Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,011
- 9,876
Zanzibar imepokea mashine moja yenye uwezo wa kupima sampuli 288 kwa saa 24. Mashine nyingine mbili zilizoagizwa zitafika nchini humo muda wowote kuanzia sasa.
Zanzibar iliazimia kuwa na Maabara ya kisasa ya kupima COVID19 nchini humo ili wasiwe wanatuma sampuli kwenye maabara zilizoko Dar es Salaam.
Mara ya mwisho kwenye taarifa yao Zanzibar walitangaza kuwa na visa 134, na vifo 5.
======
Zanzibar iliazimia kuwa na Maabara ya kisasa ya kupima COVID19 nchini humo ili wasiwe wanatuma sampuli kwenye maabara zilizoko Dar es Salaam.
Mara ya mwisho kwenye taarifa yao Zanzibar walitangaza kuwa na visa 134, na vifo 5.
======