Vita baina ya China na Marekani haviepukiki

Vita baina ya China na Marekani haviepukiki

Wewe na Marekani kwani walikupa mke maana huwa unawashabikia sana hadi inakua kero.

Asante sana mkuu kwa kuliona hilo huyu jamaa kawa ----- kabisa na hiyo Marekani.Wakati mwingine ana-pretend kama Muamerika wakati ni m-tz.
Lijinga kweli kila saa Marekani marekani kuna mijitu mipumbavu sana.
 
Huwa nakuheshimu sana kwa hoja zako murua, lakini sometimes wewe huwa kichwa nazi sijui mwezi mwandamo? Sikiliza historia ndo mambo yote walikuwepo wayunani, wagiriki, dola ya rumi, Ottoman Empire , Viking , waingereza to name few hawa wote wametikisa , na wengine wamekuwa masuper power , where are they now? Muda wao uliisha and so as USA whether you like or not and it is just around the corner swallow it pig

Huyu jamaa sijui kwa nini mnamsifia.
Kuna sehemu ka-comment USA baby!...Hizo akili kazitoa wapi mi namuona chizi kabisa huyu mtu ana mahaba na marekani mpaka anakera.
 
China to construct two large lighthouses in the South China Sea
(Xinhua)
Updated:May 26, 2015
BEIJING - China's Ministry of Transport hosted a groundbreaking ceremony on Tuesday for the construction of two multi-functional lighthouses on Huayang Reef and Chigua Reef of China's Nansha Islands, so as to improve the navigation safety in the South China Sea.

SOURCE:CHINA DAILY
 
Huyu jamaa sijui kwa nini mnamsifia.
Kuna sehemu ka-comment USA baby!...Hizo akili kazitoa wapi mi namuona chizi kabisa huyu mtu ana mahaba na marekani mpaka anakera.

USA baby:usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2:
 
Asante sana mkuu kwa kuliona hilo huyu jamaa kawa ----- kabisa na hiyo Marekani.Wakati mwingine ana-pretend kama Muamerika wakati ni m-tz.
Lijinga kweli kila saa Marekani marekani kuna mijitu mipumbavu sana.

USA baby:usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2:
 
Hao wakipigana wakimaliza wote watakuwa hawana tena nguvu hivyo urusi itawapigisha magoti tena kwa dharau kabisa.
 
Back
Top Bottom