Vipi mtu asiyejua kusoma na kuandika, aliyeishi miaka 1400 iliyopita akajua haya?

kujifunza kuwepo ni vizuri zaidi ila kuna wengine wanakosa hoja nakua ubishi wakitoto kama wakina kisoda2 hana oja sijui vitu anatoa wapi.
 
Kisoda 2,lazima ujuwe kuna dini tatu zinaitwa Abrahmic Religions .Yaani hizo dini zinafuata mambo ya kiimani kutoka kwa Ibrahim,yaani wanafuata mila za Nabii Ibrahim,kwa hiyo lazima ujuwe hapo mwanzo palikuwa na dini moja kati ya hizo dini.Dini ilikuwa moja,walianza kutofautiana baada kugawanyika makundi ya kukataa Manabii waliofuatia baadaye.Dini hizo tatu zinafanana kwa kukubali Mitume waliyopita wako sawa,ukiangalia wote wanaamini
1.Daud kapewa kitabu Zaburi
2.Taurat kapewa Musa
Mgawanyiko umekuja kwa Yesu aliyepewa Injili,katika hiyo dini,kundi likamkataa Yesu,wao wakabaki kumuamini Musa na Taurat,mpaka Leo wanafuata Taurat,hao wakajiita Wayahud,wakaanzisha kundi lao,likabaki kundi linalomuamini Yesu,wakaitwa wakristo baada ya kufa ya Yesu,hili kundi la pili,alipokuja Mtume Muhammad hawakumuamini,wakabaki wanamuamini Yesu.Kundi la tatu wao waliendelea kumuamini Nabii Musa,akaja Yesu wakamuamini,alipokuja Nabii Muhaamadi wakamuamini,ndilo waislamu.
1.Kwa hiyo waligawanyika kuamini Manabii waliokuja baadaye lakini walibaki kufuata mila za Nabii Ibrahim(kama huko kutahiriwa,kunyoa nyele za kwapani,nyele za siri,nk)
2.Mtume aliyeanza kukataliwa Yesu,walimkataa Wayahud,hawakufuata kitabu cha Yesu cha Injili wala kumtambua.
2.Mtume aliyefuata kukataliwa ni Mtume Muhammad,akakubaliwa na kundi waliomkubali Yesu,kwa kundi hili kutoa ushahidi ndani ya Injili kama Yesu,alishamtabiri,kama akiondoka atakuja Mtume baada yangu,na akataja sifa atakazokuwa nazo(zingatia utabiri huo uko kwenye Injili sio Biblia).
Kwa hiyo hawa waislamu hawakumkataa Yesu,na alipokuja Mtume Muhammad,pia hawakukataa.
3.Miongoni mwa utabiri wa Yesu kwa Mtume Muhammad ni kuwa atamsifu na kumkubali Yesu.Na ndivyo alivyofanya Mtume Muhammad.
Nimeuliza swali hujatoa jibu, Ndio tunaamini au Hapana hatuamini. Unaleta maelezo. sasa haya maelezo yako mbona ndio unazidi kuonyesha jinzi muslims mlivyo vilaza zaidi.
Hebu tueleze huu upuuzi ulioandika hapa umeusoma/simuliwa na nani? na je umeuamini kuwa ndio ukweli?
 
Ndugu zangu waislamu, leo ijumaa basi muende mkaswali muombe Allah azidi kuwafunulia kweli na ya kheri tupu. Ningependa pia tufungue ukurasa mpya tusitumie lugha hisiyostahiki katika mjadala wa kisayansi. Sisi watanzania siyo wagomvi kwahiyo tujadili mambo yote kwa amani.
 
Ndugu zangu waislamu, leo ijumaa basi muende mkaswali muombe Allah azidi kuwafunulia kweli na ya kheri tupu. Ningependa pia tufungue ukurasa mpya tusitumie lugha hisiyostahiki katika mjadala wa kisayansi. Sisi watanzania siyo wagomvi kwahiyo tujadili mambo yote kwa amani.
sure, ibishani uwe wenye tija kila mtu yupo kwajili ya kujifunza nakuelimishana. poa poa mida ngooja niende masjid nikawai hotuba.
 
Ingawa nimezaliwa mkristo Na natambulika hvo ila hamna dini ambayo imeonyesha hekima Na maarifa kama uislamu kuanzia uumbaji wa ulimwengu kila kitu kiko accurate kabisa
Acha unafiki. mmeanza kuja kwa style mpya!!
Thibitisha hiyo bold hapo.
 
Je ndugu zangu kuna yeyote anajua namna ya dua katika swala ya kuomba mvua.
 
aya ipi? iweke hapa sio kubwabwaja tu kama punda mwenye kiu
Tafadhari kama wewe muislamu tumia lugha nzuri maana Allah hajafundisha hivyo. Kama unataka aya uelimike utapata. Mimi sibwabwaji na siyo punda mwenye kiu!

An Nisa 4:148. MWENYEZI MUNGU hapendi uovu uenezwe kwa maneno ila kwa mwenye kudhulumiwa. Na Mwenyezi Mungu ndiye Mwenye kusikia na Mwenye kujua.

Al-Kahf 18:86. Hata alipo fika machwea-jua aliliona linatua katika checmchem yenye matope meusi. Na hapo akawakuta watu. Tukasema: Ewe Dhul-Qarnaini! Ama uwaadhibu au watwae kwa wema.
 
aya ipi? iweke hapa sio kubwabwaja tu kama punda mwenye kiu
Nakukumbusha kwamba niliandika kusisitiza amani na ndugu zetu waislamu kwa kusema "Ndugu zangu waislamu, leo ijumaa basi muende mkaswali muombe Allah azidi kuwafunulia kweli na ya kheri tupu. Ningependa pia tufungue ukurasa mpya tusitumie lugha hisiyostahiki katika mjadala wa kisayansi. Sisi watanzania siyo wagomvi kwahiyo tujadili mambo yote kwa amani."
Hamna haja ya kuendelea kutumia lugha chafu! Amani na maelewano hayapatikani kwa matusi. Hata kama hatukubaliani, basi tukubali kuto kubaliana badala lugha chafu.
Ijumaa njema.
 
Mfano wa maji ya chumvi na matamu aya changanyikani, quran 25.53: And He it is Who has made two seas to flow freely, the one sweet that subdues thirst by its sweetness, and the other salt that burns by its saltness; and between the two He has made a barrier and inviolable obstruction.
Maji matamu ndio yapi hayo?
 
Mimi nimekusamehe,tusameheane allah huwapenda wenye kusamehe.
Quran inafundisha kwamba... "Kauli njema na usamehevu ni bora kuliko sadaka inayo fuatiliwa na maudhi. Na Mwenyezi Mungu ndiye Mwenye kujitosha na Mpole." (al-Baqara 2:263)

Kwahiyo kulingana na Quran, kusamehe ni sahihi kwa muislamu.
 
Quran inafundisha kwamba... "Kauli njema na usamehevu ni bora kuliko sadaka inayo fuatiliwa na maudhi. Na Mwenyezi Mungu ndiye Mwenye kujitosha na Mpole." (al-Baqara 2:263)

Kwahiyo kulingana na Quran, kusamehe ni sahihi kwa muislamu.
Masha Allah
 
Chini ya thread yangu nimeweka Documental film kama 4 hivi. Ila ulivyo mvivu wa kusoma ukavamia treni kwa mbele.

Sidhani kama hapa patakufaa mtu unayewaza alfu lela ulela ukiwa hapa. Nenda kwenye thread za watoto wenzio mkapeane hadithi za Sayansi kimu


Ni vizuri utoe comment uweke na proper reference ya information yako. Hapo umeongea hadithi ya Alfu lela ulela.
 
Tafadhari kama wewe muislamu tumia lugha nzuri maana Allah hajafundisha hivyo. Kama unataka aya uelimike utapata. Mimi sibwabwaji na siyo punda mwenye kiu!

An Nisa 4:148. MWENYEZI MUNGU hapendi uovu uenezwe kwa maneno ila kwa mwenye kudhulumiwa. Na Mwenyezi Mungu ndiye Mwenye kusikia na Mwenye kujua.

Al-Kahf 18:86. Hata alipo fika machwea-jua aliliona linatua katika checmchem yenye matope meusi. Na hapo akawakuta watu. Tukasema: Ewe Dhul-Qarnaini! Ama uwaadhibu au watwae kwa wema.
uwezi kusoma vitabu vya iman kama unavyosoma riwaya za buli cheka, kuna aina kadhaa za ''lugha'' utumika. Na kwa mfano rahisi tu, pale unapoona maji juu ya barabara ya lami wakati wa jua kali la mchana kwani ''maji'' huwepo kweli?
La hasha, ni reflections tu. Ila mtu akitaka kukuelezea ueleweutamuelezeaje? Kwamba .... maji juu ya barabara ya lami wakati wa mchana wa jua kali....
The same na hapo pia, aliiona kwenye chemchem linatua. Kuna njia nyingi za kutafsiri sentensi. Zisome.
-------------------------------------------------------------------------------------------------------
82. Na ama ukuta, huo ulikuwa ni wa vijana wawili mayatima kule mjini. Na chini
yake ilikuwako khazina yao; na baba yao alikuwa ni mtu mwema. Basi Mola wako
Mlezi alitaka wafikie utu uzima na wajitolee khazina yao wenyewe, kuwa ni rehema
itokayo kwa Mola wako Mlezi. Wala mimi sikutenda hayo kwa amri yangu. Hiyo ndiyo
tafsiri ya hayo ambayo wewe hukuweza kuyasubiria.
83. Na wanakuuliza khabari za Dhul- Qarnaini. Waambie: Nitakusimulieni baadhi ya
hadithi yake.
84. Sisi tulimtilia nguvu katika ardhi na tukampa njia za kila kitu.
85. Basi akaifuata njia.
86. Hata alipo fika machwea-jua aliliona linatua katika checmchem yenye matope
meusi. Na hapo akawakuta watu. Tukasema: Ewe Dhul-Qarnaini! Ama uwaadhibu au
watwae kwa wema.
87. Akasema: Ama aliye dhulumu basi tutamuadhibu, na kisha atarudishwa kwa Mola
wake Mlezi amuadhibu adhabu isiyo juulikana.
88. Na ama aliye amini na akatenda mema basi atapata malipo mazuri. Nasi
tutamwambia lilio jepesi katika amri yetu.
89. Kisha akaifuata njia.
90. Hata alipo fika matokeo ya jua aliliona linawachomozea watu tusio wawekea
pazia la kuwakinga nalo.
91. Ndio hivyo hivyo. Na Sisi tulizijua vilivyo khabari zake zote.
92. Kisha akaifuata njia.
 
Chini ya thread yangu nimeweka Documental film kama 4 hivi. Ila ulivyo mvivu wa kusoma ukavamia treni kwa mbele.

Sidhani kama hapa patakufaa mtu unayewaza alfu lela ulela ukiwa hapa. Nenda kwenye thread za watoto wenzio mkapeane hadithi za Sayansi kimu
Chini ya thread yangu nimeweka Documental film kama 4 hivi. Ila ulivyo mvivu wa kusoma ukavamia treni kwa mbele.<br /><br />Sidhani kama hapa patakufaa mtu unayewaza alfu lela ulela ukiwa hapa. Nenda kwenye thread za watoto wenzio mkapeane hadithi za Sayansi kimu<br /><br /><br />[quote uid=207602 name="BigBros" post=19470277]Ni vizuri utoe comment uweke na proper reference ya information yako. Hapo umeongea hadithi ya Alfu lela ulela.[/QUOTE]

Ni kweli kabisa kwamba pale Egypt sehemu ya Pyramid ya Giza na sanamu ya Simba pamewekwa au kufichwa sayansi kubwa sana duniani. Mfano ni Golden number na pai ya hesabu ambavyo ukivichanganya kidogo vinakupa speed ya mwanga.<br />Wa Egypt hawakuwa hawa Waarabu. Hawa waliwavamia real Egyptian na kuwafukuza maeneo hayo. Kuna kila dalili kuwa wale walikuwa Weusi na moja ya mabaki yao yanaweza kuwa ni kabila la Dogon wanaoishi Mali.<br />Kuna sayari ambazo Dogoni alizisema miaka mingi nyuma ndiyo kwanza Nasa wamekuja kuziona kwa kutumia powerful telescope.<br />Kuna story kwenye Biblia inasema kuwa kuna watu walikuja kutoka mbinguni na baada yakuwaona Mabinti wa Dunia hii wakawapenda. Wengine wanadai kuwa hawa jamaa walikuja Babylon kuja kutafuta dhahabu. Kumbuka dhahabu ni best material kwa ajili ya kupitisha joto na umeme.<br />Walipoona hii kazi ngumu sana basi wakawazalisha Binadanu na wale watoto wakawa ni kama binadamu ila Super natural talented. Hawa ndiyo inasemwa walikuja kujenga hizo Pyramid na vitu vingine baadaye.<br /><br />Vatican hizi siri wanazo siku nyingi na ukiangalia makanisa hata ya zamani sana, walitumia Golden Ratio kujenga. Bendera ya USA imetengenezwa kwa kutumia Golden Ratio. Symbol ya Toyota vilevile.<br /><br />Swali hapa ni vipi Vatican walijenga hivi? Ni lazima walijua siri hii. Ndiyo maana CIA na Vatican ni marafiki wakubwa na wao ndiyo walinzi wa siri hizi za dunia.<br /><br />Mwenye hamu ya kutaka kujua hili basi aanzie kufuatilia matukio ya vifo vya wale (Samaki wakubwa?) Waliokuwa wakiokotwa wamekufa kwenye fukwe za bahari. Anzia tukio la wale waliokutwa wamekufa RSA.<br />Njoo angalia siri ya Pyramid ya Giza. Njoo usome au sikiliza siri ya kabila la Dogoni na hapo utapata mwanga mkubwa wa hizi habari. Dogoni wao wanathibitisha kabisa walitoka angani kwenye sayari ndogo pembeni mwa Sirius.

Haya kaka, nimekuwekea hapo hadithi yako hiyo. Ziko wapi hizo video?
 
Mkuu,

Anyway, ngoja tu nikutafunie kila kitu maana hadi watia huruma. Ni kuwa kwenye Page ya 3 uliponi-copy, chini yake ujumbe wa #56 nimeweka video kama 4 hivi. Ungelienda chini kidogo ungeliziona.

Video yenyewe hii hapa kama kweli unataka kusikiliza. Ila ili ikupe sura nzuri, basi nenda ujumbe ule uelewe habari nyingine ambazo ukiziunga zinakupa mwanga mkubwa wa haya mambo.



Haya kaka, nimekuwekea hapo hadithi yako hiyo. Ziko wapi hizo video?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom