cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 85,662
- 137,391
Ule msuguano wao wa kishabiki ulikuwa unanogesha tasinia nzima ya bongo movie.
Na ieleweke bila ushindani wa vile mara nyingi kunakuwa hakuna maendeleo ya jambo husika.
Inawezekana pia kama angetangulia Ray, Kanumba naye kwa kiasi fulani angeyumba.
-Kanumba The great ....Ray naye akajiita The Greatest