Kumeibuka wimbi la usafirishaji na uingizaji wa madawa ya kulevya kupita uwanja wa kimataifa wa Julius Nyerere.
Jana wamekamatwa watu kadhaa katika nyakati tofauti wakisafirisha madawa ya kulevya kwenda Dubai.
Kwa wimbi hili ni wazi kabisa biashara imenoga!! sasa watu wanateleza tu!!!
Pamoja na pongezi kwa viongozi wa usalama katika uwanja huo lakini bado tunaomba ukinzi mkali uendelee bila kuzembea.
Viwanja vyote vya ndege, vyote viwe na ulinzi madhubuti, tuweke watu weledi na waaminifu.
Taarifa ya kukamatwa wahalifu hao imetolewa na kituo Cha chanel ten habari tarehe 18/4/2023.
Jana wamekamatwa watu kadhaa katika nyakati tofauti wakisafirisha madawa ya kulevya kwenda Dubai.
Kwa wimbi hili ni wazi kabisa biashara imenoga!! sasa watu wanateleza tu!!!
Pamoja na pongezi kwa viongozi wa usalama katika uwanja huo lakini bado tunaomba ukinzi mkali uendelee bila kuzembea.
Viwanja vyote vya ndege, vyote viwe na ulinzi madhubuti, tuweke watu weledi na waaminifu.
Taarifa ya kukamatwa wahalifu hao imetolewa na kituo Cha chanel ten habari tarehe 18/4/2023.