ndani ya CHADEMA imeanza rasmi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)
Lissu hana nia ya dhati mnayozungumza

Yule ni Kibaraka tu anaetumika na Church de rome kulinda maslahi yao.
Pamoja kana kwamba anaweza kuwa kibaraka kama unavyosema wewe.
Lakini nikuambie tu sisi wananchi ndio tunaotaka mabadiriko, zama zimebadirika sana sasa tunataka kiongozi ashide kwa kura za wananchi sio kuwekwa na chama chake.
Tuwe na tume huru ya uchaguzi.
 
Yaani upambane na mtu, akushinde halafu aliyekushinda maji ayaite mmaa! Akili za wapi hizo we mzee, mbona mnaanza kunyoosheana vidole mapema? Mara hii kamanda mbowe amekuwa joka la makengeza? Mnabaguana wenyewe kwa wenyewe halafu mtegemee kupewa nchi..
Wazee wako ccm kina Wasira au hujui 😃😃😂... Huyo hangaya atavuta hewa ya moto.
 
Pamoja kana kwamba anaweza kuwa kibaraka kama unavyosema wewe.
Lakini nikuambie tu sisi wananchi ndio tunaotaka mabadiriko, zama zimebadirika sana sasa tunataka kiongozi ashide kwa kura za wananchi sio kuwekwa na chama chake.
Tuwe na tume huru ya uchaguzi.
Nyie wananchi?? Unawasemea watu?

Wewe pimbi acha kulala sebulini kwa shemj yako
 
Baada ya Uchaguzi wa Mwenyekiti Chadema na kumpaata Mshindi Ndg Tundu Lissu alieshinda kwa ushindi mwembamba Dhidi ya Freman Mbowe Mwenyekiti wa Muda Mrefu ( M7 )watalaam wa siasa walionya mpasuko mkubwa kutokea

Lissu bado ajue 47% kwenye Chama chake awapo upande wake na wengi wao ndio Chadema Halisia.

Vita Ni Chadema Halsia Vs Chadema Harakati

Wanaosuka Mpasuko Huu wanausuka kisayansi na Kwa kujua ni Lissu ni Mtu wa Jazba na Mshauri wake Mkuu Lema kuna mtu ataomba maji na sanda soon.

Catherine Ruge Out.

Who Next??

GM Lindi Tanzania
Tuliwaahauri mapema hawakusikia. Na kabla mwaka haujaisha Chadema itakuwa kwishnei!!!
 
Baada ya Uchaguzi wa Mwenyekiti Chadema na kumpaata Mshindi Ndg Tundu Lissu alieshinda kwa ushindi mwembamba Dhidi ya Freman Mbowe Mwenyekiti wa Muda Mrefu ( M7 )watalaam wa siasa walionya mpasuko mkubwa kutokea

Lissu bado ajue 47% kwenye Chama chake awapo upande wake na wengi wao ndio Chadema Halisia.

Vita Ni Chadema Halsia Vs Chadema Harakati

Wanaosuka Mpasuko Huu wanausuka kisayansi na Kwa kujua ni Lissu ni Mtu wa Jazba na Mshauri wake Mkuu Lema kuna mtu ataomba maji na sanda soon.

Catherine Ruge Out.

Who Next??

GM Lindi Tanzania
Watakwambia akaze hapo hapo 😆😆

Aibu yake ya kwanza ni Kushindwa Kwa No reforms no election
 
Baada ya Uchaguzi wa Mwenyekiti Chadema na kumpaata Mshindi Ndg Tundu Lissu alieshinda kwa ushindi mwembamba Dhidi ya Freman Mbowe Mwenyekiti wa Muda Mrefu ( M7 )watalaam wa siasa walionya mpasuko mkubwa kutokea

Lissu bado ajue 47% kwenye Chama chake awapo upande wake na wengi wao ndio Chadema Halisia.

Vita Ni Chadema Halsia Vs Chadema Harakati

Wanaosuka Mpasuko Huu wanausuka kisayansi na Kwa kujua ni Lissu ni Mtu wa Jazba na Mshauri wake Mkuu Lema kuna mtu ataomba maji na sanda soon.

Catherine Ruge Out.

Who Next??

GM Lindi Tanzania
Njaa 55 ni watimuliwe wote kwenye chama
 
Baada ya Uchaguzi wa Mwenyekiti Chadema na kumpaata Mshindi Ndg Tundu Lissu alieshinda kwa ushindi mwembamba Dhidi ya Freman Mbowe Mwenyekiti wa Muda Mrefu ( M7 )watalaam wa siasa walionya mpasuko mkubwa kutokea

Lissu bado ajue 47% kwenye Chama chake awapo upande wake na wengi wao ndio Chadema Halisia.

Vita Ni Chadema Halsia Vs Chadema Harakati

Wanaosuka Mpasuko Huu wanausuka kisayansi na Kwa kujua ni Lissu ni Mtu wa Jazba na Mshauri wake Mkuu Lema kuna mtu ataomba maji na sanda soon.

Catherine Ruge Out.

Who Next??

GM Lindi Tanzania
Eti CHADEMA halisi. Chizi kweli.
 
Baada ya Uchaguzi wa Mwenyekiti Chadema na kumpaata Mshindi Ndg Tundu Lissu alieshinda kwa ushindi mwembamba Dhidi ya Freman Mbowe Mwenyekiti wa Muda Mrefu ( M7 )watalaam wa siasa walionya mpasuko mkubwa kutokea

Lissu bado ajue 47% kwenye Chama chake awapo upande wake na wengi wao ndio Chadema Halisia.

Vita Ni Chadema Halsia Vs Chadema Harakati

Wanaosuka Mpasuko Huu wanausuka kisayansi na Kwa kujua ni Lissu ni Mtu wa Jazba na Mshauri wake Mkuu Lema kuna mtu ataomba maji na sanda soon.

Catherine Ruge Out.

Who Next??

GM Lindi Tanzania
Jaziba sana, eiti #no reform no election 😛 CDM ataizika T.A.Lissu
 
Baada ya Uchaguzi wa Mwenyekiti Chadema na kumpaata Mshindi Ndg Tundu Lissu alieshinda kwa ushindi mwembamba Dhidi ya Freman Mbowe Mwenyekiti wa Muda Mrefu ( M7 )watalaam wa siasa walionya mpasuko mkubwa kutokea

Lissu bado ajue 47% kwenye Chama chake awapo upande wake na wengi wao ndio Chadema Halisia.

Vita Ni Chadema Halsia Vs Chadema Harakati

Wanaosuka Mpasuko Huu wanausuka kisayansi na Kwa kujua ni Lissu ni Mtu wa Jazba na Mshauri wake Mkuu Lema kuna mtu ataomba maji na sanda soon.

Catherine Ruge Out.

Who Next??

GM Lindi Tanzania
Waasi
Baada ya Uchaguzi wa Mwenyekiti Chadema na kumpaata Mshindi Ndg Tundu Lissu alieshinda kwa ushindi mwembamba Dhidi ya Freman Mbowe Mwenyekiti wa Muda Mrefu ( M7 )watalaam wa siasa walionya mpasuko mkubwa kutokea

Lissu bado ajue 47% kwenye Chama chake awapo upande wake na wengi wao ndio Chadema Halisia.

Vita Ni Chadema Halsia Vs Chadema Harakati

Wanaosuka Mpasuko Huu wanausuka kisayansi na Kwa kujua ni Lissu ni Mtu wa Jazba na Mshauri wake Mkuu Lema kuna mtu ataomba maji na sanda soon.

Catherine Ruge Out.

Who Next??

GM Lindi Tanzania
Waasisi wa hii vita ya kishamba ni mfariji wa mgonjwa anayeweza kuchati akiwa Icu na kwa ufadhili wa kirushwa rushwa pia ukiwahusu na g55 a.k.a mpox 55 kwa ufadhiliwa chama kiovu zaidi kinachofugachawa na kuamini katika rushwa.
 
Baada ya Uchaguzi wa Mwenyekiti Chadema na kumpaata Mshindi Ndg Tundu Lissu alieshinda kwa ushindi mwembamba Dhidi ya Freman Mbowe Mwenyekiti wa Muda Mrefu ( M7 )watalaam wa siasa walionya mpasuko mkubwa kutokea

Lissu bado ajue 47% kwenye Chama chake awapo upande wake na wengi wao ndio Chadema Halisia.

Vita Ni Chadema Halsia Vs Chadema Harakati

Wanaosuka Mpasuko Huu wanausuka kisayansi na Kwa kujua ni Lissu ni Mtu wa Jazba na Mshauri wake Mkuu Lema kuna mtu ataomba maji na sanda soon.

Catherine Ruge Out.

Who Next??

GM Lindi Tanzania
Mbona huko CCM mbona wanatenguliwa Kila wakati hamlalamiki
 
Naweza kukutajia List ya Mapandikizi Chadema ukaishia kulia dogo

Hizo ni porojo tu na mpasuko huu wala amataamini

Baada ya Catherine Ruge CPA

Mfukuzeni Sugu, Wenje , Boni Yai

Wote hao wanapinga no Election

Myika kijana wa... Si mdebwedo?
Sasa hao hata wakifukuzwa wana impact gani?? Kura zinapigwa na wananchi sio hao G55.
 
Nyie wananchi?? Unawasemea watu?

Wewe pimbi acha kulala sebulini kwa shemj yako
Uwezu wenu wakujibu kwa hoja ni mdogo sana, akili zenu ni kama wanyama wa msituni, huwa anashambulia sababu ameshindwa kutafsiri image aliyoiona.
Mdogo wangu inawezekana Huna shule na ndio maana akili yako haiwezi ku battle na mimi kwa hoja pia punguza makasiriko mimi sio ninayekulipa ujira mdogo ila unalipwa kutokana na udogo wa akili yako.
Hivyo vimaneno vyenu vyakucopy humu JF unamwambia kila mtu ni kukengeuka.
 
Unazaliwa mwaka 94 tena moshi vijijini huko, kilichokufanya umefika dar ni ki institute hicho ulichosemea bachelor of insurance upumbavu mtupu.
Jf imekupa platform yakuweza kutukana baba wenye nyumba wako.
Kuwa CCM sio dhati ila dhambi ni kuwa ccm na kuwa mpumbavu. Unamizigo miwili kichwani.
 
Back
Top Bottom