nicksonmoses
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 244
- 601
Ni kweli ila kwenye mvuje na mavi ya tembo ukikosa mvuje ndio unachanganya majani ya vitunguu swaum na mavi ya tembo tiba nzuri sanakuna muda mwanangu alipandisha homa, yan homa haisikii panadol ya maji wala ya kidonge, niliagizia hilo fusho, halaf uzurkwangu nimezungukwa na hio miti, miarobaini, mikunde pori, kivumbasi na majani ya mvuje, niliyachuma nikayachanganya kwa pamoja nikaweka maji nikafunika mvuke usitoke nikalibandika jikoni likachemka nikamuogeshea mtoto homa lilipungua na tukalala vzr tu
ndio nikaambiwa pia mavi ya tembo uchanganye na majani ya vitunguu swaum na majani ya mvuje yaliokaushwa unachoma moshi wake ukijifukiza tiba nzur sana ya homa isioshuka