Mohammed Hamad
JF-Expert Member
- Jan 17, 2011
- 3,988
- 1,304
- Thread starter
- #21
Yes intercom kuna nyumba nyingi tu zinakuwa nazo kwenye mageti ukibonyeza kitufe utakachoongea unasikiwa na waliopo ndani na kuna intercom nyingine wanakuona na kukusikia pia unaweza ukaulizwa nani? unajibu mimi Busby halafu kule kule ndani wakibofya kitufe lock inaji unclock.Intercom?