Vipi mtu asiyejua kusoma na kuandika, aliyeishi miaka 1400 iliyopita akajua haya?

AHMARDZ

JF-Expert Member
Jul 5, 2016
790
677
1. Seven heavens-Mbingu kweli saba
2. Worm holes
3. Sea's can seperated and No light down there
4. Bigbang and bing crunch
5. Singularity
6. Black holes
7. Dark matter
8. Gravity
9. Human embrology
10. expanding of the universe
11. Time is relative
12. nerves in skin
13. ice in coments
14. seas
Huyu ni mtume, wote wana science wamekuja kujua kipindi hiki yote hayo.
 
Mfano wa maji ya chumvi na matamu aya changanyikani, quran 25.53: And He it is Who has made two seas to flow freely, the one sweet that subdues thirst by its sweetness, and the other salt that burns by its saltness; and between the two He has made a barrier and inviolable obstruction.
 

Attachments

  • main-qimg-3a0f82115dc974db18481960640983b5-c.jpg
    main-qimg-3a0f82115dc974db18481960640983b5-c.jpg
    14.3 KB · Views: 430
1. Seven heavens-Mbingu kweli saba
2. Worm holes
3. Sea's can seperated and No light down there
4. Bigbang and bing crunch
5. Singularity
6. Black holes
7. Dark matter
8. Gravity
9. Human embrology
10. expanding of the universe
11. Time is relative
12. nerves in skin
13. ice in coments
14. seas
Huyu ni mtume, wote wana science wamekuja kujua kipindi hiki yote hayo.

Mtume kazaliwa kayakuta hayo yote yapo, ni uvivu wako tu wa kusoma, wewe umekaa na kitabu kimoja tu tena unasomewa na kutafsiriwa na viongozi wako
na pia ukae ukijua Mtume ndio kaja kuiua kabisa Sayansi ya Waarabu waliyoiiba kule kwa watu weusi wa Misri, Sudan na Ethiopia,

Wewe unachokiamini ndicho wanazuoni walipokuwa wanawakataza Wanasayansi wasiangaike kufanya tafiti zao za Kisayansi kwani Sayansi yote iko ndani ya Quran, watu wakaacha kufanya tafiti wakaanza kujikita kwenye kuitafuta sayansi kwenye Quran na mwisho wake ndio ikaiua kabisa Sayansi hiyo ya Mwarabu

Sayansi yote ya Dunia iko ndani ya Mapiramidi na mapango ya huko Misri, kila kitu kimo humo
 
sija sema havikuwepo vilikuwepo ila 1400 iliopita technology ilikua duniiiii saaana tuseme kulikua hakuna ila technology ya sasa ndo wamekuja kuvigundua.

Teknolojia duni hipi unayoizungumzia?
Mpaka leo Dunia inajiuliza hayo Mapiramidi ya Misri yalijengwaje imebakia dhana tu
Mapharao walikufa maelfu ya miaka lakini Mapaka leo mabaki yao ya soft na hard tissue yapo, wewe unataka science na teknolojia hipi?
 
ndo maana kuna modern science . mbona hawo wa misri awa kutengeneza rocket au robot au hata bulp? science and technology sio static ni dynamic mkuu naona povu lina kutoka, ebu soma history of science vizuri utanielewa na manisha niini. unajua ila una act kama ujui.
 
Teknolojia duni hipi unayoizungumzia?
Mpaka leo Dunia inajiuliza hayo Mapiramidi ya Misri yalijengwaje imebakia dhana tu
Mapharao walikufa maelfu ya miaka lakini Mapaka leo mabaki yao ya soft na hard tissue yapo, wewe unataka science na teknolojia hipi?
Umesema kuhusu Tissue za Mafarao. Sasa yule Farao wa Misri aliomsumbua Sana Mussa na wana wa Israel. QURAN imesema mwili wake utahifadhiwa. Wala hautooza ili iwe fundisho kwa vizazi vijavyo. Na ndio maana mpaka leo ukienda Misri utaukuta mwili wake na ndani ya mwili wake kuna organs zote kama moyo, mapafu , utumbo nk. Heby jiulize toka Enzi za Mussa mpaka leo ni miaka Mingapi?

