Vipi mtu asiyejua kusoma na kuandika, aliyeishi miaka 1400 iliyopita akajua haya?

1. Sura Al-Baqara 2:109
Many of the People of the Book wish, through envy, to lead you back to unbelief, now that you have embraced the faith and the truth has been made plain to them. Forgive them and bear with them until Allah makes known His will. He has power over all things.
Hapa quran inaongelea watu wa kitabu (yaani Wakristo), na kusema:
Wengi wa watu wa kitabu, kutokana na wivu wao, wanatamani kuwarudisheni kwenye kutoamini baada ya kuwa mmeamini, pamoja na kwamba ukweli umeshadhihirishwa wazi mbele yao. Kwa hiyo wasameheni na kuwavumilia hadi Allah atakapowafunulia mapenzi yake. Yeye ana nguvu juu ya kila kitu.
Quran pia inawaagiza Waislamu katika sura Al Imran 3:20 kwamba:
... if they give no heed, then your only duty is to warn them.
Yaani:
... kama wasipowasikiliza, basi ninyi kazi yenu pekee ni kuwaonya tu.
Kwa hiyo, kutokana na aya hizi mbili, yaani Al-Baqara 2:109 na Al Imran 3:20, tunaona mambo yafuatayo:
1.Ni wajibu wa Waislamu kuhubiri dini yao lakini si wajibu wao kuwalazimisha watu kuamini dini yao.
2.Allah kwa wakati wake atawafunulia wale wasioamini ukweli wa mambo.
3.Ni wajibu wa Waislamu kutoa maonyo tu kwa wale wanaowahubiria.
LAKINI, HEBU TAZAMA AYA ZIFUATAZO:
Al-Nisa 4:101
The unbelievers are your sworn enemies.
Yaani,
Wale wasioamini ni maadui zenu wakubwa.
Vilevile inasema katika sura Al-Tawba 9:3
Proclaim a woeful punishment to the unbelievers.
Yaani:
Tangazeni mapigo makuu (ya ole) kwa wasioamini.
Pia quran inasema katika sura Al-Anfal 8:39
Make war on them until persecution is no more and Allah’s religion reigns supreme.
Yaani:
Fanyeni vita juu yao hadi kusiwepo na mateso tena na hadi pale dini ya Allah itakapokuwa imetawala.
Maswali:
1. Je, aliyempa mtume maneno ya 2:109, 3:20 na yale ya 4:101, 9:3, 8:39 ni huyo huyo au ni wawili tofauti?
2. Iweje aseme kuwa usiwalazimishe watu kuamini bali waonyeni na kuwavumilia tu, kisha anageuka sehemu nyingine na kusema walazimisheni, tena kwa vita?
3. au usahaulifu pia ni sifa sawa na kutokujua kusoma na kuandika.
Katika Quran kuna baadhi ya sura zilishuka kutokana na mahitaji ya wakati husika
 
Wewe ndiyo WAKUJA sana. Kwa nini udhani mie nasoma Blog za Wazungu na siyo Wazungu wanasoma Blog yangu?
Mbona unajidharaulisha sana kwa Wazungu? Ni watu wa kawaida tu kama sisi. Usiwaogope kiasi hicho.

Sijasema kuna MALAIKA walikuja kutoka mbinguni ila kuna WATU. Na hilo limeandikwa hata kwenye hiyo Biblia yako agano la kale ila sikumbuki ni kitabu gani maana nina siku sisomi Biblia. Ila ukipata MJUZI wa Biblia basi atakuthibitishia maneno yangu na kukupa mistari.
Ila hapa tuweke mambo ya IMANI pembeni na tudeal na FACT. Nenda thread yangu ya #56 na angalia hizo film. Moja nimeweka juu hapo sasa hivi.

Sasa tuje kwenye Golden number vs Golden Ration na tujadili kwa FACT.

upload_2017-1-27_12-52-9.png


upload_2017-1-27_12-49-48.png


Kama unavyoona hapo juu: Equation ya kwanza ni GOLDEN RATION.
Ila naomba uniambie, 1.618.... ni nini hapo juu?
Au hiyo 1.618 ni BLOG ZA WAZUNGU?

Other Names:
The Golden Ratio is also sometimes called the golden section, golden mean, golden number,divine proportion, divine section and golden proportion.

Clearly unaonekana kuwa wewe sio mtu ambaye anajua hesabu maana kama ungejuwa hilo basi uungetambua kuwa haisemwi golden number ni golden ratio.Wewe unaonekana ni mtu ambaye anasoma blog za wazungu wanaochanganya mambo ya ajabu ajabu.Wamisri waliweza jenga pyramid kwasababu walikuwa wamendelea katika geometry na astronomy Na sio kuhusu malaika kushuka toka mbinguni.Nakushauri kasome chaos mathematics Ndo uone jinsi gani hata hesabu yeneyew inavyodhirirsha Uwepo wa mungu.Pia kafuatilie godels incompleteness theorem ambayo ina imply kuwa Kuna vitu ambavyo vinaweza kuwa kweli lakini hesabu haitaweza kuvi prove.Kwa hyo science nayo ambayo ina base kwenye hesabu iko limited Kuna vitu ni kweli Na haitaweza kuvi proove.kila kitu kinamtukuza mungu Adi hesabu yenyewe
 

Attachments

  • upload_2017-1-27_12-46-43.png
    upload_2017-1-27_12-46-43.png
    15 KB · Views: 60
Fuatilia historia vzuri uone hvo vikundi vimeanzishwa Na nani na ni nani anaewapa ela ya kununua adi vifaru Ndo utaelewa vzur kabla hujaanza kuongea propaganda
Umeongelea vikundi kuanzishwa na nani na upatikanaji wa pesa kununua vifaru.
Vikundi vimeanzishwa na wapinzani ndani ya nchi either kupinga kutawaliwa katika sheria za kiislamu au kupinga kutawaliwa kidictator au kutaka nchi itawaliwe katika sheria za kiislamu.

Kwani Isis wanapewa silaha au pesa na nani? Isis inataka nchi zitawaliwe katika sheria kiislamu. Gaddafi na Saddam hawakutawala kwa sheria za kiislamu.

Swala kupewa silaha hatuwezi kuthibitisha jinsi wanavyozipata, ingawa kuna report kuwa Isis wanapewa support na Sunni countries.
Hivi nchi za kiislamu zinafanya vita kwa kuchochewa na nchi zingine? Kama ndiyo hivyo utakuwa na maana kwamba they can't think for themselves! Hawezi adua akaja kwako akawapa silaha ndugu zako alafu mkaanza kuuwana! Huwo ni ujinga. Tatizo ni siasa, dini na utajiri wa mafuta.
 
Wewe ndiyo WAKUJA sana. Kwa nini udhani mie nasoma Blog za Wazungu na siyo Wazungu wanasoma Blog yangu?
Mbona unajidharaulisha sana kwa Wazungu? Ni watu wa kawaida tu kama sisi. Usiwaogope kiasi hicho.

Sijasema kuna MALAIKA walikuja kutoka mbinguni ila kuna WATU. Na hilo limeandikwa hata kwenye hiyo Biblia yako agano la kale ila sikumbuki ni kitabu gani maana nina siku sisomi Biblia. Ila ukipata MJUZI wa Biblia basi atakuthibitishia maneno yangu na kukupa mistari.
Ila hapa tuweke mambo ya IMANI pembeni na tudeal na FACT. Nenda thread yangu ya #56 na angalia hizo film. Moja nimeweka juu hapo sasa hivi.

Sasa tuje kwenye Golden number vs Golden Ration na tujadili kwa FACT.

View attachment 464295

View attachment 464294

Kama unavyoona hapo juu: Equation ya kwanza ni GOLDEN RATION.
Ila naomba uniambie, 1.618.... ni nini hapo juu?
Au hiyo 1.618 ni BLOG ZA WAZUNGU?

Other Names:
The Golden Ratio is also sometimes called the golden section, golden mean, golden number,divine proportion, divine section and golden proportion.
Hahaha ningekushauri ukasome number theory Na hata Euclid's elements of geometry lakini cdhani kama uko interested Na hesabu kabisa.Wewe endelea hvo hvo Mimi siitaji kumu elimisha mtu yoyote maana cyo wajibu wangu
 
uwezi kusoma vitabu vya iman kama unavyosoma riwaya za buli cheka, kuna aina kadhaa za ''lugha'' utumika. Na kwa mfano rahisi tu, pale unapoona maji juu ya barabara ya lami wakati wa jua kali la mchana kwani ''maji'' huwepo kweli?
La hasha, ni reflections tu. Ila mtu akitaka kukuelezea ueleweutamuelezeaje? Kwamba .... maji juu ya barabara ya lami wakati wa mchana wa jua kali....
The same na hapo pia, aliiona kwenye chemchem linatua. Kuna njia nyingi za kutafsiri sentensi. Zisome.
-------------------------------------------------------------------------------------------------------
82. Na ama ukuta, huo ulikuwa ni wa vijana wawili mayatima kule mjini. Na chini
yake ilikuwako khazina yao; na baba yao alikuwa ni mtu mwema. Basi Mola wako
Mlezi alitaka wafikie utu uzima na wajitolee khazina yao wenyewe, kuwa ni rehema
itokayo kwa Mola wako Mlezi. Wala mimi sikutenda hayo kwa amri yangu. Hiyo ndiyo
tafsiri ya hayo ambayo wewe hukuweza kuyasubiria.
83. Na wanakuuliza khabari za Dhul- Qarnaini. Waambie: Nitakusimulieni baadhi ya
hadithi yake.
84. Sisi tulimtilia nguvu katika ardhi na tukampa njia za kila kitu.
85. Basi akaifuata njia.
86. Hata alipo fika machwea-jua aliliona linatua katika checmchem yenye matope
meusi. Na hapo akawakuta watu. Tukasema: Ewe Dhul-Qarnaini! Ama uwaadhibu au
watwae kwa wema.
87. Akasema: Ama aliye dhulumu basi tutamuadhibu, na kisha atarudishwa kwa Mola
wake Mlezi amuadhibu adhabu isiyo juulikana.
88. Na ama aliye amini na akatenda mema basi atapata malipo mazuri. Nasi
tutamwambia lilio jepesi katika amri yetu.
89. Kisha akaifuata njia.
90. Hata alipo fika matokeo ya jua aliliona linawachomozea watu tusio wawekea
pazia la kuwakinga nalo.
91. Ndio hivyo hivyo. Na Sisi tulizijua vilivyo khabari zake zote.
92. Kisha akaifuata njia.
Hapo iliyo tumika ni tafsiri ya kiswahili ambacho ata mwanafunzi wa darasa la sita anaelewa. Hamna ubulisheka hapo! Kama unayaongeza yako katika Quran, wewe endelea. Quran imekamilika kama inavyodai kwahiyo kama muislamu ongeza maneno at your own risk!

Unless kiswahili kinakusumbua basi hutoelewa, lakini hapo ni very clear katika.....Al-Kahf 18:86. Hata alipo fika machwea-jua aliliona linatua katika checmchem yenye matope meusi. Na hapo akawakuta watu. Tukasema: Ewe Dhul-Qarnaini! Ama uwaadhibu au watwae kwa wema.

Kwa kusisitiza Qur'an inaonyesha "...jua aliliona linatua katika checmchem yenye matope meusi."

Kama hutaki kubali sayansi iliyo andikwa hapo it's up to you. Kubali kutokubaliana na tusonge mbele, hatuwezi rudia au kukosoa maneno ya Allah. Allah ndiye anajua yote.
 
Sometimes jifunze tu kukubali ulichemka.

Yaani 1.618 unataka kuiita ni Ratio na siyo Number?

Anyway, wote tunaongelea jambo hilohilo. Ni kama Ice, Water and Vapour.... it's just H2O.
Wewe unasema KESHO na mie nasema Jumamosi huku leo ni Ijumaa.

Kwa taarifa yako hizi ni Fizikia zaidi kuzidi Hesabu. Inawezekana kweli wewe ni Mkali wa Hesabu ila unapobishana na Wahandisi basi sisi tunadeal zaidi na uhalisia na siyo Namba Hewa.

Kasome kitu kinaitwa Theory of Elasticity and Plasticity ndiyo utajua ninasema nini. Unacheza na namba katika vitu halisia. Tamu sana.

Nyie watu wa kumeza namba endeleeni maana ukiulizwa ina aply wapi kwenye maisha unabaki unaKODOA.
Nikutakie weekend njema.

Hahaha ningekushauri ukasome number theory Na hata Euclid's elements of geometry lakini cdhani kama uko interested Na hesabu kabisa.Wewe endelea hvo hvo Mimi siitaji kumu elimisha mtu yoyote maana cyo wajibu wangu
 
Allah na Nabii wake wanaji contradict wenyewe ile mbaya. Yes hiwe yes na no hiwe no! Siyo kigeugeu. Haiwezekani Mungu na nabii wake wanajigonga gonga na kujipinga katika kauli zao. Hizi dini za uwongo Mungu wa kweli ataziangamiza, nyinyi waislamu salini sala zenu za kurudia rudia raka 5 lakini mtamtambua Yesu Kristo mwana wa Mungu wa pekee sio Muhammad.
Uislam ulipita katika kipindi cha vita,hizo aya za mwanzo zilikuja ktk kipindi hali nishwari,na hizo nyingine zilishuka wakati wa mapambano.Au ulitaka ktk Uwanja wa mapambana Mohammad aambiwe " wakikukata mkono wa kulia wape na wakushoto waumalizie?"
Swala la seven heavens dini nyingi zimekuwa zikiamini hivyo kabla hata Qur'an. Kwa mfano katika Hinduism, Judaism na Wababiloni walikuwa wana amini imani ya kuwepo seven heavens, kwahiyo hamna jipya! Waislamu mnataka credit ya Qur'an yenu iyonekane scientific kwa kukopy and paste imani za wengine. Kwanza science haijathibitisha kwamba kuna mbingu saba.
 
Umesema kuhusu Tissue za Mafarao. Sasa yule Farao wa Misri aliomsumbua Sana Mussa na wana wa Israel. QURAN imesema mwili wake utahifadhiwa. Wala hautooza ili iwe fundisho kwa vizazi vijavyo. Na ndio maana mpaka leo ukienda Misri utaukuta mwili wake na ndani ya mwili wake kuna organs zote kama moyo, mapafu , utumbo nk. Heby jiulize toka Enzi za Mussa mpaka leo ni miaka Mingapi?

Umesema kuhusu Tissue za Mafarao. Sasa yule Farao wa Misri aliomsumbua Sana Mussa na wana wa Israel. QURAN imesema mwili wake utahifadhiwa. Wala hautooza ili iwe fundisho kwa vizazi vijavyo. Na ndio maana mpaka leo ukienda Misri utaukuta mwili wake na ndani ya mwili wake kuna organs zote kama moyo, mapafu , utumbo nk. Heby jiulize toka Enzi za Mussa mpaka leo ni miaka Mingapi?

Quran inasema hivi:-
10:90-92
90.
Tukawavusha bahari Wana wa Israili, na Firauni na askari wake wakawafuatia kwa dhulma na uadui. Hata Firauni alipo kuwa anataka kuzama akasema: Naamini kuwa hapana mungu ila yule waliye muamini Wana wa Israili, na mimi ni miongoni mwa walio nyenyekea!

91.
Ala! Sasa? Na hali uliasi kabla yake na ukawa miongoni mwa mafisadi!

92.
Leo, basi, TUTAKUOKOA KWA MWILI WAKO, ili uwe ISHARA kwa ajili ya walio nyuma yako. Na hakika watu wengi wameghafilika na Ishara zetu.


91.
Ala! Sasa? Na hali uliasi kabla yake na ukawa miongoni mwa mafisadi!

92.
Leo, basi, TUTAKUOKOA KWA MWILI WAKO, ili uwe ISHARA kwa ajili ya walio nyuma yako. Na hakika watu wengi wameghafilika na Ishara zetu.

Sasa nimeamini kabisa kuwa "Uislam" na "Waislam" ni wanafiki sana. Kama Quran yenu inawafundisha kuwa wana wa Israili walivushwa baharini na Mungu na tena inasema "hapana Mungu ila yule waliyemuamini wana wa Israili", sasa mbona ninyi Waislamu mnawapiga vita wana wa Israili?

Wanafiki wakubwa, mnajishuhudia wenyewe kwa mafundisho yenu.
 
Na wewe unaiga idiology za watanzania au waarabu? Watanzania ni wenye amani na nchi zote za kiislamu ni vita na terrorism. Bahati yako uko Tanzania! Nenda Libya uone terrorist watakufanya nini?
Nchi za kiarabu zenye via no Syria,Iraq na Lybia tuu,sio zote!
 
Sometimes jifunze tu kukubali ulichemka.

Yaani 1.618 unataka kuiita ni Ratio na siyo Number?

Anyway, wote tunaongelea jambo hilohilo. Ni kama Ice, Water and Vapour.... it's just H2O.
Wewe unasema KESHO na mie nasema Jumamosi huku leo ni Ijumaa.

Kwa taarifa yako hizi ni Fizikia zaidi kuzidi Hesabu. Inawezekana kweli wewe ni Mkali wa Hesabu ila unapobishana na Wahandisi basi sisi tunadeal zaidi na uhalisia na siyo Namba Hewa.

Kasome kitu kinaitwa Theory of Elasticity and Plasticity ndiyo utajua ninasema nini. Unacheza na namba katika vitu halisia. Tamu sana.

Nyie watu wa kumeza namba endeleeni maana ukiulizwa ina aply wapi kwenye maisha unabaki unaKODOA.
Nikutakie weekend njema.
Hahaha hesabu ni pure elegance mkuu na Wewe cjui unasoma uhandisi gani ambao unakufundisha kuponde namba.Na Ndo maana tz waandisi hatuoni kazi mnazofanya kama ndo hvo mnafundishwa kuwa hesabu haina maana cdhani kama mtakuja tengeneza hata calculator
 
Sometimes jifunze tu kukubali ulichemka.

Yaani 1.618 unataka kuiita ni Ratio na siyo Number?

Anyway, wote tunaongelea jambo hilohilo. Ni kama Ice, Water and Vapour.... it's just H2O.
Wewe unasema KESHO na mie nasema Jumamosi huku leo ni Ijumaa.

Kwa taarifa yako hizi ni Fizikia zaidi kuzidi Hesabu. Inawezekana kweli wewe ni Mkali wa Hesabu ila unapobishana na Wahandisi basi sisi tunadeal zaidi na uhalisia na siyo Namba Hewa.

Kasome kitu kinaitwa Theory of Elasticity and Plasticity ndiyo utajua ninasema nini. Unacheza na namba katika vitu halisia. Tamu sana.

Nyie watu wa kumeza namba endeleeni maana ukiulizwa ina aply wapi kwenye maisha unabaki unaKODOA.
Nikutakie weekend njema.
Hahaha eti hesabu haina application wewe unadhani kinachokupa privacy kwenye mtandao ni nini uhandisi au?? unadhani kinachofanya serekali isiweze ku crack password yako ni nini elasticity au ? Kuna vitu usiongee kabisa unaonekana waajabu mhandisi aoni umuhimi wa hesabu kweli ulienda chuo bure
 
Nashindwa kujua nikudharau au nikuache tu uendelee kuamini ndoto zako. Kwa taarifa yako mie sijasoma Chuo Kikuu chochote Tanzania. Hao Wazungu unaowaogopa nimewafundisha sana tu ili wapasi mitihani.

Turudi njiani: Kuna tofauti kidogo kati ya Maths na Apllied Maths kama kwenye IT, Physics, Civil Engineering nk. Mfano mdogo ni formula ya q= mc(delta)T ambayo tunaambiwa heat energy linategemea uzito, uwezo wake wa kupitisha joto na tofauti kati ya joto la mwanzo na la mwisho. Ila Mpemba Effect ina prove sivyo. Haya sasa hizo namba zako ziko wapi? Ndiyo tofauti ya Mhandisi na Mwana mahesabu. Mhandisi anatumia hesabu kumsaidia ila hazitegemei hesabu peke yake. Kuna vitu inabidi aviweke sawa akiwa Lab kwani hesabu zinagoma kuleta jibu sahihi. Ndiyo maana Engineering ina Coefficient nyingi sana.


Huu ni ujumbe wangu wa mwisho kukujibu. Kama utakuwa hujanielewa basi wewe umeshinda. Nakaribisha majadiliano ya kisayansi au kimahesabu zaidi na siyo malumbano. Nimeshafika home... ngoja niweke simu pembeni nifurahi na familia. Have nice day.


Hahaha eti hesabu haina application wewe unadhani kinachokupa privacy kwenye mtandao ni nini uhandisi au?? unadhani kinachofanya serekali isiweze ku crack password yako ni nini elasticity au ? Kuna vitu usiongee kabisa unaonekana waajabu mhandisi aoni umuhimi wa hesabu kweli ulienda chuo bure
 
Nashindwa kujua nikudharau au nikuache tu uendelee kuamini ndoto zako. Kwa taarifa yako mie sijasoma Chuo Kikuu chochote Tanzania. Hao Wazungu unaowaogopa nimewafundisha sana tu ili wapasi mitihani.

Turudi njiani: Kuna tofauti kidogo kati ya Maths na Apllied Maths kama kwenye IT, Physics, Civil Engineering nk. Mfano mdogo ni formula ya q= mc(delta)T ambayo tunaambiwa heat energy linategemea uzito, uwezo wake wa kupitisha joto na tofauti kati ya joto la mwanzo na la mwisho. Ila Mpemba Effect ina prove sivyo. Haya sasa hizo namba zako ziko wapi? Ndiyo tofauti ya Mhandisi na Mwana mahesabu. Mhandisi anatumia hesabu kumsaidia ila hazitegemei hesabu peke yake. Kuna vitu inabidi aviweke sawa akiwa Lab kwani hesabu zinagoma kuleta jibu sahihi. Ndiyo maana Engineering ina Coefficient nyingi sana.


Huu ni ujumbe wangu wa mwisho kukujibu. Kama utakuwa hujanielewa basi wewe umeshinda. Nakaribisha majadiliano ya kisayansi au kimahesabu zaidi na siyo malumbano. Nimeshafika home... ngoja niweke simu pembeni nifurahi na familia. Have nice day.


