chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 7,581
- 15,721
Elimu hii ya uchawi na kupigana na uchawi
Hipo kwenye bibilia maana ndio wabishi na qura’n tukufu maana imefunua kuliko kila kitu kuhusu dunia na tulivo.
Sio kufunguka kila jambo
Kila mwanadamu kapewa imani kapewa nguvu ndio maana hata mdomo unaumba,una laani,unajenga na n.k kuna neno “chunga ulimi wako”
Maana ya neno ilo hata mahakama ina kufunga na kiimani hata kiroho zinatumika,hepuka sononeko la mtu kwa uliyo fanya,hepuka laana ya mtu,hepuka kauli ya mtu.
Tupo hapa duniani kwa ajili ya kuviongoza vyote vilipo duniani maana dunia ni ya wanadamu si ya samaki wala
Ndege.hata malaika,majini na vyote vita kubali kwa kuwa tuna mamlaka yote vitutumikie
Mfano
Kila binadamu kapewa malaika wake kiungalizi.unapo zaliwa unazaliwa na mizimu ya kwenu ambayo hata uzae wapi au ufe wapi watasumbua kwenu,kuna majini utakayo kutana nayo yawe wema au wabaya utakayo ingia nayo au kukutana nayo sehemu za kazi,majumbani,mitaani,kwa michepuko n.k
Elimu bahari
Hipo kwenye bibilia maana ndio wabishi na qura’n tukufu maana imefunua kuliko kila kitu kuhusu dunia na tulivo.
Sio kufunguka kila jambo
Kila mwanadamu kapewa imani kapewa nguvu ndio maana hata mdomo unaumba,una laani,unajenga na n.k kuna neno “chunga ulimi wako”
Maana ya neno ilo hata mahakama ina kufunga na kiimani hata kiroho zinatumika,hepuka sononeko la mtu kwa uliyo fanya,hepuka laana ya mtu,hepuka kauli ya mtu.
Tupo hapa duniani kwa ajili ya kuviongoza vyote vilipo duniani maana dunia ni ya wanadamu si ya samaki wala
Ndege.hata malaika,majini na vyote vita kubali kwa kuwa tuna mamlaka yote vitutumikie
Mfano
Kila binadamu kapewa malaika wake kiungalizi.unapo zaliwa unazaliwa na mizimu ya kwenu ambayo hata uzae wapi au ufe wapi watasumbua kwenu,kuna majini utakayo kutana nayo yawe wema au wabaya utakayo ingia nayo au kukutana nayo sehemu za kazi,majumbani,mitaani,kwa michepuko n.k
Elimu bahari