Quran inasema hivi:-
10:90-92
90.
Tukawavusha bahari Wana wa Israili, na Firauni na askari wake wakawafuatia kwa dhulma na uadui. Hata Firauni alipo kuwa anataka kuzama akasema: Naamini kuwa hapana mungu ila yule waliye muamini Wana wa Israili, na mimi ni miongoni mwa walio nyenyekea!

91.
Ala! Sasa? Na hali uliasi kabla yake na ukawa miongoni mwa mafisadi!

92.
Leo, basi, TUTAKUOKOA KWA MWILI WAKO, ili uwe ISHARA kwa ajili ya walio nyuma yako. Na hakika watu wengi wameghafilika na Ishara zetu.
 
Mtume kazaliwa kayakuta hayo yote yapo, ni uvivu wako tu wa kusoma, wewe umekaa na kitabu kimoja tu tena unasomewa na kutafsiriwa na viongozi wako
na pia ukae ukijua Mtume ndio kaja kuiua kabisa Sayansi ya Waarabu waliyoiiba kule kwa watu weusi wa Misri, Sudan na Ethiopia,

Wewe unachokiamini ndicho wanazuoni walipokuwa wanawakataza Wanasayansi wasiangaike kufanya tafiti zao za Kisayansi kwani Sayansi yote iko ndani ya Quran, watu wakaacha kufanya tafiti wakaanza kujikita kwenye kuitafuta sayansi kwenye Quran na mwisho wake ndio ikaiua kabisa Sayansi hiyo ya Mwarabu

Sayansi yote ya Dunia iko ndani ya Mapiramidi na mapango ya huko Misri, kila kitu kimo humo
Tatizo ukiwa na chuki hautaendelea ss myoa mada kama alivyosema mambo hayo mtume aloyataja miaka 1400 nyuma na kipindi hicho sayansi ilikuwa bado duni sana yaani kulikuwa hamna satelites(artificial satellites) na pia vipimo vingine ila yy aliweza kuyajua hayo sasa alijua juaje???
 
Mtume kazaliwa kayakuta hayo yote yapo, ni uvivu wako tu wa kusoma, wewe umekaa na kitabu kimoja tu tena unasomewa na kutafsiriwa na viongozi wako
na pia ukae ukijua Mtume ndio kaja kuiua kabisa Sayansi ya Waarabu waliyoiiba kule kwa watu weusi wa Misri, Sudan na Ethiopia,

Wewe unachokiamini ndicho wanazuoni walipokuwa wanawakataza Wanasayansi wasiangaike kufanya tafiti zao za Kisayansi kwani Sayansi yote iko ndani ya Quran, watu wakaacha kufanya tafiti wakaanza kujikita kwenye kuitafuta sayansi kwenye Quran na mwisho wake ndio ikaiua kabisa Sayansi hiyo ya Mwarabu

Sayansi yote ya Dunia iko ndani ya Mapiramidi na mapango ya huko Misri, kila kitu kimo humo
Toa ushahidi si kuropoka 2
 
Tatizo ukiwa na chuki hautaendelea ss myoa mada kama alivyosema mambo hayo mtume aloyataja miaka 1400 nyuma na kipindi hicho sayansi ilikuwa bado duni sana yaani kulikuwa hamna satelites(artificial satellites) na pia vipimo vingine ila yy aliweza kuyajua hayo sasa alijua juaje???
Kama sayansi ilikuwa duni pyramids zilijengajwe?
 
1. Seven heavens-Mbingu kweli saba
2. Worm holes
3. Sea's can seperated and No light down there
4. Bigbang and bing crunch
5. Singularity
6. Black holes
7. Dark matter
8. Gravity
9. Human embrology
10. expanding of the universe
11. Time is relative
12. nerves in skin
13. ice in coments
14. seas
Huyu ni mtume, wote wana science wamekuja kujua kipindi hiki yote hayo.

Kuna mbingu saba kwenye universe kweli?Mtume muongo na amefeli kama walivyo wenzake akina Yesu na Saibaba nk...mtu sio mwanasayansi anajifanya anajua sayansi,what a shame to mtume...

Yaani wanadamu sijui lini tutakataa kudanganywa na mmoja wapo wa wanaadamu wenzetu eti anajifanya kuna "mungu" somewhere kampa "maono".

Uwongo uwongo tu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom