Unajifariji tu vyama viko vingi waende huko wakagombeeNaweza kukutajia List ya Mapandikizi Chadema ukaishia kulia dogo
Hizo ni porojo tu na mpasuko huu wala amataamini
Baada ya Catherine Ruge CPA
Mfukuzeni Sugu, Wenje , Boni Yai
Wote hao wanapinga no Election
Myika kijana wa... Si mdebwedo?
"Awapo" ndio nini.Baada ya Uchaguzi wa Mwenyekiti Chadema na kumpaata Mshindi Ndg Tundu Lissu alieshinda kwa ushindi mwembamba Dhidi ya Freman Mbowe Mwenyekiti wa Muda Mrefu ( M7 )watalaam wa siasa walionya mpasuko mkubwa kutokea
Lissu bado ajue 47% kwenye Chama chake awapo upande wake na wengi wao ndio Chadema Halisia.
Vita Ni Chadema Halsia Vs Chadema Harakati
Wanaosuka Mpasuko Huu wanausuka kisayansi na Kwa kujua ni Lissu ni Mtu wa Jazba na Mshauri wake Mkuu Lema kuna mtu ataomba maji na sanda soon.
Catherine Ruge Out.
Who Next??
GM Lindi Tanzania
Ndoto za mchana, Mrs.Mbowe.Lissu lazima aondoke
Ujumbe umefika boya"Awapo" ndio nini.
Hivi hao wanaowaajiri nyie msiojua hata kuandika wanajielewa kweli?.
Kwamba wewe una ushawishi kumzidi Sugu?Unajifariji tu vyama viko vingi waende huko wakagombee
Kwanini wanaogopa kwenda vyama vingine, hao uliowataja hapo wanabebwa na Chama hawana ushawishi wowote
No Reform No Election ilikua ni biashara ya Mbowe alishaidiwa kupewa majimbo na aliehayagawa kwa hao vijana wake, akaleta ujuaji wa kumleta Wenje amu Chalenge Lissu, Akanyooshwa biashara ikaishia hapo
Mpango wao wa sasa ni kuendeleza hiyo biashara yao haramu maana wanajua watapewa majimbo.
Mbowe kafa kibudu
Maisha ni vita hata ccm na familia yako zipo vita deile so relax kijana uvccm usiogope Simba yupo mstari wa mbele kbsBaada ya Uchaguzi wa Mwenyekiti Chadema na kumpaata Mshindi Ndg Tundu Lissu alieshinda kwa ushindi mwembamba Dhidi ya Freman Mbowe Mwenyekiti wa Muda Mrefu ( M7 )watalaam wa siasa walionya mpasuko mkubwa kutokea
Lissu bado ajue 47% kwenye Chama chake awapo upande wake na wengi wao ndio Chadema Halisia.
Vita Ni Chadema Halsia Vs Chadema Harakati
Wanaosuka Mpasuko Huu wanausuka kisayansi na Kwa kujua ni Lissu ni Mtu wa Jazba na Mshauri wake Mkuu Lema kuna mtu ataomba maji na sanda soon.
Catherine Ruge Out.
Who Next??
GM Lindi Tanzania
Ushawishi wa Sugu ni Awapo ndani ya Chadema nje ya Chadema ni mbwiga wa mbwigukeKwamba wewe una ushawishi kumzidi Sugu?
Aisee
Wewe ni CHAWA WA CCM ,WEWE NI MALAYA WA KISIASA .Baada ya Uchaguzi wa Mwenyekiti Chadema na kumpaata Mshindi Ndg Tundu Lissu alieshinda kwa ushindi mwembamba Dhidi ya Freman Mbowe Mwenyekiti wa Muda Mrefu ( M7 )watalaam wa siasa walionya mpasuko mkubwa kutokea
Lissu bado ajue 47% kwenye Chama chake awapo upande wake na wengi wao ndio Chadema Halisia.
Vita Ni Chadema Halsia Vs Chadema Harakati
Wanaosuka Mpasuko Huu wanausuka kisayansi na Kwa kujua ni Lissu ni Mtu wa Jazba na Mshauri wake Mkuu Lema kuna mtu ataomba maji na sanda soon.
Catherine Ruge Out.
Who Next??
GM Lindi Tanzania
Vyovyote vile. Jueni Tundu Lissu ndo mshindi maana ajenda anayosimamia si ajenda ya maslahi binafsi bali ajenda ya kuleta mabadiliko ya kweli Tanzania ambayo yatahakikisha wananchi wanapata maendeleo ya kweli.
Haijalishi mamluki na mapandikizi mpo wangapi? Tundu Lissu hakupinywa risasi na Mungu ili azurure tu. Kazi yake ni kutumika kuikomboa kweli Tanzania na hata muende wapi na muwe na nani jueni Watanzania wote wako nyuma yake.
Mtaishia kupewa laana kama sio kupotezwa kabisa.
Chadema ni chama cha wananchi ,wapangao mipango ovu wakesha bure.Baada ya Uchaguzi wa Mwenyekiti Chadema na kumpaata Mshindi Ndg Tundu Lissu alieshinda kwa ushindi mwembamba Dhidi ya Freman Mbowe Mwenyekiti wa Muda Mrefu ( M7 )watalaam wa siasa walionya mpasuko mkubwa kutokea
Lissu bado ajue 47% kwenye Chama chake awapo upande wake na wengi wao ndio Chadema Halisia.
Vita Ni Chadema Halsia Vs Chadema Harakati
Wanaosuka Mpasuko Huu wanausuka kisayansi na Kwa kujua ni Lissu ni Mtu wa Jazba na Mshauri wake Mkuu Lema kuna mtu ataomba maji na sanda soon.
Catherine Ruge Out.
Who Next??
GM Lindi Tanzania
Yaani upambane na mtu, akushinde halafu aliyekushinda maji ayaite mmaa! Akili za wapi hizo we mzee, mbona mnaanza kunyoosheana vidole mapema? Mara hii kamanda mbowe amekuwa joka la makengeza? Mnabaguana wenyewe kwa wenyewe halafu mtegemee kupewa nchi..Lissu ana nguvu ya Umma, hao G55 wana nguvu zao!!. Ccm mwaka hata km watashinda ila maji lazima wayaite Mmaa!!, Lissu sio mchumia tumbo kama mzee wa ruzuku ambaye ndio kinara wa kupoteza direction ya chama. Ogopa sana joka la makengeza ni hatari....
Lissu hana nia ya dhati mnayozungumzaHata ikifika hatua Tundu A LISSU akabaki pekeyake, sisi watanzania tunayoiona nia yake ya dhati yakutupambania tutasimama nae.
Hawa G55 kama wanavyojiita wanajifanya wanamaono ila ni njaa tu.
Watanzania tunashinikiza serikali ianze mchakato wa mabadiliko ya katiba ya uchaguzi lasivyo hatutapiga kura.
Hajafukuzwa amepusha chemo tukwani amefukuzwa chama!
🚮🚮🚮Baada ya Uchaguzi wa Mwenyekiti Chadema na kumpaata Mshindi Ndg Tundu Lissu alieshinda kwa ushindi mwembamba Dhidi ya Freman Mbowe Mwenyekiti wa Muda Mrefu ( M7 )watalaam wa siasa walionya mpasuko mkubwa kutokea
Lissu bado ajue 47% kwenye Chama chake awapo upande wake na wengi wao ndio Chadema Halisia.
Vita Ni Chadema Halsia Vs Chadema Harakati
Wanaosuka Mpasuko Huu wanausuka kisayansi na Kwa kujua ni Lissu ni Mtu wa Jazba na Mshauri wake Mkuu Lema kuna mtu ataomba maji na sanda soon.
Catherine Ruge Out.
Who Next??
GM Lindi Tanzania