Umerogwa, na aliyekuroga keshakufa.Watu wengi hawafahamu kuwa nadharia husikika vizuri lakini hali halisi inataka uzoefu! Uzoefu umeonyesha kuwa kukamatana kimya kimya huishia kuachiana kimya kimya! Drug dealers hawaogopi kufahamika maana tayari wanafahamika! Wanachoogopa ni kutajwa hadharani! Ndio maana baada ya zoezi la kuwataja kusitishwa sasa wanaweza kupata usingizi! Na huo ndo mwisho wa effective war on drugs!