LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,348
- 3,219
Habari zilizonifikia ni kwamba mpk hivi kuna watu watatu wameshauawa baina ya wakulima na wafugaji.
Mapigano haya yameanza tangu jana na mpaka sasa yanaendelea.
HABARI MBAYA SANA HII.
Mapigano haya yanaendea katika kijiji kiitwacho Poripori.
Mapigano haya yameanza tangu jana na mpaka sasa yanaendelea.
HABARI MBAYA SANA HII.
Mapigano haya yanaendea katika kijiji kiitwacho Poripori.