Sehemu uliyoongelea kuhusu pure Na applied math hapo Ndo naweza kubaliana Na ww Na jibu la kwanin hyo formula unavyodai inashindwa nabdi nifuatilie hyo kitu maana Mimi sijawahi maindisha phyzikia sana.Ila Pia unatakiwa tambua kuwa pure mathematics inatumika sana tu mfano prime number theorem IPO kazini hata humu jf.All in all hesabu ni fundamental mtaendelea Fanya engineering ila lazma mrudi kwa baba yenu hesabu mpate uelewa
 
That is what I thought about you. Do your homework to know much about Fizikia na ndiyo uje ujadiliane na Wahandisi.
Hii dunia kama hujui Fizikia, Chemistry na Hesabu basi usibishane na watu kama GT. Dunia hii imeumbwa na Fizikia pamoja na Chemistry. Hesabu zimekuja kufuata baadaye sana. Kama Algebra ambazo ndiyo msingi wa Algorythm zinazotumika hapa kwenye Computer au programing ni vitu vilivyogunduliwa mu-Iran Muhammad Al-Khwarizmi miaka kadhaa baada ya Yesu.

Unaonekana umri wako bado mdogo au umesoma Old School sana. Vitu vingi bado huvijui. Fizikia na hesabu vinaenda pamoja. Jitahidi uperuzi Fizikia ndiyo utajua jinsi Hesabu zinavyopewa Limitation kwenye mambo mengi. Good luck.
Sehemu uliyoongelea kuhusu pure Na applied math hapo Ndo naweza kubaliana Na ww Na jibu la kwanin hyo formula unavyodai inashindwa nabdi nifuatilie hyo kitu maana Mimi sijawahi maindisha phyzikia sana.Ila Pia unatakiwa tambua kuwa pure mathematics inatumika sana tu mfano prime number theorem IPO kazini hata humu jf.All in all hesabu ni fundamental mtaendelea Fanya engineering ila lazma mrudi kwa baba yenu hesabu mpate uelewa
 
That is what I thought about you. Do your homework to know much about Fizikia na ndiyo uje ujadiliane na Wahandisi.
Hii dunia kama hujui Fizikia, Chemistry na Hesabu basi usibishane na watu kama GT. Dunia hii imeumbwa na Fizikia pamoja na Chemistry. Hesabu zimekuja kufuata baadaye sana. Kama Algebra ambazo ndiyo msingi wa Algorythm zinazotumika hapa kwenye Computer au programing ni vitu vilivyogunduliwa mu-Iran Muhammad Al-Khwarizmi miaka kadhaa baada ya Yesu.

Unaonekana umri wako bado mdogo au umesoma Old School sana. Vitu vingi bado huvijui. Fizikia na hesabu vinaenda pamoja. Jitahidi uperuzi Fizikia ndiyo utajua jinsi Hesabu zinavyopewa Limi[/QOUTE]

MBNA unazidi kudanganya mkuu hvi ni kweli kwamba fizikia Ndo kilianza kabla ya hesabu ?Number zilikuwepo tokea enzi za kale mkuu kabla hata ya systematic study of physics kuanzishwa Na Galileo.Theory zote za physics lazma ziwe Na hesabu proof of the fact ya kwamba hesabu ndyo fundamental
 
Quran 27:

1. T'aa Siin. (T'.S.), Hizi ni Aya za Qur'ani na Kitabu kinacho bainisha;
2. Uwongofu na bishara kwa Waumini,
3. Ambao wanashika Sala, na wanatoa Zaka, na Akhera wana yakini nayo.
4. Kwa hakika wale wasio iamini Akhera tumewapambia vitendo vyao, kwa hivyo wanatangatanga ovyo.
5. Hao ndio watapata adhabu mbaya kabisa, na hao katika Akhera ndio watapata khasara zaidi.


60. AU NANI yule aliye ziumba mbingu na ardhi, na akakuteremshieni maji kutoka mbinguni, na kwa hayo tukaziotesha bustani zenye kupendeza? Nyinyi hamna uwezo wa kuiotesha miti yake. Je! Yupo mungu pamoja na Mwenyezi Mungu? Bali hao ni watu walio potoka.
61. Au nani yule aliye ifanya ardhi mahali pa kutua, na akajaalia ndani yake mito, na akaweka milima? Na akaweka baina ya bahari mbili kiziwizi? Je! Yupo mungu pamoja na Mwenyezi Mungu? Bali wengi wao hawajui.
62. Au nani yule anaye mjibu mwenye shida pale anapo mwomba, na akaiondoa dhiki, na akakufanyeni warithi wa ardhi? Je! Yupo mungu pamoja na Mwenyezi Mungu? Ni machache mnayo yazingatia.
63. Au nani yule anaye kuongoeni katika giza la bara na bahari, na akazipeleka pepo kuleta bishara kabla ya rehema zake? Je! Yupo mungu pamoja na Mwenyezi Mungu? Ametukuka Mwenyezi Mungu juu ya wanao washirikisha naye.
64. Au nani anaye uanzisha uumbaji, kisha akaurejesha? Na nani anaye kuruzukuni kutoka mbinguni na kwenye ardhi? Je! Yupo mungu pamoja na Mwenyezi Mungu? Sema: Leteni hoja zenu kama nyinyi ni wasema kweli.
65. Sema: Hapana katika mbingu na ardhi ajuaye ya ghaibu isipo kuwa Mwenyezi Mungu. Wala wao hawajui lini watafufuliwa.
66. Kwani huo ujuzi wao umefikilia kuijua Akhera? Bali wao wamo katika shaka nayo tu, bali wao ni vipofu nayo.
67. Na wakasema walio kufuru: Tutapo kuwa mchanga, sisi na baba zetu, hivyo kweli tutakuja tolewa?
68. Haya haya tuliahidiwa sisi na baba zetu zamani. Hayakuwa haya ila ni hadithi za uwongo za watu wa kale.
69. Sema: Nendeni katika ardhi, na tazameni ulikuwaje mwisho wa wakosefu.

70. Wala usiwahuzunukie wala usiwe katika dhiki kwa sababu ya hila zao wanazo zifanya.
71. Na wanasema: Ahadi hii itatokea lini, ikiwa mnasema kweli?
72. Sema: Asaa ni karibu kukufikieni sehemu ya yale mnayo yahimiza.
73. Na hakika Mola wako Mlezi ni Mwenye fadhila kwa watu, lakini wengi wao hawashukuru.
74. Na hakika Mola wako Mlezi anayajua yanayo ficha vifua vyao na wanayo yatangaza.
75. Na hakuna siri katika mbingu na ardhi ila imo katika Kitabu kinacho bainisha.
76. Hakika Qur'ani hii inawasimulia Wana wa Israili mengi wanayo khitalifiana nayo.
77. Nayo hakika ni Uwongofu na Rehema kwa Waumini.
78. Hakika Mola wako Mlezi atawahukumu kwa hukumu yake, naye ni Mwenye nguvu Mjuzi.
79. Basi mtegemee Mweneyezi Mungu; hakika wewe uko juu ya Haki iliyo wazi.
80. Kwa hakika wewe huwezi kuwafanya maiti wasikie, wala kuwafanya viziwi wasikie wito, wanapo kwisha geuka kwenda zao.
81. Wala huwezi kuwaongoa vipofu waache upotovu wao. Huwezi kuwafanya wasikie isipo kuwa wenye kuziamini Ishara zetu; na hao ndio wat'iifu.
82. Na itapo waangukia kauli juu yao, tutawatolea mnyama katika ardhi atakaye wasemeza, ya kuwa watu walikuwa hawana na yakini na Ishara zetu.
83. Na Siku tutapo kusanya kutoka kila umma kundi katika wanao kadhibisha Ishara zetu, nao watagawanywa mafungu mafungu.
84. Hata watakapo fika, atasema (Mwenyezi Mungu): Je! Nyinyi si mlizikanusha Ishara zangu pasipo kuzijua vyema? Au mlikuwa mkifanya nini?
85. Na kauli itawaangukia juu yao kwa vile walivyo dhulumu. Basi hao hawatasema lolote.
86. Je! Hawaoni kwamba sisi tumeufanya usiku ili watulie, na mchana wa kuangaza. Hakika katika hayo zipo Ishara kwa watu wanao amini.
87. Na Siku litapo pulizwa baragumu, watahangaika waliomo mbinguni na katika ardhi, ila amtakaye Mwenyezi Mungu. Na wote watamfikia nao ni wanyonge.
88. Na unaiona milima unaidhunia imetulia; nayo inakwenda kama mwendo wa mawingu. Huo ndio ufundi wa Mwenyezi Mungu aliye tengeneza vilivyo kila kitu. Hakika Yeye anazo khabari za yote myatendayo.
89. Watakao kuja na mema, watapata bora kuliko hayo. Nao watasalimika na mahangaiko ya Siku hiyo.
90. Na watakao kuja na uovu, basi zitasunukishwa nyuso zao Motoni. Je! Kwani mnalipwa isipo kuwa mliyo kuwa mkiyatenda?
91. Ama mimi nimeamrishwa nimuabudu Mola Mlezi wa mji huu aliye ufanya ni mtakatifu; na ni vyake Yeye tu vitu vyote. Na nimeamrishwa niwe miongoni mwa Waislamu, wenye kunyenyekea.
92. Na niisome Qur'ani. Na mwenye kuongoka, basi ameongoka kwa faida ya nafsi yake; na aliye potea - basi sema: Hakika mimi ni miongoni mwa waonyaji.
93. Na sema: Alhamdu Lillahi, Sifa njema zote ni za Mwenyezi Mungu. Yeye atakuonyesheni Ishara zake, na mtazijua. Na Mola wako Mlezi si mwenye kughafilika na myatendayo.
 
Quran 69:

1. Tukio la haki.
2. Nini hilo Tukio la haki?
3. Na nini kitakujuulisha nini hilo Tukio la haki?
4. Thamudi na A'di waliukadhibisha Msiba unao situsha.
5. Basi Thamudi waliangamizwa kwa balaa kubwa mno.
6. Na ama A'di waliangamizwa kwa upepo mkali usio zuilika.
7. Alio wapelekea masiku saba, na siku nane, mfululizo bila ya kusita. Utaona watu wamepinduka kama kwamba ni magongo ya mitende yalio wazi ndani.
8. Basi je! Unamwona mmoja wao aliye baki?
9. Na Firauni na walio mtangulia, na miji iliyo pinduliwa chini juu, walileta khatia.
10. Wakamuasi Mtume wa Mola wao Mlezi, ndipo Yeye Mola akawakamata kwa mkamato ulio zidi nguvu.
11. Maji yalipo furika Sisi tulikupandisheni katika safina,
12. Ili tuyafanye hayo kuwa ni waadhi kwenu na kila sikio linalo sikia liyahifadhi.
13. Na litapo pulizwa barugumu mpulizo mmoja tu,
14. Na ardhi na milima ikaondolewa, na ikavunjwa kwa mvunjo mmoja,
15. Siku hiyo ndio Tukio litatukia.
16. Na mbingu zitapasuka, kwani siku hiyo zitakuwa dhaifu kabisa.
17. Na Malaika watakuwa pembezoni mwa mbingu; na wanane juu ya hawa watakuwa wamebeba Kiti cha Enzi cha Mola wako Mlezi.
18. Siku hiyo mtahudhurishwa - haitafichika siri yoyote yenu.
19. Basi ama atakaye pewa kitabu chake kwa mkono wake wa kulia, atasema: Haya someni kitabu changu!
20. Hakika nalijua ya kuwa nitapokea hisabu yangu.
21. Basi yeye atakuwa katika maisha ya kupendeza,
22. Katika Bustani ya juu,
23. Matunda yake yakaribu.
24. Waambiwe: Kuleni na mnywe kwa furaha kwa sababu ya mlivyo tanguliza katika siku zilizo pita.
25. Na ama atakaye pewa kitabu chake katika mkono wake wa kushoto, basi yeye atasema: Laiti nisingeli pewa kitabu changu!
26. Wala nisingeli jua nini hisabu yangu.
27. Laiti mauti ndiyo yangeli kuwa ya kunimaliza kabisa.
28. Mali yangu hayakunifaa kitu.
29. Madaraka yangu yamenipotea.
30. (Pasemwe): Mshikeni! Mtieni pingu!
31. Kisha mtupeni Motoni!
32. Tena mtatizeni katika mnyororo wenye urefu wa dhiraa sabiini!
33. Kwani huyo hakika alikuwa hamuamini Mwenyezi Mungu Mtukufu,
34. Wala hahimizi kulisha masikini.
35. Basi leo hapa hana jamaa wa kumwonea uchungu,
36. Wala hana chakula ila usaha wa watu wa Motoni.
37. Chakula hicho hawakili ila wakosefu.
38. Basi naapa kwa mnavyo viona,
39. Na msivyo viona,
40. Kwa hakika hii ni kauli iliyo letwa na Mjumbe mwenye hishima.
41. Wala si kauli ya mtunga mashairi. Ni machache sana mnayo yaamini.
42. Wala si kauli ya kuhani. Ni machache mnayo yakumbuka.
43. Ni uteremsho utokao kwa Mola Mlezi wa walimwengu wote.

44. Na lau kama angeli tuzulia baadhi ya maneno tu,
45. Bila ya shaka tungeli mshika kwa mkono wa kulia,
46. Kisha kwa hakika tungeli mkata mshipa mkubwa wa moyo!
47. Na hapana yeyote katika nyinyi ambaye angeli weza kutuzuia.
48. Kwa hakika hii ni mawaidha kwa wachamngu.
49. Na hakika Sisi bila ya shaka tunajua kwamba miongoni mwenu wapo wanao kadhibisha.
50. Na hakika bila ya shaka itakuwa ni majuto kwa wanao kataa.
51. Na hakika hii bila ya shaka ni haki ya yakini.
52. Basi litakase jina la Mola wako Mlezi Mtukufu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom