Vipi mtu asiyejua kusoma na kuandika, aliyeishi miaka 1400 iliyopita akajua haya?

Mfano wa maji ya chumvi na matamu aya changanyikani, quran 25.53: And He it is Who has made two seas to flow freely, the one sweet that subdues thirst by its sweetness, and the other salt that burns by its saltness; and between the two He has made a barrier and inviolable obstruction.
Ni Surat Rahman kaka.Sura ya 55.
 
74 - AL - MUDDATHTHIR1.

KWA JINA LA MWENYEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU.

1.Ewe uliye jigubika!
2. Simama uonye!
3. Na Mola wako Mlezi mtukuze!
4. Na nguo zako, zisafishe.
5. Na yaliyo machafu yahame!
6. Wala usitoe kwa kutaraji kuzidishiwa.
7. Na kwa ajili ya Mola wako Mlezi, subiri!
8. Basi litapo pulizwa barugumu,
9. Siku hiyo, basi, itakuwa siku ngumu.
10. Kwa makafiri haitakuwa nyepesi.

11. Niache peke yangu na niliye muumba;
12. Na nikamjaalia awe na mali mengi,
13. Na wana wanao onekana,
14. Na nikamtgenezea mambo vizuri kabisa.
15. Kisha anatumai nimzidishie!
16. Hasha! Kwani hakika yeye alikuwa akizifanyia inadi Aya zetu!
17. Nitamtesa kwa mateso yasio wezekana.
18. Kwani hakika yeye alifikiri na akapima.
19. Basi ameangamia! Vipi alivyo pima!
20. Tena ameangamia! Vipi alivyo pima!

21. Kisha akatazama,
22. Kisha akakunja kipaji, na akanuna.
23. Kisha akaipa kisogo haki, na akatakabari.
24. Na akasema: Haya si chochote ila ni uchawi ulio nukuliwa.
25. Haya si chochote ila kauli ya binaadamu.
26. Nitakuja mtia kwenye Moto wa Saqar.
27. Na nini kitakujuulisha ni nini huo Moto wa Saqar?
28. Haubakishi wala hausazi.
29. Unababua ngozi iwe nyeusi.
30. Juu yake wapo kumi na tisa.
31. Na hatukuwafanya walinzi wa Motoni ila ni Malaika, wala hatukuifanya idadi yao hiyo ila kuwatatanisha walio kufuru, wapate kuwa na yakini walio pewa Kitabu, na wazidi Imani wale walio amini, wala wasiwe na shaka walio pewa Kitabu na Waumini, na wapate kusema wenye maradhi katika nyoyo zao na makafiri: Mwenyezi Mungu amekusudia nini kwa mfano huu? Ndio kama hivyo Mwenyezi Mungu humwacha apotee amtakaye, na humwongoa amtakaye. Na hapana yeyote anaye jua majeshi ya Mola wako Mlezi ila Yeye tu. Na haya si chochote ila ni ukumbusho kwa binaadamu.
32. Hasha! Naapa kwa mwezi!
33. Na kwa usiku unapo kucha!
34. Na kwa asubuhi inapo pambazuka!
35. Hakika huo Moto ni katika mambo yaliyo makubwa kabisa!
36. Ni onyo kwa binaadamu,
37. Kwa anaye taka miongoni mwenu kutangulia au kuchelewa.
38. Kila nafsi imo rahanini kwa mabaya iliyo yachuma.
39. Isipo kuwa watu wa kuliani.
40. Hao watakuwa katika Mabustani, wawe wanaulizana
41. Khabari za wakosefu:
42. Ni nini kilicho kupelekeni Motoni?
43. Waseme: Hatukuwa miongoni walio kuwa wakisali.
44. Wala hatukuwa tukiwalisha masikini.

45. Na tulikuwa tukizama pamoja na walio zama katika maovu.
46. Na tulikuwa tukiikanusha siku ya malipo.
47. Mpaka yakini ilipo tufikia.
48. Basi hautawafaa kitu uombezi wa waombezi.
49. Basi wana nini hata wanapuuza onyo hili?
50. Kama kwamba wao ni mapunda walio timuliwa,
51. Wanao mkimbia simba!
52. Ati kila mmoja katika wao anataka apewe nyaraka zilizo funuliwa.
53. Hasha! Kwani wao hawaiogopi Akhera?
54. Hasha! Kwa hakika huu ni ukumbusho!
55. Basi anaye taka atakumbuka.

56. Na hawatakumbuka isipo kuwa Mwenyezi Mungu atake. Uchamngu ni kwake Yeye, na msamaha ni wake Yeye.
 
Quran 69:

1. Tukio la haki.
2. Nini hilo Tukio la haki?
3. Na nini kitakujuulisha nini hilo Tukio la haki?
4. Thamudi na A'di waliukadhibisha Msiba unao situsha.
5. Basi Thamudi waliangamizwa kwa balaa kubwa mno.
6. Na ama A'di waliangamizwa kwa upepo mkali usio zuilika.
7. Alio wapelekea masiku saba, na siku nane, mfululizo bila ya kusita. Utaona watu wamepinduka kama kwamba ni magongo ya mitende yalio wazi ndani.
8. Basi je! Unamwona mmoja wao aliye baki?
9. Na Firauni na walio mtangulia, na miji iliyo pinduliwa chini juu, walileta khatia.
10. Wakamuasi Mtume wa Mola wao Mlezi, ndipo Yeye Mola akawakamata kwa mkamato ulio zidi nguvu.
11. Maji yalipo furika Sisi tulikupandisheni katika safina,
12. Ili tuyafanye hayo kuwa ni waadhi kwenu na kila sikio linalo sikia liyahifadhi.
13. Na litapo pulizwa barugumu mpulizo mmoja tu,
14. Na ardhi na milima ikaondolewa, na ikavunjwa kwa mvunjo mmoja,
15. Siku hiyo ndio Tukio litatukia.
16. Na mbingu zitapasuka, kwani siku hiyo zitakuwa dhaifu kabisa.
17. Na Malaika watakuwa pembezoni mwa mbingu; na wanane juu ya hawa watakuwa wamebeba Kiti cha Enzi cha Mola wako Mlezi.
18. Siku hiyo mtahudhurishwa - haitafichika siri yoyote yenu.
19. Basi ama atakaye pewa kitabu chake kwa mkono wake wa kulia, atasema: Haya someni kitabu changu!
20. Hakika nalijua ya kuwa nitapokea hisabu yangu.
21. Basi yeye atakuwa katika maisha ya kupendeza,
22. Katika Bustani ya juu,
23. Matunda yake yakaribu.
24. Waambiwe: Kuleni na mnywe kwa furaha kwa sababu ya mlivyo tanguliza katika siku zilizo pita.
25. Na ama atakaye pewa kitabu chake katika mkono wake wa kushoto, basi yeye atasema: Laiti nisingeli pewa kitabu changu!
26. Wala nisingeli jua nini hisabu yangu.
27. Laiti mauti ndiyo yangeli kuwa ya kunimaliza kabisa.
28. Mali yangu hayakunifaa kitu.
29. Madaraka yangu yamenipotea.
30. (Pasemwe): Mshikeni! Mtieni pingu!
31. Kisha mtupeni Motoni!
32. Tena mtatizeni katika mnyororo wenye urefu wa dhiraa sabiini!
33. Kwani huyo hakika alikuwa hamuamini Mwenyezi Mungu Mtukufu,
34. Wala hahimizi kulisha masikini.
35. Basi leo hapa hana jamaa wa kumwonea uchungu,
36. Wala hana chakula ila usaha wa watu wa Motoni.
37. Chakula hicho hawakili ila wakosefu.
38. Basi naapa kwa mnavyo viona,
39. Na msivyo viona,
40. Kwa hakika hii ni kauli iliyo letwa na Mjumbe mwenye hishima.
41. Wala si kauli ya mtunga mashairi. Ni machache sana mnayo yaamini.
42. Wala si kauli ya kuhani. Ni machache mnayo yakumbuka.
43. Ni uteremsho utokao kwa Mola Mlezi wa walimwengu wote.

44. Na lau kama angeli tuzulia baadhi ya maneno tu,
45. Bila ya shaka tungeli mshika kwa mkono wa kulia,
46. Kisha kwa hakika tungeli mkata mshipa mkubwa wa moyo!
47. Na hapana yeyote katika nyinyi ambaye angeli weza kutuzuia.
48. Kwa hakika hii ni mawaidha kwa wachamngu.
49. Na hakika Sisi bila ya shaka tunajua kwamba miongoni mwenu wapo wanao kadhibisha.
50. Na hakika bila ya shaka itakuwa ni majuto kwa wanao kataa.
51. Na hakika hii bila ya shaka ni haki ya yakini.
52. Basi litakase jina la Mola wako Mlezi Mtukufu.
AL-HAAAAQAH....!!! Wenye kiburi na wanafiki watakanusha maneno haya.Hakuna wanachosubiri ila saa (kiyama),kitawajia ghafla hali hawatambui.
 
74 - AL - MUDDATHTHIR1.

KWA JINA LA MWENYEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU.

1.Ewe uliye jigubika!
2. Simama uonye!
3. Na Mola wako Mlezi mtukuze!
4. Na nguo zako, zisafishe.
5. Na yaliyo machafu yahame!
6. Wala usitoe kwa kutaraji kuzidishiwa.
7. Na kwa ajili ya Mola wako Mlezi, subiri!
8. Basi litapo pulizwa barugumu,
9. Siku hiyo, basi, itakuwa siku ngumu.
10. Kwa makafiri haitakuwa nyepesi.

11. Niache peke yangu na niliye muumba;
12. Na nikamjaalia awe na mali mengi,
13. Na wana wanao onekana,
14. Na nikamtgenezea mambo vizuri kabisa.
15. Kisha anatumai nimzidishie!
16. Hasha! Kwani hakika yeye alikuwa akizifanyia inadi Aya zetu!
17. Nitamtesa kwa mateso yasio wezekana.
18. Kwani hakika yeye alifikiri na akapima.
19. Basi ameangamia! Vipi alivyo pima!
20. Tena ameangamia! Vipi alivyo pima!

21. Kisha akatazama,
22. Kisha akakunja kipaji, na akanuna.
23. Kisha akaipa kisogo haki, na akatakabari.
24. Na akasema: Haya si chochote ila ni uchawi ulio nukuliwa.
25. Haya si chochote ila kauli ya binaadamu.
26. Nitakuja mtia kwenye Moto wa Saqar.
27. Na nini kitakujuulisha ni nini huo Moto wa Saqar?
28. Haubakishi wala hausazi.
29. Unababua ngozi iwe nyeusi.
30. Juu yake wapo kumi na tisa.
31. Na hatukuwafanya walinzi wa Motoni ila ni Malaika, wala hatukuifanya idadi yao hiyo ila kuwatatanisha walio kufuru, wapate kuwa na yakini walio pewa Kitabu, na wazidi Imani wale walio amini, wala wasiwe na shaka walio pewa Kitabu na Waumini, na wapate kusema wenye maradhi katika nyoyo zao na makafiri: Mwenyezi Mungu amekusudia nini kwa mfano huu? Ndio kama hivyo Mwenyezi Mungu humwacha apotee amtakaye, na humwongoa amtakaye. Na hapana yeyote anaye jua majeshi ya Mola wako Mlezi ila Yeye tu. Na haya si chochote ila ni ukumbusho kwa binaadamu.
32. Hasha! Naapa kwa mwezi!
33. Na kwa usiku unapo kucha!
34. Na kwa asubuhi inapo pambazuka!
35. Hakika huo Moto ni katika mambo yaliyo makubwa kabisa!
36. Ni onyo kwa binaadamu,
37. Kwa anaye taka miongoni mwenu kutangulia au kuchelewa.
38. Kila nafsi imo rahanini kwa mabaya iliyo yachuma.
39. Isipo kuwa watu wa kuliani.
40. Hao watakuwa katika Mabustani, wawe wanaulizana
41. Khabari za wakosefu:
42. Ni nini kilicho kupelekeni Motoni?
43. Waseme: Hatukuwa miongoni walio kuwa wakisali.
44. Wala hatukuwa tukiwalisha masikini.

45. Na tulikuwa tukizama pamoja na walio zama katika maovu.
46. Na tulikuwa tukiikanusha siku ya malipo.
47. Mpaka yakini ilipo tufikia.
48. Basi hautawafaa kitu uombezi wa waombezi.
49. Basi wana nini hata wanapuuza onyo hili?
50. Kama kwamba wao ni mapunda walio timuliwa,
51. Wanao mkimbia simba!
52. Ati kila mmoja katika wao anataka apewe nyaraka zilizo funuliwa.
53. Hasha! Kwani wao hawaiogopi Akhera?
54. Hasha! Kwa hakika huu ni ukumbusho!
55. Basi anaye taka atakumbuka.

56. Na hawatakumbuka isipo kuwa Mwenyezi Mungu atake. Uchamngu ni kwake Yeye, na msamaha ni wake Yeye.
Naam!! Hawatozingatia ukumbusho huu ila wenye akili.
 

Similar Discussions

48 Reactions
Reply
Back
Top Bottom