Wakubwa naomba kama kuna anayejua vipimo vipya vya masafa star tv. Ni juzi tarehe 20 ndio nasikia wamehama. Natumia c band dish. Samahani kama nitakuwa nimekorogakoroga.
Search Thread 'star tv frequences' jana ilikuwa jukwaa la Habari na Hoja mchanganyiko au Jukwaa la Siasa Thread ya Yahya Kafulila on Star Tv....
Zipo huko.
Wakubwa naomba kama kuna anayejua vipimo vipya vya masafa star tv. Ni juzi tarehe 20 ndio nasikia wamehama. Natumia c band dish. Samahani kama nitakuwa nimekorogakoroga.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.