From Sir With Love
JF-Expert Member
- Sep 13, 2010
- 2,076
- 3,797
Nimeikuta hii taarifa ya upotoshaji iliyorushwa tarehe 8, Januari na kituo cha K24TV nchini Kenya. Tizama dakika 0.49
Vyombo vya habari inabidi viwe maakini kuhakiki taarifa zake. Nashauri Tindu Lissu, awasiliane nao ili wasahihishe hii taarifa.
Vyombo vya habari inabidi viwe maakini kuhakiki taarifa zake. Nashauri Tindu Lissu, awasiliane nao ili wasahihishe hii taarifa.