OCC Doctors
Senior Member
- Jul 20, 2018
- 104
- 151
Kwenye sikio la kati kuna vipuli vitatu (ossicles) ambavyo hupitisha mitetemo ya hewa kutoka sikio la nje hadi sikio la ndani ili kuchakatwa kama sauti.
Kipuli cha kwanza ni 'Malleus' mfupa mdogo wa umbo la nyundo husambaza mitetemo ya sauti hadi kwenye kipuli cha pili kiitwacho 'Incus', ni mfupa wenye umbo la chungu hupitisha mitetemo ya sauti hadi kwenye kipuli cha tatu kiitwacho 'Stapes'.
Stapes ni kipuli cha tatu chenye umbo la kipago katika sikio la kati, kisha husafirisha mitetemo hiyo hadi kwenye majimaji ya sikio la ndani (inner ear fluid).
Kipuli cha kwanza ni 'Malleus' mfupa mdogo wa umbo la nyundo husambaza mitetemo ya sauti hadi kwenye kipuli cha pili kiitwacho 'Incus', ni mfupa wenye umbo la chungu hupitisha mitetemo ya sauti hadi kwenye kipuli cha tatu kiitwacho 'Stapes'.
Stapes ni kipuli cha tatu chenye umbo la kipago katika sikio la kati, kisha husafirisha mitetemo hiyo hadi kwenye majimaji ya sikio la ndani (inner ear fluid).