Vita Kali ndani ya CHADEMA

Mtoto wa Mkulima

JF-Expert Member
Apr 12, 2007
681
126
Jamani hii nimeipata kwenye e mail na naona inazunguka hapa sija-add chochote.

Nawasilisha hoja



=========
Ufafanuzi toka CHADEMA - Oktoba 16, 2007

 
Kuna kila dalili hizi ni njama za CCM kumchafua Slaa na kuanzisha kasheshe ndani ya CHADEMA, na siyo Zitto au Mbowe kama unavyotaka tufikirie.. Hebu tupe source ya habari hii. Zitto kama upo maeneo ya usawa wa JF hebu tupe habari zaidi kuhusu shutuma hizi.
 

Mkuu Bubu hii habari sijaandika mimi kama nilivyoeleza hapo juu nimekuta kwa email yangu ni kama kampeni ya kuisambaza nikakopy na kupest hapa ili ijadiliwe. Mimi binafsi naona hizi ni njama sa kuchafua silaa. Kama aliwahi kuuwa kwanini hao wajerumani wa mwache aendelee kutanua mtaani na si gerezani? Hapo kuna kauli nyingi sana ukisoma unajua kabisa haziwezi kutoka kwa Zitto wala Mbowe. Hii ni kampeni tuu ya kuchafua na nimejaribu kutrace hii e mail nimeona ilikotokea ila sijui kama ndio mwanzo wa hizo forward au ni zaidi ya hapo.
 
UPUPU mtupu kwenye huu ujumbe. Hauhitaji kuwa na madegree kibao kugundua ni CCM wanataka kumchafua Dr. Slaa kwasababu anaonekana yeye ndiye mwenye nguvu zaidi.

Mwandishi si ataje jina lake?
 
Bubu Ataka Kusema, unamuuliza Mtoto wa Mkulima akupe source wakati yeye ndiye source yenyewe si atajiuma ulimi?

Kaanza kwa kusema kuwa yeye kaileta jinsi alivyoipata bila ku-add cho chote lakini kichwa cha mada yake ni "Vita kali Ndani Ya Chadema" . Na hicho kichwa cha mada hakuweka kama swali au kuuliza kama yasemwayo ni kweli, bali kaweka kwa njia ya kuvutia au kuamsha hisia za wasomaji.

Mjumbe hauwawi, ila mjumbe akiupamba ujumbe na kubadili maana ya ujumbe anaweza akasababisha mtu akauwawa (na huyo mtu anaweza akawa yeye mjumbe)!
 
watu watasema ni njama za ccm !

just wait and watch ! watu watakavyoanza kujaza nafasi !
 

Nonono Kiungani. Kwani e mail haina subject? Hiyo title ni subject kwenye e mail hiyo. labda mnataka niiweka kama nukuu? Unauhakika gani kuwa mimi ni source ya hiyo e mail? kwani ningekuwa source ngekuwa na haja gani ya kusema kuwa nimeipata kwa e mail, kwa sababu siogopi mtu eti nifiche kuwa source ni email. Mimi mkuu wala sijapamba chochote hapo kwani wewe unaona huo ujumbe umepambwa? Unanifanya nicheke sana. Nahakika hii imeshafikia baadhi ya wana JF maana ni list ndefu ya walio forwadiwa hadi kufika kwangu.
 
Mwl Nyerere aliwahi kusema hivi"mtu mwenye akili akikupa ushauri wa kijinga,na huku akijua wewe una akili na unajua ushauri huo ni wa kijinga halafu ukaukubali,ATAKUDHARAU".

Wote mliopata hiyo mail anayodai jamaa hapo juu,nadhani mna akili mkikubaliana na huo utumbo ulioandikwa hapo basi mwandishi wa hiyo mail atawadharau.Wana JF,hivi kuna logic gani kwenye hiyo message hapo juu,huyo mwandishi alichofanya ni kutuambia private issues za Dr. Slaa ambazo hatujui ukweli wake,kuhusu ufuska,hiyo haituhusu,kuwa na hawara ujerumani aliyemwachia nyumba,hilo ni jambo la kheri kuliko yeye kuhonga nyumba kama wengi wafanyavyo hapo nyumbani.Dr.Slaa kutokua na nyumba kwao,na hayo hayatuhusu,ni uamuzi wake,muda ukifika atajenga tu,au atahamia hiyo nyumba yake ya ujerumani amabyo mwandishi anadai,kwani kuna mwiko gani akienda kuishi ujerumani?Dr.Slaa kuwa na ugonjwa wa ajabu,hiyo ni mipango ya Mungu,hata wewe uliyeandika hiyo mail naona ndio una ugonjwa mkubwa wa akili ambao hutaweza kuutibu.

Hii hapa nitaifanananisha na michezo ya kuigiza,tunarudi kwenye mada yetu ya MAFISADI,hayo tumeyasikia yameshapita,lakini mada ya UFISADI kipindi hiki haipiti,tupo nanyi hadi kieleweke.
 
...upupu mtupu,hivi mnafikiri watanzania ni wajinga kiasi gani kuamini huu utumbo wenu? mmeishiwa kweli kweli kilichobaki ni kuwapiga chini tuu
 
Wewe BUBU ATAKA KUSEMA. Nenda Karatu na Hanang kaulize hizi habari ndipo utajua hakuna njama yoyote ya CCM. Ni uchafu wake Slaa. Vipi mbona imekuuma?
 
Kama hana nyumba huko na Dar hana nyumba ? Kwani Slaa kutokuwa na nyumba , maisha yake binafsi yana muumiza nani kama anaitendea Taifa hili mema ?Hii si mail ya mzunguko ila imejengwa na mleta hoja hii . Niko Karatu as we speak .Nimeonyeshwa nyumbani kwa Dr.Slaa na mambo mengine .Kusema rafiki yake shoga this is extreme lakini kwa kuwa CCM ni wajuzi wa kupika majungu maana hata Salim aliambiwa ni Hizbu leo sitashangaa Slaa kuitwa majina yeyote .
 
Wewe BUBU ATAKA KUSEMA. Nenda Karatu na Hanang kaulize hizi habari ndipo utajua hakuna njama yoyote ya CCM. Ni uchafu wake Slaa. Vipi mbona imekuuma?

....habari gani wewe za kuuliza huko karatu? na kama hamna cha kuandika bora mkae kimya maana mnajiaibisha tuu.
 
Wewe BUBU ATAKA KUSEMA. Nenda Karatu na Hanang kaulize hizi habari ndipo utajua hakuna njama yoyote ya CCM. Ni uchafu wake Slaa. Vipi mbona imekuuma?

Naweza kusema kuwa hizo tuhuma zina ukweli ndani yake. Lakini kwanini zitolewe sasa na sio huko nyuma? Na kwani hakuna CCM anayefanya mambo kama hayo? Kwanini yeye asiandikwe hivyo? Mimi naona ndio siasa za Salva za kupambana na watu kwa kuspread fitna, no more no less, it is all pack of crap. La muhimu tunaloangalia zaidi ni yale yenye manufaa kwa taifa letu, mambo binafsi hatuna haja nayo. Kuna watu wengine mawaziri walikuwa wanatembea na wafanyakazi wenzao maofisini, lakini hakuna anayejali, kwanini Slaa iwe issue? ni njama tu ya CCM.
 
nasema hivi :

subirini tu hapa muone nafasi zitakavyojazwa watu kusema kwamba hii ni kampeni chafu dhidi ya chadema, cha kushangaza basi utadhani hawajui mbowe, zitto, slaa walipo ili wawaulize ! kizuri zaidi kama mnataka habari hii ikemewe zittoni mwanachama wa JF hivyo itakuwa vizuri aje akanushe haya ( definitely i expect him kukanusha vilivyo ili kuokoa maslahi ya chama so i wont be suprised ) kama alivyokanusha habari ya mbowe kula mabilioni ya kampeni !

Mh. Zitto eeeh nakuomba utokee hapa ukanushe haya madai, na simaanishi washika dau wa chadema i.e akina .................. na ................. na.......................... na..................... na...........................na......................and the list goes on, bali nakuhitaji wewe au mbowe mkanushe !
 
Upumbavu mtupu huu. Anayefanya hizi kampeni kama ni mwanasiasa afadhali atafute career nyingine kwani amefilisika ki siasa.

Upumbavu zaidi umejionyesha pale kila mtu ambaye anaweza kuwa shahidi wa kuthibitisha tuhuma hizi ni marehemu. Muweka hazina ameisha fariki, anayedaiwa kuwa ni hawara wa kijerumani ameisha fariki. Sintoshangaa hata kusikia aliyetunga huu upumbavu ameisha fariki.

Kama mtu huna jipya si afadhali ukae kimya kuliko kuuonyesha upumbavu wako mbele ya kadamnasi. Ninadhani aliyetunga hizi habari ndiye shoga na nitaendelea kuamini kuwa muandishi wa hizi habari ni shoga mpaka athibitishe tofauti.

Ndiyo maana bado tunaendelea kuomba miaka 46 baada ya uhuru na mali asili tunayo...
 
I ONLY HAVE ONE THING TO SAY TO THE WORLD ( INLCUDING TANZANIA AND ITS LEADERS ) !!

YOU CAN PLAN IT, ACT IT, CALCULATE IT, MANIPULATE IT, CONTROL IT, HIDE IT, BUT THERE IS ALWAYS A TRACE OF EVIDENCE YOU ARE GOING TO LEAVE BEHIND.... sasa chadema jianikeni uwanjani !
nasema hivi, mliona mkuki mtamu kwa nguruwe sasa mnajichoma wenyewe mnasema sumu !

there's more to come ! lets party !
 

sasa mnaona slaa ni msafi hivyo au ? acheni kuabudu watu hasa pale maovu yao yanapoanikwa !

leo hii mnaambiwa haya na mnakanusha, akiingia madarakani ndiomtaanza kusema kuna machizi fulani walisema slaa mchafu hatukumsikiliza ! binadamu always tunajirudisha steps behind, jambo likitokea tunaanza kulia !
 

Next time watasema Slaa alikuwa kwenye coup attempt ya miaka ya 60, amesababisha jeti ya rais iliyonunuliwa kwa mabilioni kukwama, and on and on....

Tanzania yetu.......
 

Kada,

You know that God is omniscient. That is the only person I believe in. No more, no less.
 

mbona unaanza kulia..... toa point yako na uisimamie sio kulazimisha watu kukubaliana nawe!

BTW.... unamjua vipi huyo shoga wa stori?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…